Kwa kua wachoma mkaa wote wametoboa? Vijana shida hamjitambui na kujiamini. Mnataka maisha ya kufikirika tu .Ningejua ningefeli darasa la 7 tu nianze kuchoma mkaa sasa hivi ningekua mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kua wachoma mkaa wote wametoboa? Vijana shida hamjitambui na kujiamini. Mnataka maisha ya kufikirika tu .Ningejua ningefeli darasa la 7 tu nianze kuchoma mkaa sasa hivi ningekua mbali sana
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.
Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.
Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.
Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.
Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.
Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.
Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Low IQ aliyekwambia kazi ni Goverment admistration tuu ni nani?Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.
Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.
Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.
Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.
Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.
Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.
Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Mara nyingi aliyesoma sayansi hata arts alikuwa kipanga kukuzidi we we uliyesoma arts without any option. Yeye alikuwa na options zote akaamua kwenda sayansi tu ila wewe sayansi ilikushinda ndo maana ukaenda arts without option.Jambo usilolijua ni kuwa waliosoma wengi masomo ya sayansi hapa nchini wamekariri nje ya walichokariri Hawana la ziada.
Tofauti na waliosoma masomo ya Sanaa ambao hutumia Akili zao wenyewe katika kufanya na katika Maisha Yao.
Wanasayansi wengi Duniani hawakuwa na huo upeo wa kuwashinda Wanasanaa, isipokuwa wanasayansi ni vibaraka wa Wanasanaa tangu Dunia imeumbwa.
Everybody can teach. Go schools you will find engineers and doctors teaching but viceversa is not trueNot everybody can teach. Umbwa
Hapana. Mi nimechukulia shule niliyosoma. Watu wa sayansi hata arts walikuwa wanawaburuza sana wale walispecialise kabisa arts kwa sababu sayansi hawawezi ila mwanasayansi vyote alikuwa Yuko fit sema ndo hivyo tena A level lazima uchague combination whether you are bright af all subjects or not. Ingekuwa hakuna combination wanasayansi wangeburuza kila SoMo hata art yakoHii dhana masomo ya sayansi ni magumu na ndiyo vipanga ni ya kijinga!! Wa sayansi hawezi ya sanaa na wasanaa hawezi ya sayansi. Ni maumbile ya ubongo tu.Nchi gani iliyoendelea duniani viongozi wamesoma sayansi, wanasayansi wanamiliki viwanda hawasibiri uteuzi wa kuwa wanasiasa, marekani kina Clinton, Obama nk ni wanasheria Uingereza kina Tony Blair, wanasayansi ni wazalishaji siyo viongozi hata siku moja.
Siyo kwamba walipenda ila walikuwa hawawezi sayansi ndo mana arts ikawa kimbilio vinginevyo wangekosa Cha kusomaKwahiyo hata waliopenda arts enzi zenu walionanavilaza?
Kuna kitu unashangaza sana.🤔Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.
Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.
Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.
Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.
Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.
Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.
Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Mara nyingi aliyesoma sayansi hata arts alikuwa kipanga kukuzidi we we uliyesoma arts without any option. Yeye alikuwa na options zote akaamua kwenda sayansi tu ila wewe sayansi ilikushinda ndo maana ukaenda arts without option.
Hakika, inasikitisha sana.Asilimia kubwa ya WASOMI wetu hapa Tanzania hasa hao wa michepuo ya SAYANSI wengi akili zao ni kisoda.
Hasa ktk nyanja ya IT ni visoda haswa.
Nashangaa MSOMI wa IT anaenda front kuomba kazi? Serious? Mtu ana DEGREE kabisa ya Telecommunications Engineering ila anaomba kazi.
Ukishakuwa na watu wa aina hii ujue kabisa unakundi la watu VISODA.
Akili inamchango mkubwa sana kwenye mafanikio ikiwa ni pamoja na kupata pesa.Mkuu ndio uwezo wako wa kufikilia umeishia hapo, yaani unapima uwezo wa akili kwa kiwango cha pesa
Kusoma kumi na mbili siyo issue je ulifaulu? Isikuwa ulipeperusha bendera maths, physics na chemistry na bologyMimi nimesoma masomo kumi na Mbili. Sasa kama kwenye masomo kumi na Mbili hakuna ya sayansi basi upo vizuri Sana. Yote nilifaulu. Na nimesoma shule za Kata. Huko Sayansi zaidi ya uwezo wa kukariri sijaona la ziada.
Advance nimesoma Arts.
Unazungumzia data ambayo ni outlier. Data iliyojitenga. Data ambayo haiwezi kutumika kufikia hitimisho la data KWA ujumlaJambo usilolijua ni kuwa waliosoma wengi masomo ya sayansi hapa nchini wamekariri nje ya walichokariri Hawana la ziada.
Tofauti na waliosoma masomo ya Sanaa ambao hutumia Akili zao wenyewe katika kufanya na katika Maisha Yao.
Wanasayansi wengi Duniani hawakuwa na huo upeo wa kuwashinda Wanasanaa, isipokuwa wanasayansi ni vibaraka wa Wanasanaa tangu Dunia imeumbwa.