Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Huko pote mnasumbuka tu. Shida ni umasikini, and we are poor because we're poor.
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.

Jambo usilolijua ni kuwa waliosoma wengi masomo ya sayansi hapa nchini wamekariri nje ya walichokariri Hawana la ziada.
Tofauti na waliosoma masomo ya Sanaa ambao hutumia Akili zao wenyewe katika kufanya na katika Maisha Yao.

Wanasayansi wengi Duniani hawakuwa na huo upeo wa kuwashinda Wanasanaa, isipokuwa wanasayansi ni vibaraka wa Wanasanaa tangu Dunia imeumbwa.
 
Mfumo hautaki wenye akili kuendesha
Mambo

Ova
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Low IQ aliyekwambia kazi ni Goverment admistration tuu ni nani?
 
Jambo usilolijua ni kuwa waliosoma wengi masomo ya sayansi hapa nchini wamekariri nje ya walichokariri Hawana la ziada.
Tofauti na waliosoma masomo ya Sanaa ambao hutumia Akili zao wenyewe katika kufanya na katika Maisha Yao.

Wanasayansi wengi Duniani hawakuwa na huo upeo wa kuwashinda Wanasanaa, isipokuwa wanasayansi ni vibaraka wa Wanasanaa tangu Dunia imeumbwa.
Mara nyingi aliyesoma sayansi hata arts alikuwa kipanga kukuzidi we we uliyesoma arts without any option. Yeye alikuwa na options zote akaamua kwenda sayansi tu ila wewe sayansi ilikushinda ndo maana ukaenda arts without option.
 
Hii dhana masomo ya sayansi ni magumu na ndiyo vipanga ni ya kijinga!! Wa sayansi hawezi ya sanaa na wasanaa hawezi ya sayansi. Ni maumbile ya ubongo tu.Nchi gani iliyoendelea duniani viongozi wamesoma sayansi, wanasayansi wanamiliki viwanda hawasibiri uteuzi wa kuwa wanasiasa, marekani kina Clinton, Obama nk ni wanasheria Uingereza kina Tony Blair, wanasayansi ni wazalishaji siyo viongozi hata siku moja.
Hapana. Mi nimechukulia shule niliyosoma. Watu wa sayansi hata arts walikuwa wanawaburuza sana wale walispecialise kabisa arts kwa sababu sayansi hawawezi ila mwanasayansi vyote alikuwa Yuko fit sema ndo hivyo tena A level lazima uchague combination whether you are bright af all subjects or not. Ingekuwa hakuna combination wanasayansi wangeburuza kila SoMo hata art yako
 
Wasio na akili wengi wanadhani ukiwa kwenye media na madaraka.ndio kufanikiwa😅😅
 
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Kuna kitu unashangaza sana.🤔
 
Mara nyingi aliyesoma sayansi hata arts alikuwa kipanga kukuzidi we we uliyesoma arts without any option. Yeye alikuwa na options zote akaamua kwenda sayansi tu ila wewe sayansi ilikushinda ndo maana ukaenda arts without option.

Mimi nimesoma masomo kumi na Mbili. Sasa kama kwenye masomo kumi na Mbili hakuna ya sayansi basi upo vizuri Sana. Yote nilifaulu. Na nimesoma shule za Kata. Huko Sayansi zaidi ya uwezo wa kukariri sijaona la ziada.

Advance nimesoma Arts.
 
Asilimia kubwa ya WASOMI wetu hapa Tanzania hasa hao wa michepuo ya SAYANSI wengi akili zao ni kisoda.

Hasa ktk nyanja ya IT ni visoda haswa.

Nashangaa MSOMI wa IT anaenda front kuomba kazi? Serious? Mtu ana DEGREE kabisa ya Telecommunications Engineering ila anaomba kazi.

Ukishakuwa na watu wa aina hii ujue kabisa unakundi la watu VISODA.
Hakika, inasikitisha sana.
 
Mimi nimesoma masomo kumi na Mbili. Sasa kama kwenye masomo kumi na Mbili hakuna ya sayansi basi upo vizuri Sana. Yote nilifaulu. Na nimesoma shule za Kata. Huko Sayansi zaidi ya uwezo wa kukariri sijaona la ziada.

Advance nimesoma Arts.
Kusoma kumi na mbili siyo issue je ulifaulu? Isikuwa ulipeperusha bendera maths, physics na chemistry na bology
 
Hii nchi watu wote tunaonekana hatuna akili kwa sababu wengi tunapambana angalau tule na pa kulala njaa bado zinatutesa na utitiri wa majukumu .

Siku nikiwa raisi ntahakikisha swala la kula au kulala kila mwanachi anaweza kulimudu apo ndo tutaanza kuona uhalisia wa akili za mtu
 
Jambo usilolijua ni kuwa waliosoma wengi masomo ya sayansi hapa nchini wamekariri nje ya walichokariri Hawana la ziada.
Tofauti na waliosoma masomo ya Sanaa ambao hutumia Akili zao wenyewe katika kufanya na katika Maisha Yao.

Wanasayansi wengi Duniani hawakuwa na huo upeo wa kuwashinda Wanasanaa, isipokuwa wanasayansi ni vibaraka wa Wanasanaa tangu Dunia imeumbwa.
Unazungumzia data ambayo ni outlier. Data iliyojitenga. Data ambayo haiwezi kutumika kufikia hitimisho la data KWA ujumla
 
Back
Top Bottom