Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Poor and nonsense. Dam you
Leta data acha kuwa mjinga. Nimekwambia uka google most high IQ graduate, kama utakuta kiswagili mi najiondoa JF. Una IQ ya 90 wewe tena nimekupendelea huenda ukawa 80 kabisa. Unasoma kiswahili bila aibu, kama sio ukilaza ni nini?
 
Asilimia kubwa ya WASOMI wetu hapa Tanzania hasa hao wa michepuo ya SAYANSI wengi akili zao ni kisoda.

Hasa ktk nyanja ya IT ni visoda haswa.

Nashangaa MSOMI wa IT anaenda front kuomba kazi? Serious? Mtu ana DEGREE kabisa ya Telecommunications Engineering ila anaomba kazi.

Ukishakuwa na watu wa aina hii ujue kabisa unakundi la watu VISODA.
Haya matusi haya, haya wewe kua donor/angel investor tandaza vibunda waambie wakuletee project zao uwekeze ukiambiwa ufanye hivyo utaweza au umekosa cha kuongea?

Hicho kitu alikua anafanya Marehemu R Mengi fanya na wewe waambie wakuletee project zao uziendeleze au unafikiri ni rahisi?
 
Mtoa mada ni wale watu wanaamini ukisoma masomo ya sayansi una akili kuliko wengine 😂😂

Akili ni uwezo wa kung'amua mambo, haijalishi umesoma au haujasoma. Kifupi akili ni maujanja ya kuweza kuendana na mazingira.

Alafu sasa kuna elimu, ambapo ni mfumo au njia uliyotumia kujufunza na kupata akili.

Kuna elimu rasmi (kishule) na elimu ya mtaa.

Hivi unafahamu kuwa watu waliosoma au wanaosoma masomo ya sayansi wanao uwezo mdogo wa kung'amua mambo kwa haraka kuliko wanaosoma masomo ya sanaa na biashara?

Wao kila jambo wanatumia fomula ila wenzao kila jambo wanatumia akili.

Mfano chukua daktari, mfizikia na mwanasheria waulize maswali rahisi kabisa juu ya maisha nje ya fani zao. Usishangae aliyesoma sheria akawapiga chini hao waliosoma sayansi.

Mwisho wa yote, jifunze mwenyewe baada ya kutoka shule ili ufahamu mambo mengi iwe rahisi kufanikiwa mambo yako.

Kufanikiwa ni maujanja tu, sio lazima elimu FID Q ft Baraka da Prince-Mafanikio
 
Kumbe hata wewe uliyeanzisha mada hujui unaongelea nini? Kinachokufanya ulalamikie teuzi za wenzako ni pamoja na kuzidiwa pesa kama ungekuwa unalalamikia suala la uvumbuzi, wewe kama wewe umevumbua nini kitakacho ifanya Tanzania yetu isonge mbele? Wewe kwenye mada yako umejimwambafai umesoma sayansi, hii imekusaidia nini kufikia malengo yako au ndo kukaa kulalamikia teuzi za wenzako na kuzarau kwamba wamesoma combi za vilaza?
Mkuu ndio uwezo wako wa kufikilia umeishia hapo, yaani unapima uwezo wa akili kwa kiwango cha pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo alikula ZERO form 4 mwaka Juzi baada ya hapo akapigiwa pande somewhere akafanye kazi isiyohitaji cheti chochote Division ZERO hapewi cheti, yaan hana hata cheti cha VETA au cheti cha Upishi ila sasa hivi ana Maisha mazuri kumzidi mtu mwenye degree, life is not fair & life is not for everyone some must suffer the hardship of others

Your Network Connection is your Net Worth, haijalishi umesoma au haujasoma km Network unayo basi unatoboa nishashuhudia tour guide anaongoza watalii na hajui lugha Kingereza cha ugoko na analipwa na kampuni network connection, Kingereza haujui how come unaongoza watalii na Kingereza chako cha kuungaunga it's all about network connection
 
Wataje na kumbuka hapa tunazungumzia Tanzania,Ma Rais wako wote 6 wamesoma Sanaa.
Na aliyesoma SAYANSI ni Magufuli na alikuwa ndiyo Rais wa hovyo kabisa. Hakutaka reasoning wala criticism. Sasa ndiyo IQ gani inaogopa mikutano ya CDM? Rais ananyang'anya fedha za watu benki na bureau de change? Eti IQ ya kumpiga Lissu risasi badala ya kujibu hoja ndiyo akili kweli hiyo?

Mwanasayansi anasema tukajifukize dhidi ya COVID-19? Ndiyo IQ mna maanisha hiyo? Upumbavu mtupu
 
Waliosoma sayansi wapo wa kutosha kwenye uongozi, ni maamuzi binafsi.

Festo pale TAMISEMI ni MD, Gwaji (KE) MD, Hussein Mwinyi MD, JK, JPM, Dr. Gharib Bilali, Dr. Sheni...
Wanaburuxwa na kundi la machawa walio wengi. Hoja za wengi ndio zenye nguvu.
 
Na hivyo ndivyo ilivyo

Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress....

Nakazia
 
Haya matusi haya, haya wewe kua donor/angel investor tandaza vibunda waambie wakuletee project zao uwekeze ukiambiwa ufanye hivyo utaweza au umekosa cha kuongea?

Hicho kitu alikua anafanya Marehemu R Mengi fanya na wewe waambie wakuletee project zao uziendeleze au unafikiri ni rahisi?
Kwanza hiyo akili ya kuwaza PROJECT wanayo?

Ni hivi ktk ishu za IT kama upo well competent mtaji wako ni UBONGO wako tofauti na watu kama wa Civil Engineers au watu wa Mechanical wale wanategemea Resources nyingine na nyingi ili kukamilisha project ndogo tu. Tofauti na mtu wa Telecommunications Engineer huyu anaweza fanya mambo mengi akitumia Resources chache na hasa UBONGO wake ndio utakaotumika zaidi.

Sasa akiwa FAMBALISTIC hawezi kuwa Mbunifu utabuni nini na UBONGO upo empty?
 
Ningejua ningefeli darasa la 7 tu nianze kuchoma mkaa sasa hivi ningekua mbali sana
 
Haya matusi haya, haya wewe kua donor/angel investor tandaza vibunda waambie wakuletee project zao uwekeze ukiambiwa ufanye hivyo utaweza au umekosa cha kuongea?

Hicho kitu alikua anafanya Marehemu R Mengi fanya na wewe waambie wakuletee project zao uziendeleze au unafikiri ni rahisi?
Fala Sana huyo .
Analinganisha facilities zilizopo Bongo na Marekani ,mbingu na ardhi , Marekani kuna hadi venture capitalists ,kampuni zina toa pesa kwa inventors kuanzisha startups .
Kuna tech incubators kama silicon valley kule california , watu wamewezeshwa kila nyanja kufanya vumbuzi za kila aina .
Njoo Bongo sasa
 
Back
Top Bottom