Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kiingereza ndiyo maisha? Aisee humpati Prof Ndalichako hata kwa asilimia sifuri nukta moja.Ule ni ujinga. Unasima English medium halafu ambao hawajua kingereza kama prof ndalichako ndo wanakula maisha
Sahihi.Kwenye maisha hata kama ulisomea mambo ya nyuki hakikisha una nidhamu hasa kwa waliokuzidi umri. Vijana wanaopata ulaji wengi wao wana nidhamu kuanzia nyumbani, shuleni, kanisani au msikitini na kwenye jamii yote kiujumla. Wakati wewe bila aibu unawadharau kina Msigwa, Kabudi na Rioba kuna vijana wenzako wanapata connection za uhakika kupitia wao. Unaweza ukawa umesoma PCM na kufaulu vizuri ila kama huna nidhamu utaishia kulalamika tu mitandaoni.
Ni magu peke ndio rais alisoma sayansi na kuwa rais wengine walikuwa Hadi waandishi wa hbr na kuwa rais Ni magu pekee na pcb yake ndio alipenyaSiyo kweli ulichoandika. Umeamua tu KUJIDHARAULISHA. Umechukua watu wachache waliosoma NGWINI na wakapiga hatua za kimaisha na ukawalinganisha na UNAOWAJUWA waliosoma SAYANSI lakini hawajatoka kimaisha.
Umelisahau kundi kubwa la waliosoma SAYANSI na wamefanikiwa. Umelisahau pia kundi la waliosoma NGWINI na hawajafanikiwa.
Vilevile nikujulishe tu kuwa kusoma SAYANSI siyo kigezo cha kuwa una akili kukiko aliyesoma NGWINI.
MWISHOWE nakushauri kijana SHIRIKISHA halmashauri ya kichwa chako vizuri ili uzione na fursa za kiuchumi na UJIHUSISHE nazo. Kinyume cha hapo utaanza KUWALAANI waalimu wako au wazazi wako
Kama wee Ni Dr utakuja kuishia pabaya sna yaani uwalipize wake zetu kisa wee huna hela hauop ktk siasaAcheni mambo ya kudharau PCB au PCM wakati asilimia kubwa inaenda kutoa madokta engeneer nesi mm katika maisha yangu sijuitii kusoma PCB au PCM kinachonifurahisha wake zenu mnawaleta hospital kila siku tuna wazalisha kama mnaona siasa ndio kila kitu wazalisheni wenyewe maana huku tuna PV kila siku za kila namna tunazuona labour sio mchezo au pale kwenye Abortion mm napendaga sana evacuation zote sikosi hasa za pisi kali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mtu ana muhimu wake mkiona HGL mnapata hela sisi wa PCB tuna PV wake zenu hadi mkome kenge nyie
Bora rfk ako kapata four Nzuri jmaa angu yey alipata hyo ya four ya 33 kbsa d Moja tu Sasa Yuko jeshi mtwara Huko Ana kula maisha na Kuna wakt kaenda sudanAcha kabisa kuna jamaa,shule alikua ndio wale toto tundu kila msala hakosi,olevo katoka na divisio 4 yake kaenda jeshi,jamaa sahivi ndio wale walinzi wa rais[emoji24],tulio komaa na mapcb yetu sahivi tuna lilia posho za night huku itilima[emoji24]. This life no balance.
Wavimbuzi wote hapa duniani walijikita kwenye sayansi na hesabu.Hakuna mwenye akili aliyejikita kwenye Sanaa.Mbona dharau. Unafikir waliosoma sayansi wana akili kuliko waliosoma sanaa.
Wataje na kumbuka hapa tunazungumzia Tanzania,Ma Rais wako wote 6 wamesoma Sanaa.Siyo kweli ulichoandika. Umeamua tu KUJIDHARAULISHA. Umechukua watu wachache waliosoma NGWINI na wakapiga hatua za kimaisha na ukawalinganisha na UNAOWAJUWA waliosoma SAYANSI lakini hawajatoka kimaisha.
Umelisahau kundi kubwa la waliosoma SAYANSI na wamefanikiwa. Umelisahau pia kundi la waliosoma NGWINI na hawajafanikiwa.
Vilevile nikujulishe tu kuwa kusoma SAYANSI siyo kigezo cha kuwa una akili kukiko aliyesoma NGWINI.
MWISHOWE nakushauri kijana SHIRIKISHA halmashauri ya kichwa chako vizuri ili uzione na fursa za kiuchumi na UJIHUSISHE nazo. Kinyume cha hapo utaanza KUWALAANI waalimu wako au wazazi wako
Sasa tofauti ya ulikosema marekani na hapa ni kuwa wa kule hao waliosoma sayansi wanagundua na wanauza hizo gunduzi zao ila sasa nyie wanasayansi wabongo hamtaki kugundua na kuuza mnataka huruma ya kupewa mihela tu hicho hakuna tengenezeni kagundueni shirikianeni na hao maprof wenu huko shuleni au sijui wapi mavyuoni muwe mnatengeneza platform za kuuza gunduzi zenu muwe rich muinvent rich na sio mnataka mpate V8 la kuteuliwa na wanasiasa mtasubiri sana wananchi wanashida kibao gundueni suluhisho la matatizo yao halafu yauzeeni kama iwe teknolojia au chochote mtakuwa rich.Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.
Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.
Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.
Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.
Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.
Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.
Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Kitila alisoma nini?Haahhahah.Acha uongo .Kitila na Ngwini na Chuo alisoma sosholoji.Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.
Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.
Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.
Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.
Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.
Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.
Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
Hii ni kwa afrika tuNafasi nyingi za eteuzi hakika si za kitaaluma bali ni upendeleo kulingana na matakwa ya mteuzi. Na uliowatolea mfano majina ya family zao zinawabeba. Lakini pia uthubutu wao kwenye maswala ya kisiasa.
Pia kuna hili la wasomi wengi kudai wao si wanasiasa na hawataki siasa. Hapo lazima hawa wenye kuona fursa watazichangamkia hata kama ni wana arts. Na watakuongoza tu.
Lakini kubwa ni kuwa akili za darasani ni tofauti sana na akili za maisha ya kawaida tunayoishi. Ukiwa na akili nyingi za darasani na ukakosa uthubutu. Basi watakaothubutu hata kama ni vilaza watakupita na usomi wako.
Number moja ni secretary wa office.wale wachapa Barua na wapiga mkwara ukiwa ukataka kwenda kumuona boss.Number Moja mwenyewee kasoma record management astashahada kapata vyeo Kama vyote Hadi kuwa makamu rais wa bunge la Katiba na Kisha baada makamu wa rais na. SAS Ni raisi wa JM T na pia amiri jeshi mkuu command in chief
Aisee kama kweli wewe mi ni daktari, Basi utakuwa ndio Daktari mpumbavu tena lofa kuwahi kutokea. Shame upon you.Acheni mambo ya kudharau PCB au PCM wakati asilimia kubwa inaenda kutoa madokta engeneer nesi mm katika maisha yangu sijuitii kusoma PCB au PCM kinachonifurahisha wake zenu mnawaleta hospital kila siku tuna wazalisha kama mnaona siasa ndio kila kitu wazalisheni wenyewe maana huku tuna PV kila siku za kila namna tunazuona labour sio mchezo au pale kwenye Abortion mm napendaga sana evacuation zote sikosi hasa za pisi kali 😂😂😂😂
Kila mtu ana muhimu wake mkiona HGL mnapata hela sisi wa PCB tuna PV wake zenu hadi mkome kenge nyie
Poor and nonsense. Dam youKwa data zipi?
Google the the highest IQ graduate in the world. Utakuta Physics ndio no 1. Yaani mtu akiweza kuchukua digrii ya physics tu IQ yake inacheza 110+ inafuatia Engineering, Maths,Medine, IT
Course ya sanaa hata uwe na IQ ya 90 anapata gpa ya 4. Kiswahili kinaongoza kwa ufaulu kwa kila mwanafunzi kwa hio sio kipimo kizuri kwa IQ kubwa.
IQ kibwa kwenye lugha huonekana kwa watu wenye uwezo mkubwa wa ;
Utunzi wa mashairi, vitabu, makala nk ambao ni wachache sana wanao.
Graduate wa Science bila hata kuwa amegundua cho chote anakuwa labeled with high IQ.
Linganisha uongozi wa mwanasayans JPM na vilaza utaona tofauti.
Nchi hii ikiongozwa na wanasayansi awamu mbili tu zinatosha kuibadili kutoka kuwa masikini mpaka uchumi wa kati.
Tukiendelea kuongozwa ba mangwine tutaendelea kulalamika mpaka mwisho wa dunia.
UWEZO WA KUMUDU MASOMO NDIO KIPIMO CHA IQ KUBWA MASHULENI, ILA MNAJITOA UFAHAMU HUKU UKWELI MNAUJUA. MOST INTELIGENT STUDENTS HUPELEKWA SAYANSI.
Miakaka ya nyuma husomi computer science na comp engineering au Medicine kama huna div one, ukweli ni kwamba hayo masomo hayataki watu wenye uelewa mdogo na wataratibu lazima udisco tu.
Hata hivyo sio wote waliochukua sanaa IQ zao ni za chini wapo walioenda kwa mapenzi yao na IQ zao ni kubwa.
Mtueleze ni kipimo gani zaidi ya masomo ta shuleni hapa TZ kinatumika kuwatambua wanafunzi wenye IQ kubwa, za kati na ndogo.
Wanasayansi wengi wanakosa study ya communication skill, hii huwafanya wasimudu siasa uchwara, hasa TZ.
Wanasayansi wengi hawapendi unafiki wa vitu vya uongo, kuwa hadaa raia ndio maana wengi hawavutiwi na siasa kasoro wale wenye tamaa ya pesa.
Siasa ya TZ imejaa unafiki na kujipendejeza kitu amba ho ni vipaumbele kwa waliosoma sanaa.
Mtu aliesoma ngwine ni mtu asiejali kabisa na ndio maana kumekuwa na uharibifu mkubwa.
Majizi makubwa ya kimfumo TZ ni yale taliosoma ngwine hatapebdi hata mifumo ya kisayansi ifanye kazi, yanajali zaidi matumbo. (BUL SH#T)