Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Wakuu habari,
Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya zote, na MK imeshika nafasi ya 3. Hata hivyo ina tegemewa kuongezeka kufika mpaka asilimia 17 zoezi la kuhesabu litakapo kamilika.
ANC ndio ina ongoza kwa 41% lakini ikiwa Imepoteza idadi kubwa ya wabunge, ikifuatiwa na Democratic Alliance 22% huku EFF chini ya mwanasiasa machachari Julius Malema ikipata 9% na kushika nafasi ya 4. Hivyo kwa sasa Cyril Ramaphosa tumbo lipo joto kwa sababu itambidi azungumze na chama kingine baadae ili aongeze idadi ya wabunge.
Kilicho ni furahisha mimi ni muda mfupi wa hiki chama cha MK lakini kimeweza kuitikisa ANC. Jimbo la Kwa Zulu Natal ndio ngome kuu ya chama hiki na pia ndio asili ya Jacob Zuma.
Mimi naona wazi kuwa raisi Cyril Ramaphosa na chama chake cha ANC lazima watamtafuta Jacob Zuma kiongozi huyu mashuhuri mpigania uhuru wa Afrika kusini wamuombe kujiunga nae kufanya alliance ili waweze kupata wabunge wengi wa kufanya yeye na serikali yake kuwa na ushawishi.
Pia nime furahishwa kwa raisi mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta kuwa muangalizi wa uchaguzi. Nadhani Afrika ya Mashariki tume wakilishwa vema.
Nawasilisha.
Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya zote, na MK imeshika nafasi ya 3. Hata hivyo ina tegemewa kuongezeka kufika mpaka asilimia 17 zoezi la kuhesabu litakapo kamilika.
ANC ndio ina ongoza kwa 41% lakini ikiwa Imepoteza idadi kubwa ya wabunge, ikifuatiwa na Democratic Alliance 22% huku EFF chini ya mwanasiasa machachari Julius Malema ikipata 9% na kushika nafasi ya 4. Hivyo kwa sasa Cyril Ramaphosa tumbo lipo joto kwa sababu itambidi azungumze na chama kingine baadae ili aongeze idadi ya wabunge.
Kilicho ni furahisha mimi ni muda mfupi wa hiki chama cha MK lakini kimeweza kuitikisa ANC. Jimbo la Kwa Zulu Natal ndio ngome kuu ya chama hiki na pia ndio asili ya Jacob Zuma.
Mimi naona wazi kuwa raisi Cyril Ramaphosa na chama chake cha ANC lazima watamtafuta Jacob Zuma kiongozi huyu mashuhuri mpigania uhuru wa Afrika kusini wamuombe kujiunga nae kufanya alliance ili waweze kupata wabunge wengi wa kufanya yeye na serikali yake kuwa na ushawishi.
Pia nime furahishwa kwa raisi mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta kuwa muangalizi wa uchaguzi. Nadhani Afrika ya Mashariki tume wakilishwa vema.
Nawasilisha.