Duru za Uchaguzi Afrika Kusini. Umokhonto We Sizwe

Duru za Uchaguzi Afrika Kusini. Umokhonto We Sizwe

Kwa mujibu wa msemaji wa chama cha MK cha Jacob Zuma kadai kwamba ili chama chochote kiweze kuungana nao lazima wakubali kumfutia mashitaka Zuma na zuma asimame kama Rais ili agombee je Ramaphosa atakubali ilo litokee.
 
Kwa mujibu wa msemaji wa chama cha MK cha Jacob Zuma kadai kwamba ili chama chochote kiweze kuungana nao lazima wakubali kumfutia mashitaka Zuma na zuma asimame kama Rais ili agombee je Ramaphosa atakubali ilo litokee.
ANC waungane na EFF Kisha DA na MK wawe wapinzani huku Malema akiwa Makamu wa Rais
 
AnC wameharibu sana Ile nchi yani SA ni inaporomoka imagine SA ni ya kukosa umeme na maji safi !?
Nimeishi SA umeme kukatika kwanza haikuwepo ,hapakuwa na kutibu maji kabla ya kunywa ni unakinga unakunywa ,bidhaa bei rafiki kabisa Randi 10 unakula kabisa bila shida Sasa unahitaji Randi 50 ndio ule sio poa
SA ina changamoto ya maji?
SA umeme unakatika kama nchi fulani?

Bora Makaburu wakabidhiwe usukani kabla hakujaharibika kabisa.
 
Wakuu habari,

Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya zote, na MK imeshika nafasi ya 3. Hata hivyo ina tegemewa kuongezeka kufika mpaka asilimia 17 zoezi la kuhesabu litakapo kamilika.

ANC ndio ina ongoza kwa 41% lakini ikiwa Imepoteza idadi kubwa ya wabunge, ikifuatiwa na Democratic Alliance 22% huku EFF chini ya mwanasiasa machachari Julius Malema ikipata 9% na kushika nafasi ya 4. Hivyo kwa sasa Cyril Ramaphosa tumbo lipo joto kwa sababu itambidi azungumze na chama kingine baadae ili aongeze idadi ya wabunge.

Kilicho ni furahisha mimi ni muda mfupi wa hiki chama cha MK lakini kimeweza kuitikisa ANC. Jimbo la Kwa Zulu Natal ndio ngome kuu ya chama hiki na pia ndio asili ya Jacob Zuma.

Mimi naona wazi kuwa raisi Cyril Ramaphosa na chama chake cha ANC lazima watamtafuta Jacob Zuma kiongozi huyu mashuhuri mpigania uhuru wa Afrika kusini wamuombe kujiunga nae kufanya alliance ili waweze kupata wabunge wengi wa kumfanya yeye aweze kuwa raisi.

Pia nime furahishwa kwa raisi mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta kuwa muangalizi wa uchaguzi. Nadhani Afrika ya Mashariki tume wakilishwa vema.

Nawasilisha.
Kuwa rais hakuhitaji kuunganisha wabunge na chama kingine, ila kuunda na kuongoza serikali.
 
Wakuu habari,

Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya zote, na MK imeshika nafasi ya 3. Hata hivyo ina tegemewa kuongezeka kufika mpaka asilimia 17 zoezi la kuhesabu litakapo kamilika.

ANC ndio ina ongoza kwa 41% lakini ikiwa Imepoteza idadi kubwa ya wabunge, ikifuatiwa na Democratic Alliance 22% huku EFF chini ya mwanasiasa machachari Julius Malema ikipata 9% na kushika nafasi ya 4. Hivyo kwa sasa Cyril Ramaphosa tumbo lipo joto kwa sababu itambidi azungumze na chama kingine baadae ili aongeze idadi ya wabunge.

Kilicho ni furahisha mimi ni muda mfupi wa hiki chama cha MK lakini kimeweza kuitikisa ANC. Jimbo la Kwa Zulu Natal ndio ngome kuu ya chama hiki na pia ndio asili ya Jacob Zuma.

Mimi naona wazi kuwa raisi Cyril Ramaphosa na chama chake cha ANC lazima watamtafuta Jacob Zuma kiongozi huyu mashuhuri mpigania uhuru wa Afrika kusini wamuombe kujiunga nae kufanya alliance ili waweze kupata wabunge wengi wa kumfanya yeye aweze kuwa raisi.

Pia nime furahishwa kwa raisi mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta kuwa muangalizi wa uchaguzi. Nadhani Afrika ya Mashariki tume wakilishwa vema.

Nawasilisha.
JK angekuwa muangalizi angeishia kuwa chawa wa ANC.
 
Hiyo nchi wangeikabidhi DA ndio watarudisha hadhi ya South Africa. Hawa Viongozi wa ANC ni mafisadi tu. Akina Zuma Wana kesi za Ufisadi huyo Ramaphosa almanusra atolewe kwenye Urais kwa Kura ya bunge ya kutokuwa na imani naye.
 
Hivi wazungu wa south africa wale makaburu wako wapi siku hizi? Warudi tena kivingine kuongoza nchi hiyo. Hawa wazalendo wameshindwa tangu waachiwe nchi waongoze ni abracadabra tu
Kabisa wa SA wakiacha mara moja yale mawazo ya zamani weupe na weusi na kuweka maslahi kwa mara ya kwanza kwa Taifa mbele basi wangechagua kwa nguvu Democratic alliance hichi chama cha wazungu unaweza kusema ila na uhakika wangeirudisha SA sehemu yake inayostahili. ANC ni group la watu wenye njaa wanapokezana kula tu wenyewe kwa wenyewe.
 
Kwa mujibu wa msemaji wa chama cha MK cha Jacob Zuma kadai kwamba ili chama chochote kiweze kuungana nao lazima wakubali kumfutia mashitaka Zuma na zuma asimame kama Rais ili agombee je Ramaphosa atakubali ilo litokee.
Ahaaa haaa hawezi kukubali
 
Back
Top Bottom