John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Ni kweli kabisa ulichoeleza.UNafikiri ni kwann ccm hawatoi hiyo katika mpya??
Moja ya sababu ni kwamba hakujawa na presha ya watanzania wenyewe kudai hiyo katiba mpya, laiti kama kweli watanzania wangeitaka katiba yao , hakuna namna cxm wangezuia mchakato, never. Wasingeweza. Ila sasa hii inatoa picha kuwa takwa la katiba moya wala sio concern ya wananchi (kwa wingi wao) bali ni kikundi cha watu ambao wanapopuuzwa bas wanakosa namna ya ku enforce.
Ndio maana hata mchakato wa katiba ya warioba ulipositishwa licha ya kugharim mamilion, bado hakuna hata mtanzania aliye amka kulianzisha, why?? It is not their thing at all!!.
Ndio maana vyama mbadala kama cdm vinapata wakat mgumu kwakua wanaotetewa wala hawana mpango na utetezi.
Mpaka siku watanzania waamke na akili ziwakae sawa ndio haya mambo yataonekana yana maana na hata chaguzi zitakua na maana ila kwasasa ccm wanajua wananchi % kubwa wala hawapindui kuhusu chama chao.
NATAMAN SANA UWE UMENIELEWA
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."
By Martin Luther King Jr.
BTW; Uzoefu duniani kote unaonyesha kwamba Katiba nzuri itokanayo na mawazo au fikra za Wananchi walio wengi zaidi kwenye nchi husika haijawahi kupatikana hivi hivi tu kiurahisi bila ya Watu kupigana makonde.