babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Fikiria hela yenyewe kamevunja kibubu kuigiza kwa kupaka masizi kote kule leo marioo mmoja anachukua kilaini anasepa.Arudishe pesa za mtoto wa watu, mjini kaja muda mrefu alikuwa anafanya nini? Kama kweli Ebitoke mshitaki tu arudishiwe mpunga wake. Au mloge tu kwani nini bana
😁😁😁😁😁kwa kweli hata mimi naliamsha.Fikiria hela yenyewe kamevunja kibubu kuigiza kwa kupaka masizi kote kule leo marioo mmoja anachukua kilaini anasepa.
Kaambiwa tukirudishiwa hela yetu nakupa nusuHuyo kaka anajitia aibu tu aiseeee
Yote yanawezekana mkuu, lakini mimi bado sikubaliani na uvamizi huo na tena kaka wa binti akimshadadia jamaa aliyekuwa akimkaza dada yake....Anasma kamuharibia maisha, huwezi jua labda kashapewa ngoma
Je mlela mleaji mimba na mtoto?Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
Kwan shida nn?! Nimeiona kwa Millard Ayo muda si mrefu. Dada analalamika sijui Mlela alimpa nn huyu mhaya wa watu..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mlela kazaliwa Kinondoni ndio maana hakupata shida kumtapeli wa 'kuletwa' [emoji3][emoji3][emoji3], mahakamani akafuate nini ana maandishi ya kupeana hizo pesa?Arudishe pesa za mtoto wa watu, mjini kaja muda mrefu alikuwa anafanya nini? Kama kweli Ebitoke mshitaki tu arudishiwe mpunga wake. Au mloge tu kwani nini bana
[emoji23] eti mpaka podaSorry una akili za ajabu sana kwa hiyo Mwanaume kumtegeshea mimba ndio kumkomoa yaani huyo mpaka poda unamtegeshea nyie ndio mnasababisha watoto ombaomba mtaani.
Kuna watu wanaamini vitu kama hivi [emoji16][emoji16][emoji16]KIKI................
Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
Sasa kama kaachiwa ngoma ,hiko kitendo cha kuleta fujo si ndio kaharibu future yake mwenyewe,kila mtu atajuaKaachiwa ngoma,inavyosemekana. Kaharibiwa future yake.
No, MBEGUAnalilia rungu?
Kaka kaanza kulalamika muda tu kwa Ebi amewafungia vioo ndugu wote kisa Mlela wakijua kabisa hakuna penzi anatapeliwa, Mimi Nina wasiwasi na huyu "Kaka" wa EbitokeNi sawa mkuu, lakini mimi sioni kama kaka mtu hapo anayo nafasi ya kuingilia mifarakano ya X wa dada yake.
Kumbuka wakati wanapeana utam hadi binti akakubali kutoa fungu sote hatukuwepo na hakuna mwenye anajuwa wawili hao waliongea nini.
Bibie Ebitoke tatizo anapenda kuwa na wauza sura nilijua atajifunza baada ya kutemwa na Ben pol.[emoji23] eti mpaka poda