Hao walipeana hela kienyeji kisa walikuwa kwenye mapenzi hakuna maandishi hapo ndiyo maana Ebitoke anatokwa mapovu tu,halafu tapeli tapeli tu haijalishi katumia njia ya mapenzi au urafiki hivyo kaka mtu kaona hawezi kukaa tu kimya dada yake atapeliwe.Kama kuna kautapeli, basi wanatakiwe wafuate proper chanel and procedures ili haki yao ioatikane. Sio kaka kumsindikiza dada kwenye kuvamia na kufanya fujo udangani
Kama Jamaa Alikua Anavaa Mpira Angeitegeshaje?Hapo ebitoke amekosea angemtegeshea mimba ili anapomvamia hapo iwe madai ya kutelekeza mimba....kifupi mlela angegeuka mtumwa wa ebitoke. Sasa hapo anaonekana fala flani maana mwanaume atakuachaje ukamfanyie vurugu? Ukiwa na mimba au mtoto ndo inasaundi na angepata sapoti... Ila wanaume nyoko sana akishakukojolea na kazi yako imeisha...
Hii kweli dadake si kwa matusi yaliyomtoka Ebitoke.
Hahaha sauti nzuri😁Na lile lisauti lake zurii
Sifahamu kama muigizaji labla maana wasanii ni wengi mno.Kwa hasira hizooo ni sio kiki [emoji23][emoji23][emoji23] halaf huyo kaka sio mwigizaji huyu kaka ake ebi
Itakuwa kapewa ngoma au kaliwa kiboga maana vijana wa kinondoni sio watu wazuri[emoji3]Amemharibiaje maisha ? Najaribu kutafakari! Au kamwambukiza ngma
Either kampa ngoma au kakunjua marinda
Kuna mwanamke anakubali akiambiwa hivyo?Inabidi angemuambia kuwa wapo for fun
HahahahaSi hayo yametokea Dar lakini?!!!
Dada wa watu mwenyewe anasema walikuwa na mipango yao mingi ya kazi,vitu vingine vya kujiongeza sngejiuliza huyo mlela amempendea nini?Ndio shida ya kudate na celebrity [emoji23][emoji23][emoji23] dada wawatu alijua ataolewa nn.
Akili za ajabu hizo mkuuNdio wanavyoshauriana hivyo kwenye magroup yao ya WhatsApp baadae wanakuja kulia na kuomba msaada wa mtoto.
How old are you...??Hao walipeana hela kienyeji kisa walikuwa kwenye mapenzi hakuna maandishi hapo ndiyo maana Ebitoke anatokwa mapovu tu,halafu tapeli tapeli tu haijalishi katumia njia ya mapenzi au urafiki hivyo kaka mtu kaona hawezi kukaa tu kimya dada yake atapeliwe.
Ndio hapo aliposhindwa kujiongeza yeye alidhani Mlela huko alipotoka amekosa kila kitu hadi aje kwake.Mlela hakufuata kila kitu yeye alifuata pesa tu
Ben hakumpa ngwengweDu tusikitike jamani
Mbona kwa Ben Paul waliachana kimya kimya