Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaa mkuu.Sio maisha mazuriblakin asilimia kubwa tumekulia maisha hayo.Na watanzania wengi tu bado wanaishi maisha hayo.sema huyu atakua shoga ndio maana anapekua sanaa maisha ya watuMkuu, inaonekana wewe sio mtz,..mbona tushazoea na hayo ndo maisha yetu tena hao Wana unafuu
Sio tu poa unatakiwa ubadilike mwanaume ni kosa sana kuwa na tabia za kinafki na kiumbea mbea..nimezaliwa kwenye familia maskini zaidi ya hiyo lakin hapa ninavyoongea wewe unayejiita umetokea familia tajiri ukija kwangu lazima utauliza 'hivi nikae kwenye sofa au haoa chini?' Na hata nyumbani nilipozaliwa nina uhakika ukifika tu utajiuliza hata sehemu ya kukanyaga...sijisifii nakuambia ukweli usimjudge mtu anapotoka judge anapokwenda.
nimesoma tu...nikajiuliza the same questionHivi Mtoa Mada Una Uhakika Kweli Wewe Ni Mwanaume??.
Mbona Wanaume Halisi Hatuna Tabia Za Kike Kike Kama Zako??.
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........
Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.
Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
Mwanaume wa kweli hawezi kujisifia sifia..eti MtanashatiHakuna mwanaume hapa
Kuponda ponds watu ni tabia ya MTU ,mfano wewe unae mponda Ibitoke sasa hivi umetokea familia gani (masikini au tajiri)sasa tulitarajia huenda ametokea maisha bora au ana maisha bora kumbe.....
Mzee baba nakuonaga sana kule fb siku hizi umehamia group la fb la chadema vs ccm 2020 nakuonaga ukipost habari za mastaa kuleYani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........
Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.
Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
Punga hilo!Hivi Mtoa Mada Una Uhakika Kweli Wewe Ni Mwanaume??.
Mbona Wanaume Halisi Hatuna Tabia Za Kike Kike Kama Zako??.
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........
Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.
Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843