casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
sijui saivi atabadili gia gani tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uongo wa kutupwaWakuu,
Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.
Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
Karibu tena CCM mzee Lowassa!Wakuu,
Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.
Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
Ndio unashtuka saizi...shubaaaamitNashukuru sana mungu hili zee likiondoka.
Limetuletea gundu sana hili
Ha Haa HaaaDuh, stori za lissu zote zimezikwa leo, hamna anaeongea ya kamanda lissu for presidence wala sijui kaenda Brussels.
Na ndivyo ilivyo, kesho anaondoka. Fisadi au ..... jana walikuwa pamoja na Mbowe kwa Kingunge. Huyu mtu hatari sana kama alikuwa anamchota Mbowe.Kabla ya kufanya hivyo anaweza kukandiya Chadema vibaya sana kisha kusepa.
Heshima ni jambo jema...Uhuru wa maoni uzingatiwe
Kwahiyo zile kelele za ufisadi zimezima tena?Kwani hao Watanzania si watamfwata huko aendako?
Never, he is leaving. Kwenda siyo hoja, hoja ni kujikomba kwa kumsifia wakati kuna maangamizi yanafanywa na huyo aliyemsifia. It is a pity kuwa yanafanywa na Lowasa. Amesahau kuwa huyu alipiga push up kuonyesha kuwa yeye si mgonjwa mgonjwa ni Lowasa, leo kasahau!Haendi ila atasema kuwa wameongelea kuhusu watanzania kufanya SIASA,BUNGE LIVE,KATIBA MPYA,Hali ya uchumi.
Naona viwanda vinajengwa kwa mtindo huo kwa sasa hatushabikii maendeleo tunashabikia siasa kima wewe.weraaaweraaa , makamanda washapoteana huko
Duu pole sana sanaNatamani huu ujumbe murua umufikie huyu mzee huko aliko.
Nakumbuka watu walitukanwa, walipigwa, walidhalilishwa, walishinda njaa, walikosana na ndugu na jamaa kisa harakati za 2015 kumusapoti huyu mzee halafu from no where nae awe na price tag yake[emoji27] [emoji27] !!
Upande wangu niliachana na kipenzi cha moyo wangu kisa nilikua upande wa huyu mmasai huku yeye akiwa upande wa huyu wa chato.
Na hatukurudiana kamwe
Ujumbe uko hapaAu lowasa anajua lisu atamfunika kaamua kujiongeza