Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.
Wakuu,

Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.

Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
Huu uongo wa kutupwa
 
Wakuu,

Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.

Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
Karibu tena CCM mzee Lowassa!
 
Kabla ya kufanya hivyo anaweza kukandiya Chadema vibaya sana kisha kusepa.
Na ndivyo ilivyo, kesho anaondoka. Fisadi au ..... jana walikuwa pamoja na Mbowe kwa Kingunge. Huyu mtu hatari sana kama alikuwa anamchota Mbowe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haendi ila atasema kuwa wameongelea kuhusu watanzania kufanya SIASA,BUNGE LIVE,KATIBA MPYA,Hali ya uchumi.
Never, he is leaving. Kwenda siyo hoja, hoja ni kujikomba kwa kumsifia wakati kuna maangamizi yanafanywa na huyo aliyemsifia. It is a pity kuwa yanafanywa na Lowasa. Amesahau kuwa huyu alipiga push up kuonyesha kuwa yeye si mgonjwa mgonjwa ni Lowasa, leo kasahau!

upload_2018-1-9_19-47-44.jpeg


Hii ilikuwa kuonyesha kwamba yeye haumwi anayeumwa ni Lowasa
 
akirudi Lowassa, Sumaye atafuatia kisha chadema inabakiwa na Nyalandu ambae ndio atasimama 2020 na Magufuli. Ngoma unogile
 
Ni lazima mbowe akubali kuiachia chadema na hata ikiwwlezekana na yeye astaafu kabisa siasa ili chadema isukwe upya maana haya makosa yamemchafua yametokana na yeye na ni bora yamzuru yy mwenyewe ili chadema ibaki salama.
 
Tatizo makamanda uwezo wa kuona mambo unaishia kwenye urefu wa pua zao.
 
Natamani huu ujumbe murua umufikie huyu mzee huko aliko.

Nakumbuka watu walitukanwa, walipigwa, walidhalilishwa, walishinda njaa, walikosana na ndugu na jamaa kisa harakati za 2015 kumusapoti huyu mzee halafu from no where nae awe na price tag yake[emoji27] [emoji27] !!

Upande wangu niliachana na kipenzi cha moyo wangu kisa nilikua upande wa huyu mmasai huku yeye akiwa upande wa huyu wa chato.
Na hatukurudiana kamwe
Duu pole sana sana
 
Mbowe aliharibu sana kumpokea huyu mzee! kwakweli ametuharibia chama! kitendo cha kumpoteza Dk Slaa ilikuwa ni pigo kubwa chamani! sasa niwakati ws kumuomba Dk Slaa arudi akijenge chama!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom