Pole kwa familiaTaarifa zaidi itatolewa na familia na Serikali. Poleni wote
====
EDWARD NGOYAI LOWASSA AFARIKI DUNIA
Aliyewahi kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Edward Ngoyai Lowassa amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mtoto wake Fredrick Lowassa amethibitisha
Pia, Lowassa aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2005 hadi 2008 na kuweka rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kujiuzulu.
Natengua kauli ya wahenga inayoseama "malipo ya dhulma ni hapa hapa duniani. Mbona aliyetenda dhulma bado anaunda?Ulisalitiwa na uliowasaidia kuingia ikulu
Umeilata hii habari ya Nini wakati unajua sio kazi yakoHujaelewa nini hapo. Mimi siyo mwandishi wa habari kwendaa.
Kuhusu nini?Mzee Ruksa nae vipi ?
My feeling ni kwamba aliondoka siku nyingi Sana SEMA Protokali za kikubwa ndio.zilichekewesha kumtangaza!!
Nafsi yangu inaniambia yupo mwingine hatangazwi Hadi Hawa kwanza watangazwe ndio huyo atafuata coz yeye ni mkubwa zaidi kuliko Hawa wanaotangulia Sasa hivi!!
Ngoja tuone!!
MumeoEeh sana sijui salam za chadema msibani nani atasoma.
Mkuu internet imekuwa sehemu ya maisha yetu.Uko faster mkuu...[emoji848]
Wewe fala nini.kwani kila anaeleta habari hapa ni kazi yake?Umeilata hii habari ya Nini wakati unajua sio kazi yako
Kumbe 2015 angepita Leo hii tungekuwa nusu mlingoti
Sitaki mazoea na mashoga kaa mbali na mimi.Mumeo
Safi kabisa.Mkuu internet imekuwa sehemu ya maisha yetu.
Naona kobazi zimeanza kukuvukaWewe fala nini.kwani kila anaeleta habari hapa ni kazi yake?