TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

Pole kwa familia
Tanzania imepoteza kiongozi mahiri
 
Kahama watamkumbuka kwa kuwasaidia kuwapunguzia makali ya maisha hasa katika suala la maji. Kabla ya kupeleka mradi wa Ziwa Victoria, ndoo ya maji ya lita 20, iliuzwa 500/=. Lakini baada ya mradi, ndoo ya lita 20 ikawa inauzwa 20/= enzi hizo.

Hii ndo aina ya viongozi tunaowataka na siyo takataka zinazotuongezea ugumu wa maisha kila uchao kwa kutuwekea kodi na tozo za kipuuzi zisizo na tija wala manufaa kwa nchi, isipokuwa kwa wapigaji (mafisadi) na kikundi cha wahuni wachache.
 

Kwamba Ndani ya mwezi huu watamtaja na yule mwengine Wa kibarakashea? Ama kweli dunia tunapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…