Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mean how si who? kwenye familiaKakake shetani vipi tena? How au Who!
Ila inasemekana ni tajiri sana ni bilionea sasa kapata wapi mali yote hiyo na kazi yake alikua mtumishi wa umma? Alikua anafanya biashara gani huko serikalini?Huyu aliangushiwa jumba bovu tu, na kwa hekima alikubali fedhea na lawama ziwe juu yake ili kunusuru picha ya aliyekuwa na madaraka makubwa kwa faida ya kampeni zilizokuwa zinafuata .
SawaNdiyo, lakini tumkumbuke kwa mema aliyolitendea Taifa letu.
Kingine, ni vzr kuwa na mwizi/fisadi mtafutaji anayeleta unafuu kwa watu, kuliko kuwa na mwadilifu mzembe anayesababisha ugumu wa maisha kwa watu wake.
jakaya ni mnafiki atajifanya anasikitika lakini yote yalompata ENL aliyasababisha jkNasubiri kusikia Jakaya atakayo yasema
Na mimi nipo msibani ila huyu ni mwanasiasa hatuzuiwi kumjadili [emoji1787]Mgalatia wa hovyo na wa ajabu.
Tuko kwenye msiba unaleta mzaha
Ndiko tunakoelekeaHuu uzi utaibua mambo mengi sana.
Poleni sana wazee wa mafuriko hayazuiliwi kwa mkono.R.I.P laigwanani hakika kaskazini tunalia wewe ndio ulikuwa uwe President wetu
Ugonjwa siyo umauti,cmp hata mwaka jana alikuwa mgonjwa.Sasa mtu alikuwa mgonjwa wa muda mrefu kapelekwa nje kutibiwa imeshindikana akarudishwa Muhimbili kuvuta vuta siku halafu mtu akisema fulani atafariki ndani ya mwaka huu huo sio utabiri maana tayari anajua ni mgonjwa mahututi.
Aga kabisa, maana huto rudiIs this JAL 2!?JAL 3 next!!?ngoja tuone!!
RIP comrade!
Huyo alikua Don wa Arusha hapo. Poleni sanaAmefariki mtu mwema. Huku Arusha mvua imenyesha ghafla tu kubwa hata haijulikani imetokea wapi. R. I. P Mzee wetu [emoji24]