Elimu ya Bure kwa Wasafirisha Maiti zinazogoma kwenda Kuzikwa Kwao ili zisikudhuru kwa Ajali mbaya barabarani

Wait...

Unasema Marehemu anagoma kuzikwa?

Anagomaje?

Anavyogoma anaweka kizuizi gani kuashiria amegoma?

Anasema sitaki?

Huyo atakuwa amezimia anawa ektia tu
Subiri ukue kudogo utajua maiti inaongea na kukasiri ama kufurahi .
 
Subiri ukue kudogo utajua maiti inaongea na kukasiri ama kufurahi .
Tena mwambie kuna Maiti zingine zikiagwa na Mtu mbaya ( aliyesababisha Kifo chake ) wakati huyo Mtu anaeenda Kuaga Maiti hugeuza Shingo au hutoa Machozi.

Acha Watu wadhani haya mambo hayapo na hapa tunatania tu wakati Elimu niliyoitoa hapa ni Kubwa na inafanya Kazi kwa 100% kama Marehemu akileta Usumbufu njiani akiwa anasafirishwa Kijijini Kwao kwa Maziko.
 
Hayo yote yalifanyika na ajali ilitokea na marehemu alienda na marehemu kadhaa akiwemo suka na tingo wake.

Huna jipya musee.
 
Usisujudu Miungu mingine ila mimi tu.

Haya yote uliyoyaandika kwa wakristo yalikwisha pale Kalivari, Damu ya Yesu aliye hai inanema mema, mtangulize Mungu katika maisha yako - hakika hatakuacha.
 
GENTAMYCINE umetulisha matango pori Murra MINOCYCLINE weeh,
 
Hii niliwahi kuambiwa na nikafuata miaka ya 90 nilikuwa nina daladala ilikuwa bado nzuri ila matairi yalikuwa hoi sana. Nikapata tenda hiyo Dar-Songea kupeleka maiti. Wazee pale Temeke tulipoanza safari wakanipa huu mtonyo nikafuata, hakukuwa na tatizo njiani. Kazi ilikuwa siku ya kurudi.
 
Watu mliolimbuka na sayansi uchwara za alternative to practical mna shida sana
Tatizo humu inapokuja mada yenye viashiria vya ushirikina wengi mko too emotional

Hizi mambo zimesemwa sana humu lakini hakuna hata moja ambayo lililowahi kuwa confirmed kuwa ni kweli

Zaidi tunaona nyingi zimekuja kuwa debunked lakini bado watu wamekuwa nyuma kukubali kuwa hizo stori ni za kufikirika.
 
Subiri ukue kudogo utajua maiti inaongea na kukasiri ama kufurahi .
Kama ukikua unakuwa na mawazo kama yako basi mi nachagua niendelee tu kuwa mdogo

Mnakua vibaya
 
Huwa sichoki kujifunza maarifa mapya hasa haya ya upande wa pili yasiyo na ithibati za kisayansi
 
Unataka iwe confirmed kwa njia gani!?
 
Wewe jamaa utakuwa ni GWIJI
 
kama alishasema akiwa hai asipelekwe kuzikwa kwao kwanini alazimishwe baada ya kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…