Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Tena hii ndio jinai mbaya inatia doa wanyamwezi. Nilisoma sehemu, ilikua ndio kabila la ovyo wakikamata watu wa makabila mengine na kuwauza kama watumwa. Ilinifedhehesha sana.Hakuna ukweli wowote maana utumwa ni human nature shukuru hao wazungu wameukomesha... Afrika tu utumwa ulikuwepo hata kabla ya kuja wazungu... Babu zako wa Tabora wamekuwa wakinunua na kuuza weusi wenzao wakati wa long distance trade na warabu
babu yako hakuweza hata kuyaandika haya hata alipokuwa nyuma ya keyboard bado alisanda , sijui ww ulihitaj uhuru gan ?uhuru gani mzee ambao unaongelea wewe
best comment ever , sio muarabu wala mweupe hakuna anaekujalJana pimbi moja nyeusi kama lami ikanitumia text w'app kwamba R.I.P malkia elizbet,ni ujinga tu.
Unaweza mtu ukajiuliza wanakupa faida gani hawa watu?well msaada wa dawa?hawa wazungu sijui waarabu hakuna siku wamemthamini Mwafrica ni sisi wenyewe jukumu letu kuthaminiana.
ni ww nn ulituma hiyo txtWewe ndiyo PIMBI..
solution ni kupambana km CHINA ili uheshimike na sio kuwa mvamiz km Urusi ili uheshimike , jana imepita wenzetu wanayaish maisha ya kesho ila sisi bado tunalia lia km vile tulitawaliwa pekee yetusijalilie pole chief. ila tabia ya ukwel siku zote haipendwi. UBAYA HAULIPWI KWA TABASAMU
Ghadaf kauawa na mtu mweusi yupi? Mwarabu wa Libya ni mtu mweusi?
angalia kesho , jana huez ibadili walaumu ancestors kwa kuwa vilaza mpk wakatawaliwaWaingereza wana nafasi yao kulamiwa na viongozi wetu pia wana nafac ya kulaumiwa.
Sasa ucmalaumu moja ukamuacha wengne wote walaumuwe. Kiufupi UKWELI USEMWE BILA KUTAZAMA USONI
mkuu fungua akil vzr uelew ,ile 1T ya mama imeishia wap hlf ndo uje ujiulize kwa tunaibiwa , viongoz njaa hlf unalaumu wazunguWhite people's aids have contributed nothing to ustawi wa nchi za kiafrika.
Mfano rahisi:Tangu nchi nyingi za kiafrika zianze kupewa mikopo ndiyo exploitation ya rasilimali za taifa za Afrika zinaibiwa.
Swali:Tatizo ni nini?
Jibu:Tatizo ni waafrika wenyewe(wanapokuwa viongozi) pamoja na wazungu.
inabid tuangalie wale wanaoendelea kutufelisha ila sio waliomaliza kufanya yao , we are heading to future not pastNdiyo maana nimesema wote tatizo.
sis pia wajinga , laumu viongoz wa Iraq kuroiunga Iraq na umoja wa Asia , pia kutotumia diplomacy kutatua kuingiza nchi kweny machafuko , Uk Boris kajiuzulu , Pakistan Prime minister alijiuzulu , ila Sadam alihis madaraka ya bibi yakejamaa wanajijal wao zaidi wapo radhi ww huumie wao wafaidike
Hao wazungu ndiyo walioenda Tripoli au Misrata kuanzisha maandamano? Kwani Ghadaf alikuwa Rais wa kwanza kupinduliwa na kuuawa na watu wake? Madikteta wote hufa in the same way, kuanzia Samwel Doe. Sami Abacha nawengine vifo vyao vilikuwa ni Kama stori tu.
kwann usiwaumize wao mpk uumizwe , mabab zetu walikuwa na makosa ya ubinafs na uroho wa madaraka huo mwanya aliutumia mtu mweupe kufanikisha malengo yao , sijawai sikia Thailand au Saudia Arabia au Ethiopia kutawaliwa sabab walikuwa wamojamtu akuumize alaf useme ni nature are you serious gee
nmependa hii reasoning , kosa kubwa lipo miongon mwetu watu weusiBiashara ya watumwa wasilaumiwe wazungu pekee hata mwafrika akwepi lawama hii. Mzungu wala muarabu akuingia field vijijini kukamata watu bali Kazi hii ilifanywa na waafrika wenzetu wakiwemo machief, ndugu nk. Kama mwafrika anatolewa congo kwa escot ya watu sita wakiswaga rundo la watu kwa miezi huku wakipita vijijini na wanavijji wakiwaaangalia tu wenzao wanaswagwa bila hata kuwasaidia kwa kuwaua hao wafanyabiashara na kuacha wenzao waafrika waswagwe hadi Pwani. uoni kwamba mwafrika nao ni sehemu ya lawama.
Mbona wamasai na wakurya wao awakuchukuliwa utumwani.
sasa walikuja kufanya nini Zanzibar na pwani ya Tanzania bara , je mashamba wakijilimia wao ? au walikuwa wanaviwanda vya mashine ? na kwann wao ni 1st class na wanaishi mijini tu huwakuti vijijini ? ukielewa hayo maswali huez pinga kuwa na wao walishiriki hiyo biashara , waulize wazanzibar kwann walikuwa wanawachinja waarabu mapema baada ya mapinduzi ya 1964Waarabu huwa mnawasingizia bure tu, ukiombwa ushahidi utaanza kujikuna kichwa, tulishawahi kutupiwa maganda ya ndizi na mwarabu? Au kufananishwa na sokwe?
acha ubishi bas , video zipo kibao zipo shuhuda kibao au unatumia smartkitochi ?Tumeshikilia hili hili la wafanyakazi wa ndani,, je! Ulikuwepo na ukashudia matukio hayo?
Huku hawateswi wafanyakazi mpaka kuuawa!! Mfanyakazi anamuuwa madam wake au tumeamua kujitoa ufahamu!!
Mimi bwana sidanganyiki na hizi story za jamii,Facebook na Twitter + vijiwe vya kahawa, waarabu wamebarikiwa sana, tuwape kongole hawa jamaa.
ila je walituomba msamaha kuchukua wazee wetu na kuwapeleka katk vita ambayo hata sisi haituhus...
na vipi walitopoza na nini kuhusu wale wazee wetu waliokufa vitani kwa manufaa yao