Elon Musk amesema USAID ni Shirika la kihalifu, linapaswa kufa
Sio "hela nyingi" wanaheshimu sana maslahi ya mtu na sio tu kwa USAID ni NGOs zote za kimataifa. No wonder hata mpiga deki wa USA ana maslahi kuliko branch manager wa CRDB.
Duh, kwa hiyo sisi tunaoomba kazi serikalini wanatuona tumepotea?

Upatikanaji wa hizo kazi si hadi connection?
 
Duh, kwa hiyo sisi tunaoomba kazi serikalini wanatuona tumepotea?

Upatikanaji wa hizo kazi si hadi connection?
Serikalini ni job security tu inatafutwa ila maslahi ya mfanyakazi mfano compassion analipwa almost 7m na officer tu kwenye kitengo sio manager!! Kuna mmama pale analipwa 13 M mshahara tu nje ya benefits zingine!! Sasa huyu hata akifukuzwa kazi ndani ya miaka 10 ana fedha kuliko mwalimu atakayefanya kazi miaka 30!!

Ni kweli connection inahusika, ila hata serikalini connection zipo basically tatizo ni kila sehemu sema walau ikipitia utumishi sio sana kama private sector.
 
Hayo maukwimwi yalianza huko, waliyaleta wao wenyewe! Sasa chaajabu nini hapo wakiyashughurikia wenyewe. Unadhani mmarekani atatoa msaada bila faida?
 
Huyo Marekani, asiwababahishe.
Muda siyo mrefu tutatoa copy ya ARV, wafrika msiwaze. Sisi ndiyo wachina
Kama sikosei, bongo kipo kiwanda cha ARV, yule jamaa alikuaga mayor wa Dar bwana Masaburi, alikuaga na kiwanda cha namna hi so hili la viwanda (either dawa original or copy ) sio tatizo, we have them; shida ni viwango. Sina imani pia mashirika yetu ya viwango Tanzania, wao huaga wana vitu vyao wanavyo viangalia, sio viwango
 
Ukikuta ka mtu kapo Plan international analipwa MSHAHARA wa 3 MILION wanakuwaga na nyodo utawasikia Yani ww unafanya kazi laki 100000 tu YESU MKUBWA
Yesu gani huyo anakufundisha hii roho? Au yesu wa Tongareni?
 
20250203_113153.jpg
 
Wale wazee wa kutegemea misaada ama ruzuku kutoka shirika la misaada la Marekani la USAID, sasa rasmi Trump ameagiza shirika hilo livunjwe na kufutiliwa mbali kabisa.

Tanzania hapa NGOs nyingi zinategemea ruzuku kutoka USAID kama MDH, Amref, Jhpiego nk.

Wazee wa USAID mkae mkao wa kula, shirika ndio limekufa hivyo. Hata website yao sasa haipo tena na accounts zao wote kwenye social media zimefutika.

Mimi binafsi mwaka jana nilipata bahati ya kuhudhuria mafunzo nje ya nchi kwa ufadhili wa USAID ila sio ya Tanzania, USAID ya nchi nyingine, walitupeleka mahala kwenda kutu brainwash ujinga ujinga flani hivi😂.


View: https://x.com/ABC/status/1886391209859363006?s=19
 
Back
Top Bottom