Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
It about policy , muite mpumbavu lakini ndio wananchi wa america wamemmchaguaHuyu mzee ni mpumbavu sana, kwahiyo walioanzisha hili shirika ni wajinga ila yeye ndo mjanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It about policy , muite mpumbavu lakini ndio wananchi wa america wamemmchaguaHuyu mzee ni mpumbavu sana, kwahiyo walioanzisha hili shirika ni wajinga ila yeye ndo mjanja
Na bado hujasema.Huyu mzee ni mpumbavu sana, kwahiyo walioanzisha hili shirika ni wajinga ila yeye ndo mjanja
Acheni kusema vitu hamana uhakika. Madavida ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa DSM, siyo MasaburiKama sikosei, bongo kipo kiwanda cha ARV, yule jamaa alikuaga mayor wa Dar bwana Masaburi, alikuaga na kiwanda cha namna hi so hili la viwanda (either dawa original or copy ) sio tatizo, we have them; shida ni viwango. Sina imani pia mashirika yetu ya viwango Tanzania, wao huaga wana vitu vyao wanavyo viangalia, sio viwango
Kiwanda kipo/kilikuwepo au hakipo/hakikuwepo? Jina la mmiliki sio muhimu sanaAcheni kusema vitu hamana uhakika. Madavida ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa DSM, siyo Masaburi
Acha utoto!Kiwanda kipo/kilikuwepo au hakipo/hakikuwepo? Jina la mmiliki sio muhimu sana
Kuanzisha shirika sio sababu, unaweza anzisha shirika la hovyo likawa linafanya hovyo au unafikiri kila kinachoanzishwa ni kizuri? Kwa hiyo walioanzisha mashirika ya kunadi ushoga nao sio wajinga?Huyu mzee ni mpumbavu sana, kwahiyo walioanzisha hili shirika ni wajinga ila yeye ndo mjanja
Hawa haitawaathiri sana maana hawategemei msaada ya trump kwa asilimia 100 wanauwezo wa survive hata bila msaada wa mmarekani.Ukikuta ka mtu kapo Plan international analipwa MSHAHARA wa 3 MILION wanakuwaga na nyodo utawasikia Yani ww unafanya kazi laki 100000 tu YESU MKUBWA
Nilidhani tunajadiriana na mtu mwenye kufikiri vizuri. Tuishie hapoAcha utoto!
Mlitoa mkapigwa ban na WHO haina ubora wakastopisha matumiziHuyo Marekani, asiwababahishe.
Muda siyo mrefu tutatoa copy ya ARV, wafrika msiwaze. Sisi ndiyo wachina
🤣🤣 acha roho mbayaUkikuta ka mtu kapo Plan international analipwa MSHAHARA wa 3 MILION wanakuwaga na nyodo utawasikia Yani ww unafanya kazi laki 100000 tu YESU MKUBWA
Cheki matumizi ya r na lNilidhani tunajadiriana na mtu mwenye kufikiri vizuri. Tuishie hapo
Achana na mambo ya silabi sijui nini, hayo tunaachia watoto wa shule; muhimu umeelewa. So in a nut shell, kiwanda cha ARV kipo? Or tuliwahi kua na kiwanda cha ARV nchini? Sasa hofu yetu ni ipi? Tutumbukize ruzuku kule, tuachane na mambo ya kijinga, tubane matumizi, tuwekeze pesa kwenye maendeleo badala ya vitu ambavyo wala havina impact yoyote kwa nchi, sijui goli la mama, semina, warsha, ziara za mara kwa mara tuachane nazo. Pesa tunazo, management ya pesa ndio tatizo letu kubwa.Cheki matumizi ya r na l
Huwezi kujadili kwa kutoa command! Hapa ni uwanja wa kujifunza na kufunza. Kitu hujui unauliza kiheshima na utapata jibu maridhawa.
Kukusaidi wanaotafuta kujua ukweli. Madavida aliwekwa ndani kwa vile kiwanda chake kilikuwa kinatengeneza ARV fake. Kiwanda alikipora kutoka Serikalini wakati ule wa ubinafsishaji cha Keko.
Rais Samia ashuhudia utiaji wa saini wa hati ya ushirikiano nchini Uganda
Tujisomee. Aliyepata kapata!www.jamiiforums.com
Ramadhani & Zarina Madabida na ARVs FEKI (Miradi ya CCM...?)
Wale jamaa zangu wanaoendeshaga Magari huku wamewasha Taa mchana nishajua hela ya kununua hayo magari wanayapata wapi? Nina uhakika nami nikikaa chini nikakuna kichwa sikosi kuibuka na mchongo dizaini hizi. Hii Bongo nishaona bila kujituma hata kwenye Magumashi hailipi.www.jamiiforums.com
Ngoja tuanze kuApply compassionSerikalini ni job security tu inatafutwa ila maslahi ya mfanyakazi mfano compassion analipwa almost 7m na officer tu kwenye kitengo sio manager!! Kuna mmama pale analipwa 13 M mshahara tu nje ya benefits zingine!! Sasa huyu hata akifukuzwa kazi ndani ya miaka 10 ana fedha kuliko mwalimu atakayefanya kazi miaka 30!!
Ni kweli connection inahusika, ila hata serikalini connection zipo basically tatizo ni kila sehemu sema walau ikipitia utumishi sio sana kama private sector.
Kama kuna uliyekuwa unamsubiri angalizo la kujipa ni kuwa mtu anayelipwa 10 to 100 sio wa kumkaribisha mtaani unless alikuwa mzembe mno.Usa kaanza na Who, Baada ya elon musk kuua usaid, world bank na imf ijiandae.
Trump anataka hela ya Mmarekani itumike marekani tu. Wengine wapambane na hali zao
Wale waliokuwa wanalipwa 10m hadi 100m+ kwa mwezi kwenye mashirika ya usa karibuni mtaani.
Kuna yule wetu aliyesema huko nje kuna mapesa mengi tu...Usa kaanza na Who, Baada ya elon musk kuua usaid, world bank na imf ijiandae.
Trump anataka hela ya Mmarekani itumike marekani tu. Wengine wapambane na hali zao
Wale waliokuwa wanalipwa 10m hadi 100m+ kwa mwezi kwenye mashirika ya usa karibuni mtaani.
dozi za vvu zitapoteaa....aisee hao jamaa wataharaa hatareee mazee dah
www.voanews.com