Elon Musk atangaza kampuni yake ya Neuralink kuleta kifaa tiba cha kuwawezesha vipofu kuona!

Elon Musk atangaza kampuni yake ya Neuralink kuleta kifaa tiba cha kuwawezesha vipofu kuona!

Tumalize kwanza kuhakikisha wanafunzi wetu wa shule wana matundu ya kutosha ya vyoo na wanakula chakula bora mashuleni sio makande na ugali maharage tu.
Tusisahau na kuboresha app za kampuni za kukopesha unazokopa 20,000 ila unapewa 15,000 urudishe 35,000 ndani ya nchi yenye mamlaka, sheria na sera za fedha ili wataalamu wetu wakope wafanye uvumbuzi.
 
Ningeshangaa nisingekutana na maoni ya Wanasayansi wa Tegeta.
Mfumo wote wa Musk ni wakijinga , kuanzia chip yake mpaka hiko kifaa ...Ukitumia tayari unaweza kufanywa chochote kile kwa mda wowote ule.
 
Habari njema hii kama kawaida tech ikifanikiwa tatizo jipya litaibuka.

Miaka 30 ijayo usishangae Africa tukapewa misaada ya kuona kwa vipofu walioongezeka sana kwa masharti fulani fulani.
i always say, kama afrika tusipo amka. basi ni haki yetu kufanyiwa chochote. Hii neuralink toka inaanza tangazwa mwanzoni wengi walidhani mzaha lakini mdogomdogo inakua kitu halisi sasa. Muafrica utakuja msikia tu wanataka watuue, kama kweli wanataka watuue na sisi tuanze kazi sasa ya kujilinda
 
i always say, kama afrika tusipo amka. basi ni haki yetu kufanyiwa chochote. Hii neuralink toka inaanza tangazwa mwanzoni wengi walidhani mzaha lakini mdogomdogo inakua kitu halisi sasa. Muafrica utakuja msikia tu wanataka watuue, kama kweli wanataka watuue na sisi tuanze kazi sasa ya kujilinda
Hahaha. Kwamba Wanataka kutuua siyo?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Hahaha. Kwamba Wanataka kutuua siyo?
Unawekewa chip , unakuwa controlled ikitokea ukahackiwa utafanya nn ? Kucontrol binadamu mpaka kuweza kucontrol conscience yake ni hatari sana ...Japo siamini watu wa NWO ila naanza kupata mashaka .

Ukitaka kujua hilo kaangalie movie inaitwa ''What happende to Monday'' Then ichambue vizuri kuna sehemu mwaka unaonekana 2073 ...Watu wanachip mwilini na idadi ya watu inatakiwa kuwa wachache , jamaa wakikifuatilia ni dk hata iweje watupata ..Kuna sehemu yule dada alikuw ananua nyama basi akalipa kwa kuscan bracelet iliyoko mwilini .
 
Diamond anamfukuzia jamaa kwenye utajiri sijui atamfikia na kumpita kabisa maana jamaa naye anazidi kukaza tu.
Maana akifanikiwa hapa atavuna sana pesa mzeiya.
 
Tumalize kwanza kuhakikisha wanafunzi wetu wa shule wana matundu ya kutosha ya vyoo na wanakula chakula bora mashuleni sio makande na ugali maharage tu.
Shule tunaenda kusoma, sio kula wala kunya
 
Kwa hiyo hiki kichwa Nappe ndo alitaka kije mezani wajadiliane? Kuna watu wana mizaha sana.
🤓🤓 DadeQ!

Si mtetei Nape ila wewe umeona alitakiwa aje tu bila ya majadiliano.Embu fafanua hiyo kauli yako au hujataka kuandika ufafanuzi mrefu.
 
Kwa hiyo hiki kichwa Nappe ndo alitaka kije mezani wajadiliane? Kuna watu wana mizaha sana.
Ishu za vipofu zipo mda sana , tena sana nuerolink wana mpango wa kando kabisa ...Hapo mtu atakuwa na uoni usio wa asili .

Wangeanza na kansa na mpango wao wa kufufua watu ...Acheni kupumbazwa aguse kansa na kifo aone ....
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ishu za vipofu zipo mda sana , tena sana nuerolink wana mpango wa kando kabisa ...Hapo mtu atakuwa na uoni usio wa asili .

Wangeanza na kansa na mpango wao wa kufufua watu ...Acheni kupumbazwa aguse kansa na kifo aone ....
Anza wewe na hiyo kansa na kifo,
Wewe unachangia nini katika hii dunia?
 
Back
Top Bottom