Elon Musk atangaza kampuni yake ya Neuralink kuleta kifaa tiba cha kuwawezesha vipofu kuona!

Elon Musk atangaza kampuni yake ya Neuralink kuleta kifaa tiba cha kuwawezesha vipofu kuona!

Unawekewa chip , unakuwa controlled ikitokea ukahackiwa utafanya nn ? Kucontrol binadamu mpaka kuweka kucontrol conscience yake ni hatari sana ...Japo siamini watu wa NWO ila naanza kupata mashaka .

Ukitaka kujua hilo kaangalie movie inaitwa ''What happende to Monday'' Then ichambue vizuri kuna sehemu mwaka unaonekana 2073 ...Watu wanachip mwilini na idadi ya watu inatakiwa kuwa wachache , jamaa wakikifuatilia ni dk hata iweje watupata ..Kuna sehemu yule dada alikuw ananua nyama basi akalipa kwa kuscan bracelet iliyoko mwilini .
Tsh si unaona tushafika kwenye New World Order
 
Ishu za vipofu zipo mda sana , tena sana nuerolink wana mpango wa kando kabisa ...Hapo mtu atakuwa na uoni usio wa asili .

Wangeanza na kansa na mpango wao wa kufufua watu ...Acheni kupumbazwa aguse kansa na kifo aone ....
mkuu, hili la kansa na kufufua waafrica tufanye kazi na sisi tuweke jina, tukiendelea kusinzia watafika na huko
 
Anza wewe na hiyo kansa na kifo,
Wewe unachangia nini katika hii dunia?
Nataka hao wasiofuata dini waanze tuone , wameweka watu kweny majokofu miaka kibao mpaka leo hawajwazindua huyu nae anakuja na cheap politics .

Wewe ni mfuata mkumbo kwa vile hujielewi hata kesho Musk akitaka uolewe , utaolewa tu ...
 
mkuu, hili la kansa na kufufua waafrica tufanye kazi na sisi tuweke jina, tukiendelea kusinzia watafika na huko
Yeap kama tunaweza , matajiri kutwa wanakufa huko kwa ugonjwa huo eti anaongelea vipofu .....
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Nataka hao wasiofuata dini waanze tuone , wameweka watu kweny majokofu miaka kibao mpaka leo hawajwazindua huyu nae anakuja na cheap politics .

Wewe ni mfuata mkumbo kwa vile hujielewi hata kesho Musk akitaka uolewe , utaolewa tu ...
Gwajima tayari anafufua watu, Sheikh Sharifu tayari anafungisha ndoa za binadamu na majini.
 
Ukitaka kujua hilo kaangalie movie inaitwa ''What happende to Monday'' Then ichambue vizuri kuna sehemu mwaka unaonekana 2073 ...Watu wanachip mwilini na idadi ya watu inatakiwa kuwa wachache , jamaa wakikifuatilia ni dk hata iweje watupata ..Kuna sehemu yule dada alikuw ananua nyama basi akalipa kwa kuscan bracelet iliyoko mwilini .
Hii movie nimeitazama. Binafsi nadhani kuna umuhimu kweli wa population control. Hatuwezi kuzaliana tu kama ng'ombe wakati tunategemea viumbe wengine kusurvive.

Sisi ni predetors wa mimea, wanyama, ndege, samaki n.k. sasa imagine tupo binadamu B50 duniani, what will happen?

Kama Leo tu tupo B6 kuna nchi ukienda hospitali watu wamelundikwa kama ng'ombe tukifika B50?. Maisha yatakosa thamani kabisa.
 
Hii movie nimeitazama. Binafsi nadhani kuna umuhimu kweli wa population control. Hatuwezi kuzaliana tu kama ng'ombe wakati tunategemea viumbe wengine kusurvive.

Sisi ni predetors wa mimea, wanyama, ndege, samaki n.k. sasa imagine tupo binadamu B50 duniani, what will happen?

Kama Leo tu tupo B6 kuna nchi ukienda hospitali watu wamelundikwa kama ng'ombe tukifika B50?. Maisha yatakosa thamani kabisa.
Unajua siamini haya mambo ila kwa sasa kidogo naanza kuamini , naonaga watu wakizungumzia population control ila kuna sababu dalili kadhaa nimeshaanza kuona.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Teknolojia ya baba yako au una hela ya kununua kweli wewe kapuku !!?
Nataka hao wasiofuata dini waanze tuone , wameweka watu kweny majokofu miaka kibao mpaka leo hawajwazindua huyu nae anakuja na cheap politics .

Wewe ni mfuata mkumbo kwa vile hujielewi hata kesho Musk akitaka uolewe , utaolewa tu ...
Acha pombe Mkuu
 
Unajua siamini haya mambo ila kwa sasa kidogo naanza kuamini , naonaga watu wakizungumzia population control ila kuna sababu dalili kadhaa nimeshaanza kuona.
Mkuu, wakati sisi tunaoa, kula, kunya na kuabudu kuna watu wanakaa wanaangalia miaka 100/200 ijayo itakuaje kisha wanakuja na plan ya kuepusha hatari.

Tutawaita majina yooote sijui freemasom, sijui Illuminat sijui kina nani ila mwisho wa siku ni lazima hawa watu wawepo kusaidia maisha yaendelee, otherwise pweza wanaovuliwa ili waliwe na binadamu wataisha, Samaki wataisha, ng'ombe hawatatosha, kuku hawatatosha hata tukibuni mbinu za kuwakuza siku mbili ili wafae kuliwa.

Tutakata miti yote ili tujenge nyumba na magorofa, maisha yatakuwa kwenye hatari ya kupotea.
 
Na wanakokopesha kwa lazima taka usitake inaingia kwenye simu yako yenyewe😀😀😀
Tusisahau na kuboresha app za kampuni za kukopesha unazokopa 20,000 ila unapewa 15,000 urudishe 35,000 ndani ya nchi yenye mamlaka, sheria na sera za fedha ili wataalamu wetu wakope wafanye uvumbuzi.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mkuu, wakati sisi tunaoa, kula, kunya na kuabudu kuna watu wanakaa wanaangalia miaka 100/200 ijayo itakuaje kisha wanakuja na plan ya kuepusha hatari.

Tutawaita majina yooote sijui freemasom, sijui Illuminat sijui kina nani ila mwisho wa siku ni lazima hawa watu wawepo kusaidia maisha yaendelee, otherwise pweza wanaovuliwa ili waliwe na binadamu wataisha, Samaki wataisha, ng'ombe hawatatosha, kuku hawatatosha hata tukibuni mbinu za kuwakuza siku mbili ili wafae kuliwa.

Tutakata miti yote ili tujenge nyumba na magorofa, maisha yatakuwa kwenye hatari ya kupotea.
Nchi kama italy population inapungua badala ya kuongezeka ...Kama ni mpango wa kuzaliana ni jambo la elimu tu kwa jamiii ila sio mambo ya kulipuana .
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom