Watamuua Lissu ?CCM hawawezi ruhusu hilo litokee
Lemma Yuko Smart sanaHivi Lema ana uwezo gani?
Wataishia jela na kuwa mwisho wa ChamaTutashuhidia maccm yakiomba uraia nchi jirani kukimbia moto wa chadema.
Mungu ibariki chadema.
Wanaweza wakamfukuza uanachamaWatamuua Lissu ?
Mwabukusi bado anapanga makabrasha yake pale TLS, siku akikamilisha ndiyo utajua hujui.Yuko wapi Mwabukusi au Bado hujanielewa? ππππ
Akili Yako ni fupi ndio maana hujielewi.Mchagueni na Lisu uone kama atatenda anayowahubiriaMwabukusi bado anapanga makabrasha yake pale TLS, siku akikamilisha ndiyo utajua hujui.
Angekuwa ana ubavu asingemkimbia Kilawile kwenye Uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini.Amepima maji akaona ni marefu.Lemma Yuko Smart sana
Lisu akipata uenyekiti, Samia atarudi kwao Kizimkazi. Abdul atfungwa jela kabisa.Akili Yako ni fupi ndio maana hujielewi.Mchagueni na Lisu uone kama atatenda anayowahubiria
Hakuna pimbi wa kumtoa SSh huko kwenye Saccos ya Mbowe πππLisu akipata uenyekiti, Samia atarudi kwao Kizimkazi. Abdul atfungwa jela kabisa.
Sio kweli, Lema hana uwezo wowote.Lemma Yuko Smart sana
Tazama upande wa pili wa shilingi.Tutashuhidia maccm yakiomba uraia nchi jirani kukimbia moto wa chadema.
Mungu ibariki chadema.
Chadema kuna watu wenye akili sana tofauti na ccm.Hakuna pimbi wa kumtoa SSh