LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa Hilo linahusiana vipi na kugombea kwake uwenyekiti?Bila Kamanda DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa Hilo linahusiana vipi na kugombea kwake uwenyekiti?Bila Kamanda DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!!
Hao uliowataja ni wadogo kama uduvi, hata hawajulikani kama ni viumbe hai. Lema anatabiri maisha ya mapapa na makambaleNaomba atutabirie choice,Luka,Comute,Kiparamuya hao kwanza akimaliza namuongezea wengine.
Mafahari hao 3 hawawezi kukaa pamoja!Tutashuhidia maccm yakiomba uraia nchi jirani kukimbia moto wa chadema.
Mungu ibariki chadema.
Ni kweli uyasemayo ila sina ushawishi sana na siasa za huko ila hata wapinzani jukumu lao ni kuwabana walioko kwenye madaraka kwa kuyaongelea haya kila wakatiUnataka kusema nini? Lisu na Mbowe watapata wapi hela ya kutengenezea madawati wakati hawajawahi kushika dola na kukusanya Kodi.
Samia ndiyo anapaswa kubeba lawama A madawati kwa sasa. Hela za Kodi anazitapanya kujenga Samia zoo, Samia sports center, kuandalia Kizimkazi festival na upuuzi mwingine.
Kuna mwanafalsafa Mmoja aliwai kusema ongea usifike au kakaa kimya usidharaulike ..Haahaa kivipi mkuu?
Hivi maccm akili zenu zipo kwenye matyako?!Akili Yako ni fupi ndio maana hujielewi.Mchagueni na Lisu uone kama atatenda anayowahubiria
Where is Mwabukusi wa TLS? 🤣🤣Hivi maccm akili zenu zipo kwenye matyako?!
Tutashuhidia maccm yakiomba uraia nchi jirani kukimbia moto wa chadema.
Mungu ibariki chadema.
Labda awe mpemba maustadhi wa bara hawaaminiki.Makamu mwenyekiti au katibu awe ustadh.
Mzee Mbowe machine na hiyo kazi ya malimbikizo. Toka naenda round 5 mpaka nazeeka naishia round 3 yeye bado tu.
Makamu halafu katibu awe hecheMakamu mwenyekiti au katibu awe ustadh.
Hauna ujualo!! aliyemsaidia Lissu kupata ndege kwenda Nairobi ni KikweteBila Kamanda DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!!
Anawasubiri wahuni wq mapangoni awaburuze kwenye mikono ya sheria.Where is Mwabukusi wa TLS? 🤣🤣
Lisu anaandaliwa na wakatoliki kupambana na Mlutheri Mbiwe.Ni maamuzi tu, kwani ni kanuni ama sheria kwamba kila anayetaka kutangaza Nia ya kugombea umwenyekiti ni lazima atangazie makao makuu?
Huyu mpambanaji Luhaga Mpina vipi naye?
Heche na lissu wanaweza kwa pamoja, wakipangana vizuri, Ccm hawatalala pale Lumumba nakwambiaMafahari hao 3 hawawezi kukaa pamoja!
Heche na Lissu hawana subra kabisa sijui kama wanaweza kuwezana.
Lema atakuwa mburuzwaji na hawezi kukubali.
Ni mtazamo tu
Hujamkuta kwenye ànga zake wewe.Hivi Lema ana uwezo gani?