Endapo Lisu atakuwa Mwenyekiti, Makamu mwenyekiti Heche na Katibu Mkuu awe Lema. Patachimbika!!

Endapo Lisu atakuwa Mwenyekiti, Makamu mwenyekiti Heche na Katibu Mkuu awe Lema. Patachimbika!!

Wataishia jela na kuwa mwisho wa Chama

Japo akishika madaraka hawezi kutenda anavyowasimulia nyie nyumbu au hamjamsikia akisema atarudi kwenye maridhiano ya kweli?

Yuko wapi Mwabukusi au Bado hujanielewa? 😂😂😂😂
Lissu akiwa Mwenyekiti wa Chadema, CCM itamtafuta mgombea Urais Mwanaume mwenye hofu ya Mungu na anayechukia rushwa na ufisadi.
 
Lissu akiwa Mwenyekiti wa Chadema, CCM itamtafuta mgombea Urais Mwanaume mwenye hofu ya Mungu na anayechukia rushwa na ufisadi.
Chukueni Lisu unganisheni na yeyeote mumtakaye ila hakuna wa kumshinda Samia na ndio Faid wako Hadi 2030 ni utake au usitake
 
Kuna nyakati kujitoa mhanga ni mbinu ya hali juu sana kwa mtu au taasisi yoyote ili kuweza kukua.
Ingawa isivunje Amani ya Nchi au kuhatarisha usalama wa raia kiasi ya kusababisha Mkuu wa Nchi kutangaza Hali ya Hatari.
Binafsi namuona Mh.Mbowe aking'oka CHADEMA,uenyekiti wa Mh. Lissu utaitikisa CCM.
 
Kuna mwanafalsafa Mmoja aliwai kusema ongea usifike au kakaa kimya usidharaulike ..
Yule jamaa the way ana ropoka ropoka kimihemko,,yah off course inampatia cheap popularity Kwa wajinga wengi, ila Kwa wenye akili timamu ukimskiliza tu unajua hili kopo.
Mkuu, na watu wakisoma coment yako watajua tu kwamba huyu naye kichwani ni kopo pia.
 
Chukueni Lisu unganisheni na yeyeote mumtakaye ila hakuna wa kumshinda Samia na ndio Faid wako Hadi 2030 ni utake au usitake
Kwani na wewe siulisema utakuwa mmoja wa wachukua fomu hapo kwenu halafu unajizugisha hapa?
 
Chukueni Lisu unganisheni na yeyeote mumtakaye ila hakuna wa kumshinda Samia na ndio Faid wako Hadi 2030 ni utake au usitake
Hata ndio unakosea. Aibu itaenda kutokea maana mbeleko haitakuwepo. Pia CCM haiwezi kufanya makosa kumpa nafasi Mgombea Urais ambae kumnadi ni changamoto kwani hakutakuwa na wizi wa kura. Bora kwenye Uchaguzi uliopita wangefumba macho kuepuka uchafuzi wa uchaguzi. Kwa yaliyotokea kwenye Uchaguzi uliopita wameharibu kabisa maana wamekula na Kipofu wakamshika mkono.
 
Back
Top Bottom