Endapo Lisu atakuwa Mwenyekiti, Makamu mwenyekiti Heche na Katibu Mkuu awe Lema. Patachimbika!!

Endapo Lisu atakuwa Mwenyekiti, Makamu mwenyekiti Heche na Katibu Mkuu awe Lema. Patachimbika!!

Tazama upande wa pili wa shilingi.
Hao watu watafungua tawi la CHADEMA ndani ya Segerea.
Siyo rahisi kama unavyofikiria. Lisu ni mjuvi na mbobezi wa sheria.

Alimparura jiwe akiwa ndiyo anatosha, lkn hakumfanya kitu, akaishia kumpiga risasi lkn napo hakufa badala yake jiwe akafa yeye.

Lisu atamvua kilemba Samia.
 
Kwa bahati mbaya ama nzuri wote ukiowataja hapo hawajakuwepo kwa press yake jiukize.
Press ilikuwa ni ya Lisu na waandishi wa habari, siyo na wanachadema.

By the way, Lisu haendekezi uchawa. Si umesikia akiukemea uchawa?
 
Hivi Lema ana uwezo gani?
Lema ni nabii, akitabiri kuwa Samia atageuka mende, haitachukua muda Samia atakuwa mende.

Lkn pia kamuulize Mrisho Gambo akiwa RC pale Arusha. Alijuta kumjua Lema.
 
Hivi kushika dola ni kuhakikisha nchi inasonga mbele au kila mmoja anawaza lake akiwa juu atukomeshe na ale yeye na ndugu zake tu
Siasa za Afrika nyingi ziko sawa
Mtauwana kisa madaraka lakini Uzalendo hakuna bali mbwembwe tu

Huwezi kuona mwanasiasa nalia kisa watoto hawana dawa au madawati
 
Mtu anayesifia chochote kwa lema ni wazi kuwa hamjui
Huyo Makonda mwenyewe pamoja na kujimwambafai hajathubutu kumgusa tangu awe RC. Lema namba nyingine.

Anayemgusa Lema ananuka.
 
Lema ni nabii, akitabiri kuwa Samia atageuka mende, haitachukua muda Samia atakuwa mende.

Lkn pia kamuulize Mrisho Gambo akiwa RC pale Arusha. Alijuta kumjua Lema.
Naomba atutabirie choice,Luka,Comute,Kiparamuya hao kwanza akimaliza namuongezea wengine.
 
Bila Kamanda DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!!
 
Hivi kushika dola ni kuhakikisha nchi inasonga mbele au kila mmoja anawaza lake akiwa juu atukomeshe na ale yeye na ndugu zake tu
Siasa za Afrika nyingi ziko sawa
Mtauwana kisa madaraka lakini Uzalendo hakuna bali mbwembwe tu

Huwezi kuona mwanasiasa nalia kisa watoto hawana dawa au madawati
Unataka kusema nini? Lisu na Mbowe watapata wapi hela ya kutengenezea madawati wakati hawajawahi kushika dola na kukusanya Kodi.

Samia ndiyo anapaswa kubeba lawama A madawati kwa sasa. Hela za Kodi anazitapanya kujenga Samia zoo, Samia sports center, kuandalia Kizimkazi festival na upuuzi mwingine.
 
Back
Top Bottom