njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
Na mdude je awe naniTutashuhidia maccm yakiomba uraia nchi jirani kukimbia moto wa chadema.
Mungu ibariki chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mdude je awe naniTutashuhidia maccm yakiomba uraia nchi jirani kukimbia moto wa chadema.
Mungu ibariki chadema.
Lema Bora ya boni mara 100 hamna kitu kabisa pale zero sifuri.Lemma Yuko Smart sana
Siyo rahisi kama unavyofikiria. Lisu ni mjuvi na mbobezi wa sheria.Tazama upande wa pili wa shilingi.
Hao watu watafungua tawi la CHADEMA ndani ya Segerea.
Watafanyaje?wamepewa ujanja na mdau hapo juu.Huenda itakuwa muda wao kuhamia burundi.CCM hawawezi ruhusu hilo litokee
Mdude atakuwa katibu mwenezi wa chamaNa mdude je awe nani
Lema ni chawa wa mbowe hana lolote ni muhuni tuu na laghai wa kisiasaHivi Lema ana uwezo gani?
Press ilikuwa ni ya Lisu na waandishi wa habari, siyo na wanachadema.Kwa bahati mbaya ama nzuri wote ukiowataja hapo hawajakuwepo kwa press yake jiukize.
Nabii si uliona mwenyewe mwaka ule kilichotokea?Hivi Lema ana uwezo gani?
Waulize ccm watakuambia uwezo wakeLema ni chawa wa mbowe hana lolote ni muhuni tuu na laghai wa kisiasa
Lema ni nabii, akitabiri kuwa Samia atageuka mende, haitachukua muda Samia atakuwa mende.Hivi Lema ana uwezo gani?
Mtu anayesifia chochote kwa lema ni wazi kuwa hamjuiWaulize ccm watakuambia uwezo wake
Huyo Makonda mwenyewe pamoja na kujimwambafai hajathubutu kumgusa tangu awe RC. Lema namba nyingine.Mtu anayesifia chochote kwa lema ni wazi kuwa hamjui
Nani huyo?Makamu mwenyekiti au katibu awe ustadh.
Naomba atutabirie choice,Luka,Comute,Kiparamuya hao kwanza akimaliza namuongezea wengine.Lema ni nabii, akitabiri kuwa Samia atageuka mende, haitachukua muda Samia atakuwa mende.
Lkn pia kamuulize Mrisho Gambo akiwa RC pale Arusha. Alijuta kumjua Lema.
Haahaa lissu kaweka hoja kati, washambilie hoja.Lissu uwezo anao, chadema ataipeleka level nyingineMboe hawezi kutoka hapo. Ww subiri uone lissu atavyoanza kushambuliwa na makamanda. Chadema kuna machawa 78975
Haahaa kivipi mkuu?Lema Bora ya boni mara 100 hamna kitu kabisa pale zero sifuri.
Unataka kusema nini? Lisu na Mbowe watapata wapi hela ya kutengenezea madawati wakati hawajawahi kushika dola na kukusanya Kodi.Hivi kushika dola ni kuhakikisha nchi inasonga mbele au kila mmoja anawaza lake akiwa juu atukomeshe na ale yeye na ndugu zake tu
Siasa za Afrika nyingi ziko sawa
Mtauwana kisa madaraka lakini Uzalendo hakuna bali mbwembwe tu
Huwezi kuona mwanasiasa nalia kisa watoto hawana dawa au madawati