Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
hivi karibini Tundu Lisu amesikika na kuonekana kukikosoa na kukilaumu chama chake mwenyewe kwa kukituhumu kwa kulea rushwa ambayo imekithiri kwa sasa, licha ya kwamba na yeye ni miongoni mwa waandamizi muhimu katika uongozi wa juu wa Chama hicho..

haijulikani na haijafahamika wazi ni kwanini ana hofu na anajitenga kana kwamba yeye hahusiki kudhibiti uovu huo chadema bali kuwanyoosha kidole waandamizi wengine chamani hapo...

bila kutaja wahusika na walengwa wa sakata hilo analolilalamikia na pengine hatua anazoshauri au kupendekeza zichukuliwe kuwadhibiti na kudhibiti kushamiri na kukithiri kwa hali hiyo ya rushwa chamani haipo, Lisu ametishia kukihama chama hicho endapo hali hiyo itaendelea..

haijulikani analenga kumkomoa nani..

sasa je,
endapo atatimiza azma yake hiyo ya kuondoka chadema, unadhani ni athari zipi hasa zinazo weza kuikumba chadema?

ama itakua kawaida tu kama ilivyokua baada ya kufukuzwa uongozini na kuvuliwa uanachama akina zito, Prof. kitila na mwigamba?

au itakua kawaida tu kama alivyong'atuka kwa hasira Dr.slaa, Dr.mashinji, Dr Mollel, Silinde, Lijualikali, shibuda, mnjeja, Lembeli, Masha, katambi, Nassari, hayati E G.Lowasa n.k?

unadhani Lisu ana madhara yoyote na kwamba chadema itastuka au kutikisika? kivip kwa mfano 🐒
 
Suala hapa si chadema itaathirika VP.

Bali tumshinikize Lissu aondole CHADEMA.

Vibaki vyama viwili vinavyotafuta kushika dola huku vyenyewe vikiwa vinanuka rushwa.

Lissu anastahili kupumzia na kuchanga karata upya.

Eitha kwa kujiattach kwa chama kilichotayari kupigania serikali ya kanda zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Na kama hakipo basi akianzeshe, na achague said ambayo italenga kuweka base ukanda wa mwambao
 
Athari number moja ni kwamba ccm watajitathmini kwa kuwa vivuruge wa vyama vingine...
Sijui ni kwa nini hizi thread za Lissu zimezidi sana humu ndani sana, hii ni athari nyingine ya huyu Lissu, atakuwa "font peji" sana kitu ambacho hata ccm hawataki...tunajadili sana watu badala ya sera zitakazo tukwamua hapa tulipo kwenda mbele...
 
Chadema ina athirika na viongozi wake kuhamia CCM hii ni kuanzia wakati wa Magufuli walipokuwa wakinunulika.

Chama kinapoteza imani kubwa kwa wananchi na wanachama wake na kuonekana viongozi wake ni wa kufika bei.

Chadema kupokea viongozi wa CCM ni hasara na viongozi wa Chadema kuhamia CCM ni hasara pia.

Lissu kuhamia CCM( sina uhakika) utakuwa msumari wa mwisho kwenye kaburi.

Watanzania hawana ideology ndani yao ila wana ile hali tu ya kuichukia CCM na kupenda heka heka za vyama vya upinzani si ajabu wafuasi wengi wa Chadema hata demokrasia na tafsiri yake na inavyotendeka hawafahamu na hata ukiwaambia hawata kubaliana na wewe.

Katika historia ni wakomunisti katika harakati zao waliweza kuwafundisha wananchi na wafuasi wao nini hasa ukomunisti na lengo la mapinduzi yao hapa Tanzania sijaona hali hii naona wanachama na wananchi wanaongozwa kihisia tu.
 
hivi karibini Tundu Lisu amesikika na kuonekana kukikosoa na kukilaumu chama chake mwenyewe kwa kukituhumu kwa kulea rushwa ambayo imekithiri kwa sasa, licha ya kwamba na yeye ni miongoni mwa waandamizi muhimu katika uongozi wa juu wa Chama hicho..

haijulikani na haijafahamika wazi ni kwanini ana hofu na anajitenga kana kwamba yeye hahusiki kudhibiti uovu huo chadema bali kuwanyoosha kidole waandamizi wengine chamani hapo...

bila kutaja wahusika na walengwa wa sakata hilo analolilalamikia na pengine hatua anazoshauri au kupendekeza zichukuliwe kuwadhibiti na kudhibiti kushamiri na kukithiri kwa hali hiyo ya rushwa chamani haipo, Lisu ametishia kukihama chama hicho endapo hali hiyo itaendelea..

haijulikani analenga kumkomoa nani..

sasa je,
endapo atatimiza azma yake hiyo ya kuondoka chadema, unadhani ni athari zipi hasa zinazo weza kuikumba chadema?

ama itakua kawaida tu kama ilivyokua baada ya kufukuzwa uongozini na kuvuliwa uanachama akina zito, Prof. kitila na mwigamba?

au itakua kawaida tu kama alivyong'atuka kwa hasira Dr.slaa, Dr.mashinji, Dr Mollel, Silinde, Lijualikali, shibuda, mnjeja, Lembeli, Masha, katambi, Nassari, hayati E G.Lowasa n.k?

unadhani Lisu ana madhara yoyote na kwamba chadema itastuka au kutikisika? kivip kwa mfano [emoji205]
Athari ya kwanza, Chadema watapoteza uungwaji mkono wa watu wengi (mmoja wpao mimi) maana kwasasa ni Lissu pekee ndo mpinzani anayeaminika.
 
Kosa la kwanza lililochangia Chadema kupoteza identity yao na kuaminika katika jamii ni kile kitendo cha kumpokea Lowassa kuwa mgombea wao wa Uraisi, mtu ambaye walimtuhumu ni fisadi na wakasema wana ushahidi wote wa ufisadi na wakamuweka kwenye list of shame hili suala linawaaffect mpaka leo.Hili la Lissu litapigilia msumari nini kitatokea? Chama Chao hakitakufa bali kitakuwa cha kawaida kama kilivyo ACT
 
Sio rahisi CHADEMA kuathirika sababu misingi yake imejikia kwenye ukanda ,ukabila, na udini

Wengi wanachama wanatoka Kanda ya kaskazini na wamezagaa nchi nzima na ni wengi na hawayumbi misimamo

Pili wengi ni walutheri dini ya mheshimiwa Mbowe hawayumbi

Lisu katokiki ,wakatoliki wengi wako CCM sio Chadema

Ndio maana Hata alipoondoka Slaa mkatoliki Chadema haikuyumba na hata alipoondoka Mchungaji Msigwa ambaye sio Mlutheri ni mbaptisti Chadema haijayumba

Ukanda anaotoka Tundu Lisu Hauna wanachama wengi sana kama Kanda zingine wengi ukanda huo ni CCM

Hivyo kuondoka kwake athari zitakuwa sawa na zero tu

Kifupi Chadema kina wenyewe na Lisu sio mmojawapo wa wenyewe
 
Suala hapa si chadema itaathirika VP.

Bali tumshinikize Lissu aondole CHADEMA.

Vibaki vyama viwili vinavyotafuta kushika dola huku vyenyewe vikiwa vinanuka rushwa.

Lissu anastahili kupumzia na kuchanga karata upya.

Eitha kwa kujiattach kwa chama kilichotayari kupigania serikali ya kanda zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Na kama hakipo basi akianzeshe, na achague said ambayo italenga kuweka base ukanda wa mwambao
aondoke pekeyake?

sio na mwenyekiti wake ili kuepusha vita zaidi inayoendelea baina yao?

maana akiondoka mojawapo, vita itaendelea moja akimpiga mwenzie kutoka ndani ya Chadema na mwingine akijibu mapigo kutoka nje ya Chadema, sasa mambo si yatakua yale yale tu ?🐒
 
hivi karibini Tundu Lisu amesikika na kuonekana kukikosoa na kukilaumu chama chake mwenyewe kwa kukituhumu kwa kulea rushwa ambayo imekithiri kwa sasa, licha ya kwamba na yeye ni miongoni mwa waandamizi muhimu katika uongozi wa juu wa Chama hicho..

haijulikani na haijafahamika wazi ni kwanini ana hofu na anajitenga kana kwamba yeye hahusiki kudhibiti uovu huo chadema bali kuwanyoosha kidole waandamizi wengine chamani hapo...

bila kutaja wahusika na walengwa wa sakata hilo analolilalamikia na pengine hatua anazoshauri au kupendekeza zichukuliwe kuwadhibiti na kudhibiti kushamiri na kukithiri kwa hali hiyo ya rushwa chamani haipo, Lisu ametishia kukihama chama hicho endapo hali hiyo itaendelea..

haijulikani analenga kumkomoa nani..

sasa je,
endapo atatimiza azma yake hiyo ya kuondoka chadema, unadhani ni athari zipi hasa zinazo weza kuikumba chadema?

ama itakua kawaida tu kama ilivyokua baada ya kufukuzwa uongozini na kuvuliwa uanachama akina zito, Prof. kitila na mwigamba?

au itakua kawaida tu kama alivyong'atuka kwa hasira Dr.slaa, Dr.mashinji, Dr Mollel, Silinde, Lijualikali, shibuda, mnjeja, Lembeli, Masha, katambi, Nassari, hayati E G.Lowasa n.k?

unadhani Lisu ana madhara yoyote na kwamba chadema itastuka au kutikisika? kivip kwa mfano 🐒
Itakuwa kawaida tu kama alivyong'atuka kwa hasira Dr.slaa, Dr.mashinji, Dr Mollel, Silinde, Lijualikali, shibuda, mnjeja, Lembeli, Masha, katambi, Nassari, hayati E G.Lowasa n.k
 
Athari number moja ni kwamba ccm watajitathmini kwa kuwa vivuruge wa vyama vingine...
Sijui ni kwa nini hizi thread za Lissu zimezidi sana humu ndani sana, hii ni athari nyingine ya huyu Lissu, atakuwa "font peji" sana kitu ambacho hata ccm hawataki...tunajadili sana watu badala ya sera zitakazo tukwamua hapa tulipo kwenda mbele...
chama cha siasa kinachoruhusu au kinachokiri kuvurugwa na chama cha siasa kingine hicho sio chama ni genge kama la walanguzi tu 🐒

hilo la kwanza,
la pili ikiwa ni mwanafunzi wa siasa mambo haya Lazima yatakushangaza na pengine kukukera sana. lakini ni kupe tu taarifa na kutia moyo this political dynamics, leo wiki nzima tutajadili jambo fulani sana, kesho na mwezi mzima tutajadili jambo lingine...

upende, usipende majadiliano ya sera na mipango mikakati ya vyama inajadiliwa sana tu humu JF, lakini pia wanasiasa na watu binafsi pia wanajadiliwa mno, huenda hufuatilii mambo kwa karibu tu uko bize na mambo mengine....

hata hivyo,
hujasema ikiwa kuna athari zozote kisiasa zitaikumba Chadema endapo lisu akiondoka chamani hapo, au huna maoni?🐒
 
Athari ya kwanza, Chadema watapoteza uungwaji mkono wa watu wengi (mmoja wpao mimi) maana kwasasa ni Lissu pekee ndo mpinzani anayeaminika.
anaaminika kwa lipi wakati hana ujasiri wa kuwachukulia hatua wala rushwa chadema?

anabweka bweka tu nje sasa sijui anambwekea nani 🐒
 
Kosa la kwanza lililochangia Chadema kupoteza identity yao na kuaminika katika jamii ni kile kitendo cha kumpokea Lowassa kuwa mgombea wao wa Uraisi, mtu ambaye walimtuhumu ni fisadi na wakasema wana ushahidi wote wa ufisadi na wakamuweka kwenye list of shame hili suala linawaaffect mpaka leo.Hili la Lissu litapigilia msumari nini kitatokea? Chama Chao hakitakufa bali kitakuwa cha kawaida kama kilivyo ACT
mbona unaongea ukweli sasa gentleman? 🐒
 
Back
Top Bottom