Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

Sio rahisi CHADEMA kuathirika sababu misingi yake imejikia kwenye ukanda ,ukabila, na udini

Wengi wanachama wanatoka Kanda ya kaskazini na wamezagaa nchi nzima na ni wengi na hawayumbi misimamo

Pili wengi ni walutheri dini ya mheshimiwa Mbowe hawayumbi

Lisu katokiki ,wakatoliki wengi wako CCM sio Chadema

Ndio maana Hata alipoondoka Slaa mkatoliki Chadema haikuyumba na hata alipoondoka Mchungaji Msigwa ambaye sio Mlutheri ni mbaptisti Chadema haijayumba

Ukanda anaotoka Tundu Lisu Hauna wanachama wengi sana kama Kanda zingine wengi ukanda huo ni CCM

Hivyo kuondoka kwake athari zitakuwa sawa na zero tu

Kifupi Chadema kina wenyewe na Lisu sio mmojawapo wa wenyewe
aise,
mbona umefunguka mambo mazito ya ukweli yasiyopenda kuzungumzwa na kusikika kwenye jamii gentleman 👊💪
 
hivi karibini Tundu Lisu amesikika na kuonekana kukikosoa na kukilaumu chama chake mwenyewe kwa kukituhumu kwa kulea rushwa ambayo imekithiri kwa sasa, licha ya kwamba na yeye ni miongoni mwa waandamizi muhimu katika uongozi wa juu wa Chama hicho..

haijulikani na haijafahamika wazi ni kwanini ana hofu na anajitenga kana kwamba yeye hahusiki kudhibiti uovu huo chadema bali kuwanyoosha kidole waandamizi wengine chamani hapo...

bila kutaja wahusika na walengwa wa sakata hilo analolilalamikia na pengine hatua anazoshauri au kupendekeza zichukuliwe kuwadhibiti na kudhibiti kushamiri na kukithiri kwa hali hiyo ya rushwa chamani haipo, Lisu ametishia kukihama chama hicho endapo hali hiyo itaendelea..

haijulikani analenga kumkomoa nani..

sasa je,
endapo atatimiza azma yake hiyo ya kuondoka chadema, unadhani ni athari zipi hasa zinazo weza kuikumba chadema?

ama itakua kawaida tu kama ilivyokua baada ya kufukuzwa uongozini na kuvuliwa uanachama akina zito, Prof. kitila na mwigamba?

au itakua kawaida tu kama alivyong'atuka kwa hasira Dr.slaa, Dr.mashinji, Dr Mollel, Silinde, Lijualikali, shibuda, mnjeja, Lembeli, Masha, katambi, Nassari, hayati E G.Lowasa n.k?

unadhani Lisu ana madhara yoyote na kwamba chadema itastuka au kutikisika? kivip kwa mfano 🐒
Uzuri wa Lisu yeye huwa hatengenezi Chawa yeye anahuusiano mzuri na watu wanao jitambua na siku zote anasema yeye atakuwa mtu wa mwisho kuhama CDM kutokana na mahali chama hicho kilipo fikia kwa sasa. Kupata chama kingine chenye mtandao kama CDM kwa sasa si rahisi
 
tofautisheni kulalamika na kutoa maoni SHIDA uvccm iko kwenye tafsiri
kwahiyo kwa IQ yako yale zile sio tuhuma dhidi ya waandamizi wenzake uongozi bali ni maoni 🤣

maoni ya makamu mwenyekiti yaliyoambatana na vitisho vya kukihama chama 🤣

atapuuzwa tu kama awali
 
Uzuri wa Lisu yeye huwa hatengenezi Chawa yeye anahuusiano mzuri na watu wanao jitambua na siku zote anasema yeye atakuwa mtu wa mwisho kuhama CDM kutokana na mahali chama hicho kilipo fikia kwa sasa. Kupata chama kingine chenye mtandao kama CDM kwa sasa si rahisi
ila sidhani kama ana mahusiano mazuri na mwenyekiti wake., je, unataka kusema huyo hajitambui?🐒

na kama ana mahusiano mazuri mbona aende kubweka bweka huko kwa wananchi kuhusu rushwa inayotembea uongozini, na asiende kushauriana nae hatua za kuchukua na mbinu za kudhibiti hali hiyo?

na ana mtishia nani sasa kuihama chadema?🤣
 
anaaminika kwa lipi wakati hana ujasiri wa kuwachukulia hatua wala rushwa chadema?

anabweka bweka tu nje sasa sijui anambwekea nani [emoji205]
CHADEMA ni taasisi, unataka Lissu awachukulie vipi hatua hao watu? Shida mmezoea mfumo wa zidumu fikra za mwenyekiti! Hoja yako elekeza kwa chama kama taasisi iwachukulie hatua hao watu ana si Lissu ambaye ni sehemu tu ya taasisi hiyo, yeye kwa upande wake kachukua hatua hiyo ya kukemea na kukishtua chama kuwa kuna mambo meusi nyuma ya pazia. Ni jukumu la taaisis kupitia idara zake kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wahusika.
 
Sio rahisi CHADEMA kuathirika sababu misingi yake imejikia kwenye ukanda ,ukabila, na udini

Wengi wanachama wanatoka Kanda ya kaskazini na wamezagaa nchi nzima na ni wengi na hawayumbi misimamo

Pili wengi ni walutheri dini ya mheshimiwa Mbowe hawayumbi

Lisu katokiki ,wakatoliki wengi wako CCM sio Chadema

Ndio maana Hata alipoondoka Slaa mkatoliki Chadema haikuyumba na hata alipoondoka Mchungaji Msigwa ambaye sio Mlutheri ni mbaptisti Chadema haijayumba

Ukanda anaotoka Tundu Lisu Hauna wanachama wengi sana kama Kanda zingine wengi ukanda huo ni CCM

Hivyo kuondoka kwake athari zitakuwa sawa na zero tu

Kifupi Chadema kina wenyewe na Lisu sio mmojawapo wa wenyewe
Uko sahihi, kasoro kwenye udini tu...

Kwenye ukanda na ukabila uko sahihi...

Tazama wanaomtetea Mbowe wanatoka wapi, then rudi kwa wanachadema wanaomtetea Lissu utapata jibu...

Huwa najaribu kuwakumbusha kina ery... kwamba chama si chao ila wagumu kuelewa...
 
CHADEMA ni taasisi, unataka Lissu awachukulie vipi hatua hao watu? Shida mmezoea mfumo wa zidumu fikra za mwenyekiti! Hoja yako elekeza kwa chama kama taasisi iwachukulie hatua hao watu ana si Lissu ambaye ni sehemu tu ya taasisi hiyo, yeye kwa upande wake kachukua hatua hiyo ya kukemea na kukishtua chama kuwa kuna mambo meusi nyuma ya pazia. Ni jukumu la taaisis kupitia idara zake kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua wahusika.
taasisi gani sasa haina umoja wa kujadili na kuchukua hatua dhidi ya dosari na kasoro zinazofanywa na waandamizi wake, zinazoichafua image na heshima ya taasisi yenyewe kwa umma?

au waandamizi wanaogopana na hawaelewani?

kwahiyo kuripoti tuhuma za rushwa za taasisi yako kwa umma ndio kunasaidia nini sasa, zaidi ya kuipambanua tu vizuri kwamba taasisi yako ni vinara wa masuala ya rushwa na hamna hatua tutachukua dhidi ya yeyote aliye husika, na endapo itatokea tena nitakuja kuwaambia ndugu wananchi, si ndio?🐒
 
Chadema bila Lissu ni joka lisilo na sumu.
Lissu nje ya Chadema ataaminika zaidi na kujijenga vema bila "udhibiti" wa chama.
anaogopa sana kutoka chadema akihofia, kwamba akipata shida atachangiwa na nani? 🐒
 
Itakuwa kawaida tu kama alivyong'atuka kwa hasira Dr.slaa, Dr.mashinji, Dr Mollel, Silinde, Lijualikali, shibuda, mnjeja, Lembeli, Masha, katambi, Nassari, hayati E G.Lowasa n.k
Tena vigogo kuliko Lissu. Mimi namuunga sana mkono ila Kwa hili atakuwa naye kalamba anazuga
 
Athari number moja ni kwamba ccm watajitathmini kwa kuwa vivuruge wa vyama vingine...
Sijui ni kwa nini hizi thread za Lissu zimezidi sana humu ndani sana, hii ni athari nyingine ya huyu Lissu, atakuwa "font peji" sana kitu ambacho hata ccm hawataki...tunajadili sana watu badala ya sera zitakazo tukwamua hapa tulipo kwenda mbele...
Simple mind discuss ....
 
Sijui umaarufu wa huyu Mheshimiwa, lipi aliwahi kufanya likashtua watu mbali ya ile kushambuliwa?
 
Athari number moja ni kwamba ccm watajitathmini kwa kuwa vivuruge wa vyama vingine...
Sijui ni kwa nini hizi thread za Lissu zimezidi sana humu ndani sana, hii ni athari nyingine ya huyu Lissu, atakuwa "font peji" sana kitu ambacho hata ccm hawataki...tunajadili sana watu badala ya sera zitakazo tukwamua hapa tulipo kwenda mbele...
Sera ni propaganda tu hazina ukweli wowote zimetungwa kuwarubuni wapumbavu....
 
Kwangu Mimi namuona Mh.Lissu kwa sasa ndio mtu aliebeba taswira ya upinzani wa kweli ktk nchi hii. Hivyo kuondoka kwake kutawavunja moyo sanaaaa watu ambao Bado tunaimani kubwa na upinzani ( japo lissu hawezi kuondoka lkn hata akiondoka hawezi kwenda CCM hasirani)

Kwa sasa nchi hii hakuna mpinzani anae aminika kama lissu hivyo kama ikitokea akandoka chadema impact yake itakuwa ni kubwa sanaa kiasi kwamba upinzani itabidi uanze upya.

Na Mimi naamini ktk vitu ambavyo CCM wanaviombea ni kusikia lissu kakihama chama chake, huyu mtu anamisimamo isiyoyumba sasa watawala hawawataki watu wa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom