Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

Siyo Chadema tu itaathirika bali hata CCM. Tuhuma zilizopo ni kuwa CCM inatumia mabilioni kuwahonga badhi ya viongozi wa Chadema wahamie CCM, na Lissu ni mwana sheria sidhani kama ametoa madai tupu yasiyo na ushahidi usio tia shaka, kabla hajaondoka ataumwaga hadharani na ndiyo hapo watu wengi watakosa imani na CCM.Najua kwenye uchaguzi CCM itapeta kwa mbinu halali naharamu lakini image yake na serikali yake kimataifa itakuwa imechafuka sana.
 
taasisi gani sasa haina umoja wa kujadili na kuchukua hatua dhidi ya dosari na kasoro zinazofanywa na waandamizi wake, zinazoichafua image na heshima ya taasisi yenyewe kwa umma?

au waandamizi wanaogopana na hawaelewani?

kwahiyo kuripoti tuhuma za rushwa za taasisi yako kwa umma ndio kunasaidia nini sasa, zaidi ya kuipambanua tu vizuri kwamba taasisi yako ni vinara wa masuala ya rushwa na hamna hatua tutachukua dhidi ya yeyote aliye husika, na endapo itatokea tena nitakuja kuwaambia ndugu wananchi, si ndio?[emoji205]
Hiyo ndo demokrasia...demokrasia siyo kumziba mtu mdomo. Lissu anao uhuru wa kutoa maoni yake kama kiongozi na mwanachama, ila katika hili Lissu ametahadharisha wanachama kuwa makini na pesa chafu zinazosabazwa na vibaraka wa mbogamboga na kama una D 2 utagundua kuwa lengo lilikuwa kuwafikishia ujumbe mbogamboga kuwa mchezo wanaocheza umejulikana! Kuna wakati huhitaji nguvu nyingi kuchanganua mambo.
 
anaogopa sana kutoka chadema akihofia, kwamba akipata shida atachangiwa na nani? [emoji205]
Huwa anachangiwa na Chadema au wananchi? Alafu hana shida hizo kama wewe, anajimudu vizuri sana yule. Pia hao wanaochanga atahama nao maana matumaini yao yapo kwake.
 
Huwa anachangiwa na Chadema au wananchi? Alafu hana shida hizo kama wewe, anajimudu vizuri sana yule. Pia hao wanaochanga atahama nao maana matumaini yao yapo kwake.
angekua anajiamini na kujimudu asingekua anababaika pembeni kwa woga namna ile 🐒
 
Hiyo ndo demokrasia...demokrasia siyo kumziba mtu mdomo. Lissu anao uhuru wa kutoa maoni yake kama kiongozi na mwanachama, ila katika hili Lissu ametahadharisha wanachama kuwa makini na pesa chafu zinazosabazwa na vibaraka wa mbogamboga na kama una D 2 utagundua kuwa lengo lilikuwa kuwafikishia ujumbe mbogamboga kuwa mchezo wanaocheza umejulikana! Kuna wakati huhitaji nguvu nyingi kuchanganua mambo.
demokrasia ya kuchochea migawanyiko na mipasuko kwenye taasisi moja right?🐒

ndio maana hiki chama kina husishwa na ubinafsi, kwamba ni cha mtu binafsi, ndio mambo haya unayoyatetea...

eti kumziba mdomo 🤣

kila mtu humu nchini yuko huru kujieleza na hakuna wa kumziba mdomo mwingine kwa mujibu wa katiba....

kinachoshangaza ni muandamizi kulalamikia uovu nje ya uongozi anao ulalamikia, na eti anamtishia kabisa kukihama chama 🤣
 
demokrasia ya kuchochea migawanyiko na mipasuko kwenye taasisi moja right?[emoji205]

ndio maana hiki chama kina husishwa na ubinafsi, kwamba ni cha mtu binafsi, ndio mambo haya unayoyatetea...

eti kumziba mdomo [emoji1787]

kila mtu humu nchini yuko huru kujieleza na hakuna wa kumziba mdomo mwingine kwa mujibu wa katiba....

kinachoshangaza ni muandamizi kulalamikia uovu nje ya uongozi anao ulalamikia, na eti anamtishia kabisa kukihama chama [emoji1787]
Lissu akili kubwa, alilenga ujumbe uwafikie wafadhiri wahizo pesa na kweli milio imeanza kusikika!
 
Siyo Chadema tu itaathirika bali hata CCM. Tuhuma zilizopo ni kuwa CCM inatumia mabilioni kuwahonga badhi ya viongozi wa Chadema wahamie CCM, na Lissu ni mwana sheria sidhani kama ametoa madai tupu yasiyo na ushahidi usio tia shaka, kabla hajaondoka ataumwaga hadharani na ndiyo hapo watu wengi watakosa imani na CCM.Najua kwenye uchaguzi CCM itapeta kwa mbinu halali naharamu lakini image yake na serikali yake kimataifa itakuwa imechafuka sana.
🤣sasa ndio kiongozi gani huyo tena mwanasheria mbobevu 🤣

eti ana ushahidi usio na shaka,
sasa kama anao, akiutaja au akibaki nao itamsaidia nni bila kuchukua hatua?🐒

ama kweli uoga wako ndio umakini wako, uoga na unyonge ni kitu mbaya sana aise🐒
 
🤣sasa ndio kiongozi gani huyo tena mwanasheria mbobevu 🤣

eti ana ushahidi usio na shaka,
sasa kama anao, akiutaja au akibaki nao itamsaidia nni bila kuchukua hatua?🐒

ama kweli uoga wako ndio umakini wako, uoga na unyonge ni kitu mbaya sana aise🐒
Timing tu. Atakapolimwaga segere ndiyo utaelewa, kwa sasa unaweza ukadharau na kukejeli .
 
Lissu akili kubwa, alilenga ujumbe uwafikie wafadhiri wahizo pesa na kweli milio imeanza kusikika!
akili kubwa ya kubweka bweka pembezoni mwa nyumbani, right?🐒

awali alipuuzwa na bilashaka atapuuzwa vilivyo tena 🐒
 
Mngempuuza msingeanzisha uzi. Sindano imegusa mfupa.
wabobevu hatuwezi kuacha kitia neno wala kukaa kimya kwasabb yoyote ile,
ndio sababu tumeenda shule,

kiongozi muandamizi huyu ni miongoni mwa viongoz waoga na dhaifu sana aise dah 🐒
 
Kumbe huwa anababaika!? Binafsi sijawahi kuona. Siwezi kupinga ulichoandika maana wewe ndo mkewe unayajua mengi tusiyoyajua.
anababaika sana na ana bweka bweka mno halafu mwishowe anapuuzwa anabaki na woga wake 🤣
 
wabobevu hatuwezi kuacha kitia neno wala kukaa kimya kwasabb yoyote ile,
ndio sababu tumeenda shule,

kiongozi muandamizi huyu ni miongoni mwa viongoz waoga na dhaifu sana aise dah [emoji205]
Mnapotezaje muda na kiongozi dhaifu? Kwanini msimshambulie Lipumba au Zitto ambao kwenu ni viongozi shupavu!?
Sindano imegusa mfupa.
 
Mnapotezaje muda na kiongozi dhaifu? Kwanini msimshambulie Lipumba au Zitto ambao kwenu ni viongozi shupavu!?
Sindano imegusa mfupa.
🤣 kwenye ukweli sio sula la kupoteza muda, ni kuwekana sawa tu kitaalamu,

unaelewa upepo wa political dynamics saa zingine ukimzonga mwanasiasa vizuri anakua useless kabisa kama huyo muungwana 🐒
 
Kwangu Mimi namuona Mh.Lissu kwa sasa ndio mtu aliebeba taswira ya upinzani wa kweli ktk nchi hii. Hivyo kuondoka kwake kutawavunja moyo sanaaaa watu ambao Bado tunaimani kubwa na upinzani ( japo lissu hawezi kuondoka lkn hata akiondoka hawezi kwenda CCM hasirani)

Kwa sasa nchi hii hakuna mpinzani anae aminika kama lissu hivyo kama ikitokea akandoka chadema impact yake itakuwa ni kubwa sanaa kiasi kwamba upinzani itabidi uanze upya.

Na Mimi naamini ktk vitu ambavyo CCM wanaviombea ni kusikia lissu kakihama chama chake, huyu mtu anamisimamo isiyoyumba sasa watawala hawawataki watu wa namna hiyo.
kwahiyo Imani yako ni kwa mtu binafsi ambae ni Lisu, na sio kwa upinzani kama Taasisi, right?🐒
 
Sera ni propaganda tu hazina ukweli wowote zimetungwa kuwarubuni wapumbavu....
wakati huo muerevu umekaa pembeni unapiga myayo tu nyuma ya keyboard 🤣
 
Back
Top Bottom