Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

Isivyo bahati hakuna wa kumvamia wala kutafuta ugomvi na Marekani hapa duniani.

Ila kuna sehemu nyingi Marekani anatafuta ugomvi na mataifa mengine na kuyafuata huko kwao kupambana.

Waarabu wataendelea kulialia kwa miaka mingine kadhaa hadi pale USA atakapoona wameishiwa mafuta.

Yuko anayemwogopa ni mdogo anaingia zaidi ya ya mara 10 000 nchini mwake , CUBA

Kabakia kumwekea vikwazo tu

Unafikiri mafuta waliyaweka wao waarabu ?? Fikiri tena
 
Yuko anayemwogopa ni mdogo anaingia zaidi ya ya mara 10 000 nchi mwake , CUBA

Kabakia kumwekea vikwazo tu
Huyo ambaye mifumo ya fedha ya kibenki yote imekufa na wahuni wameondoka na kila kitu raia wako wanalia hawana A wala B, ndo awe kikwazo kwa USA?.

Cuba ni nchi yenye maisha yanayofanana kwa kiwango kikubwa kwa sasa na nchi za ulimwengu wa 3, sasa nchi ya ulimwengu wa 3 inawezaje kuishinda USA?.

 
Wataishia kuvimba tu kwenye vyombo vya habari lakini kukaa msitari wa mbele kupambana na Israel hilo sahau kuona wakiungana.

Kuna waarabu wenzao wengi tu wasiopenda uharamia wa Hamas na Houth kama Saudi Arabia na wengineo ambao wako chini ya USA na washirika wake.




Israel mbele kwa mbele.
Unaota wewe.
Saudi Arabia wanapenda sana wanachokifanya Hamas.
Ila hawawezi kuweka wazi kwasababu ya uhusiano waliouweka na USA.
Kama wangekua hawapendi basi wangeruhusu USA atumie kambi zao dhidi ya Houthi,ila Oman,Saudi arabia,Bahrain na Egypt walikataa katwa katwa.
Labda utakua haufuatilii hili suala.
Pia Iran ambaye yuko mbele kufadhili hayo makundi waarabu wameshamuona kuwa ndio mtetezi wao mkuu na wameshaanza kumkaribisha katika mataifa yao ikiwemo Qatar.
We kaa jidanganye hapo.

Uturuki sio taifa dogo ni kubwa ila NATO ndio linalipooza hilo taifa,hakuna vita Uturuki aliingilia akashindwa.
Huijui Uturuki wewe,ni hatari kuliko Iran.
 
Huyo ambaye mifumo ya fedha ya kibenki yote imekufa na wahuni wameondoka na kila kitu raia wako wanalia hawana A wala B, ndo awe kikwazo kwa USA?.

Cuba ni nchi yenye maisha yanayofanana kwa kiwango kikubwa kwa sasa na nchi za ulimwengu wa 3, sasa nchi ya ulimwengu wa 3 inawezaje kuishinda USA?.


Yuko hapo jirani mbona kashindwa kwenda kumvamia baada kuchezea kichapo
 
utapigwa mpaka unye,
Muulize Vladimir Putin askari wake Nagorno-Karabakh walipatwa na nini walipokutana na jeshi la Uturuki.
Israel hawezi simama na Uturuki abadan hata kwa mwezi.
Kama Hamas tu na Hizbollah wanamsumbua Israel je hiyo Uturuki itakuaje?
 
which Allah?
The invisible who is waiting for the living people to fight for him?
Are you sure with what you are talking about?
Or are you just blabbering like a mad man!?
 
Kwani hilo vazi ni la kimagharibi , ?? Soma historia
1717002830357.png
 
Yuko hapo jirani mbona kashindwa kwenda kumvamia baada kuchezea kichapo
Cuba hawana rasilimali zozote za maana kama gas, mafuta au madini kwa kiwango kikubwa, uchumi wao unategemea zaidi kilimo.

USA anavamia nchi pekee ambazo zina rasilimali za asili za kutosha, kama hauna cha maana ataishia kukuwekea vikwazo tu ila hatakuja kupigana na wewe.

USA hajawahi chezea kichapo toka kwa Cuba zaidi ya maneno tu ya kwenye khanga na tambo za hapa na pale zisizo na matendo ndani yake.
 
Cuba hawana rasilimali zozote za maana kama gas, mafuta au madini kwa kiwango kikubwa, uchumi wao unategemea zaidi kilimo.

USA anavamia nchi pekee ambazo zina rasilimali za asili za kutosha, kama hauna cha maana ataishia kukuwekea vikwazo tu ila hatakuja kupigana na wewe.

USA hajawahi chezea kichapo toka kwa Cuba zaidi ya maneno tu ya kwenye khanga na tambo za hapa na pale zisizo na matendo ndani yake.

Jee wakati alipovamia akachapwa hakujua kuwa hakuna rasilmali yoyote ??
 
Back
Top Bottom