Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

Huyo ambaye mifumo ya fedha ya kibenki yote imekufa na wahuni wameondoka na kila kitu raia wako wanalia hawana A wala B, ndo awe kikwazo kwa USA?.

Cuba ni nchi yenye maisha yanayofanana kwa kiwango kikubwa kwa sasa na nchi za ulimwengu wa 3, sasa nchi ya ulimwengu wa 3 inawezaje kuishinda USA?.

USA is a blunt knife.
Kuna mataifa kibao USA anayaogopa na hawezi kuyagusa ng'ooo,na akisikia yamejihusisha sehemu hasogezi jeshi lake.
RUSSIA,CHINA,NORTH KOREA,IRAN.
Hathubutu na hatothubutu kuyasogelea.
 
USA is a blunt knife.
Kuna mataifa kibao USA anayaogopa na hawezi kuyagusa ng'ooo,na akisikia yamejihusisha sehemu hasogezi jeshi lake.
RUSSIA,CHINA,NORTH KOREA,IRAN.
Hathubutu na hatothubutu kuyasogelea.
Asiwasahau Taliban alikopata kichapo cha mbwa koko yeye na Nato yake , akakimbia kama mwizi
 
Kwa nini nchi za Kiislamu?

Afrika ya Kusini imeanzisha mpaka kesi dhidi ya Israel kwenye mahakama za kimataifa, na si nchi ya Kiislamu. Haoni kuwa kaitenga?
Hawa watu ni watu wa hovyo sana.

South Afrika, nchi isiyo ya kiislamu ikafungua mashtaka dhidi ya Israel wao wamekaa tu wametulia.

Mexico, nchi isiyo ya kiislamu imetangaza kujiunga na South Africa kuishtaki Israel, wao wamekaa tu.

Wanajiita nchi za kiislamu za Allah. I hate to say it lakini hii ni dini nadhani ya watu Punguani sana hapa Duniani.
 
Suti zina mfumo mwingi sana.
Pia suti ni kitu cha kawaida.
Hivi una habari kuwa USA wanatumia vifaa tiba vilivyogunduliwa na waajemi!?
Suala la interactions ni kawaida hususan katika masuala ya mavazi na vyakula na masuala mengine.
Kutaka kuweka utofauti ni UJINGA mkuu.
 
Wataishia kuvimba tu kwenye vyombo vya habari lakini kukaa msitari wa mbele kupambana na Israel hilo sahau kuona wakiungana.

Kuna waarabu wenzao wengi tu wasiopenda uharamia wa Hamas na Houth kama Saudi Arabia na wengineo ambao wako chini ya USA na washirika wake.




Israel mbele kwa mbele.

Endelea tu na israel yako, ipo siku utasaga meno wewe na mayahudi wenzio waliolaaniwa.
 
Endelea tu na israel yako, ipo siku utasaga meno wewe na mayahudi wenzio waliolaaniwa.
Yaani mtu amekuzidi kila kitu kilicho chema, halafu unatoka hadharani unasema amelaaniwa, hapo aliyelaaniwa ni wewe au yeye?
 
Cuba hawana rasilimali zozote za maana kama gas, mafuta au madini kwa kiwango kikubwa, uchumi wao unategemea zaidi kilimo.

USA anavamia nchi pekee ambazo zina rasilimali za asili za kutosha, kama hauna cha maana ataishia kukuwekea vikwazo tu ila hatakuja kupigana na wewe.

USA hajawahi chezea kichapo toka kwa Cuba zaidi ya maneno tu ya kwenye khanga na tambo za hapa na pale zisizo na matendo ndani yake.
Cuba ipo locked in 1950's , wanaishi kwenye ulimwengu wao, hata magari yao ni ya kizamani sana.

Wameamua kufa na ujamaa, kufa kijerumani na tai shingoni. Lakini ni nchi ambayo ilikuwa na maendeleo sana sana kwa miaka ile, hata leo ukitizama miji yao. Ilikuwa ni tishio Cuba lakini ndio hivyo baada ya anguko la ujamaa na vikwazo walibaki walipoishia. Kile kizazi cha wasomi miaka ile kimezeeka hawana jipya tena kwenye ulimwengu huu wa Artificial Intelligence, wapo outdated, pasipo vikwazo nadhani ingekua kama Singapore au zaidi.

Ndio maana wazee wetu utawasikia wakiisifu Cuba, kwa sababu ya miaka ile sio sasa.
 
Erdogan anajaribu kuwazungumzia na kuwatetea wananchi wa Palestine.

Hatua anayochukua Erdogan ni kujaribu kuipressure Israel iache mauaji dhidi ya wananchi wasio na hatia, anaelewa ICJ haiwezi, anaelewa hakuna mahala atafika kukataza hili, na kweli tumeshuhudia ICJ kudharauliwa na Israel na Israel kupuuzia kwa kiburi wanachopewa na nchi za Magharibi.

Hadi ICJ wanatoa warranty Netanyahu akamatwe lakini US inamkingia kifua.

Hivyo Erdogan yupo sawa, anaziambia nchi za kiarabu kuungana kupinga unyama huo wasisubiri nchi za magharibi kutoa tamko hali ya kuwa watu wanauawa kinyama wengi watoto na wanawake.
 
Erdogan anataka waislam waungane dhidi ya Israel mara ngapi au anataka tu aonekane ameongea.
Hao ni waarabu si inajulikana.
Anataka kupressure Israel iache kuumiza na kuua watu.

Kama ni vita Israel haina uwezo kupambana na Turkey.

Tuache story za six days war miaka ya 60.
 
Usikute zile muvi zao zinampa kiburi anaona anaweza kwenda front kupambana!!
 
Huo ni ubaguzi wa kidini, anaifanya hii vita kuwa ya kidini wakati ni kubwa zaidi ya dini.

Wapalestina wanahitaji msaada wa kika mtu, si msaada wa Waislamu tu.

Kuleta habari za Waislamu hapo ni kuugawa umati mkubwa unaowaunga mkono Wapalestina, ambao una watu wasio Waislamu wengi sana.
Kama huyu kamanda ambae ni senate wa marekani ni mtu mpenda haki sana ambae pia ameisupport icc
 

Attachments

  • Screenshot_20240529-213534_Instagram.jpg
    Screenshot_20240529-213534_Instagram.jpg
    318.1 KB · Views: 1
Hao ni waarabu si inajulikana.
Anataka kupressure Israel iache kuumiza na kuua watu.

Kama ni vita Israel haina uwezo kupambana na Turkey.

Tuache story za six days war miaka ya 60.
Mbona hakutoa tamko ile tarehe 7/10/2023 wakati watoto, wanawake, watanzania na mataifa mengine zaidi ya watu 1200 walipouliwa na Hamas hapo Israel?.
 
Yaani mtu amekuzidi kila kitu kilicho chema, halafu unatoka hadharani unasema amelaaniwa, hapo aliyelaaniwa ni wewe au yeye?
Yaani Taifa lililoruhusu na kuongoza kwa ushoga ulimwenguni linakuwa limebarikiwa?
 
which Allah?
The invisible who is waiting for the living people to fight for him?
Unataka aje huku kwa binaadamu kama yule mungu wenu aliyetandikwa msalabani hadi na yeye akaomba msaada kwa mungu?
 
Yaani Taifa lililoruhusu na kuongoza kwa ushoga ulimwenguni linakuwa limebarikiwa?
Kipi kizuri unacho/mnachoizidi Israel ili tubaini nani amebarikiwa na nani amelaaniwa?
 
Back
Top Bottom