Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

Erdogan azitaka nchi za kiislamu kuungana dhidi ya taifa la Israel

Si apeleke majeshi yake pale Ukanda wa Gaza yakapambane na IDF?
International laws hazipo hivyo unadhani mtu akijisikia tu anapeleka jeshi? Huoni sasahivi mambo yalivyogeuka kwa israel?
Balozi zao zina fungwa katika nchi nyingi
Wana kesi icj na icc na hadi nato members kama france na germany wamesema wapo tayari kumkamata
Waisrael wanashindwa kushiriki kwenye mikusanyiko ya kimataifa kwa kuhofia usalama wao na wakishiriki wanazomewa
Biashara zimekuwa ngumu maana mizigo yao imekuwa target baharini
VIongozi wa left wing walimuonya netanyahu kama anaiangamiza israel na sasa its too late image ya israel imeshaharibika netanyahu na hitler wapo kwenye sahani moja
European union wanataka kuvunja mkataba wao na israel na wanafikiria kuwawekea vikwazo
LEo balozi yao ya mexico imechomwa moto
Mambo yanamuharibikia vibaya sana netanyahu
 
Huu ni ubaguzi wa kidini. Watu wanaopinga udhalimu wa Israel si Waislamu tu. Sasa yeye kwa kusema hivyo anaonesha kama hii ni vita ya kidini kati ya Waislamu na Wayahudi.
Hizi nchi za mashariki ya kati zikipigana vita zikiona maji yanazidi unga zinabadilisha narrative na kuweka mambo ya dini ili kuweza kupata support ya kuungwa mkono na wezao . Wanasahau kwamba wao ndio walianzisha uchokozi.
 

Attachments

  • habibidance-arabia-dance.gif
    habibidance-arabia-dance.gif
    1.2 MB · Views: 3
Mbona hakutoa tamko ile tarehe 7/10/2023 wakati watoto, wanawake, watanzania na mataifa mengine zaidi ya watu 1200 walipouliwa na Hamas hapo Israel?.
Atatoaje tamko wakati miaka yote Israel inafanya udhalimu, hata hio Oct 7 ilikuwa ni retaliation. Israel inaua sana Palestinians, inaua sana.
 
Hawa watu ni watu wa hovyo sana.

South Afrika, nchi isiyo ya kiislamu ikafungua mashtaka dhidi ya Israel wao wamekaa tu wametulia.

Mexico, nchi isiyo ya kiislamu imetangaza kujiunga na South Africa kuishtaki Israel, wao wamekaa tu.

Wanajiita nchi za kiislamu za Allah. I hate to say it lakini hii ni dini nadhani ya watu Punguani sana hapa Duniani.
Lakini kwa nini hii issue iwe about Waislamu na si wapenda haki wote tu wa dunia?

Tunaidogoshaje issue ya haki za binadamu, kitu ambacho ni universal, iwe issue ya Waislamu tu?
 
Kama huyu kamanda ambae ni senate wa marekani ni mtu mpenda haki sana ambae pia ameisupport icc
Waislamu wanaidogosha hii issue wenyewe.

Mwishowe watu wanaweza kusema kama mnaona hii issue ni ya Waislamu tu, basi tunawaachia wenyewe.
 
Hizi nchi za mashariki ya kati zikipigana vita zikiona maji yanazidi unga zinabadilisha narrative na kuweka mambo ya dini ili kuweza kupata support ya kuungwa mkono na wezao . Wanasahau kwamba wao ndio walianzisha uchokozi.
Suala la nani kaanzisha ni refu na pana.

Ila kama una watu wa dunia nzima wana support Wapalestina, halafu wewe unawadharau na kuangalia Waislamu tu, unajipunja mwenyewe.
 
Mbona hakutoa tamko ile tarehe 7/10/2023 wakati watoto, wanawake, watanzania na mataifa mengine zaidi ya watu 1200 walipouliwa na Hamas hapo Israel?.
Kwani ugomvi ulianzia Oktoba 7?
Ugomvi ulianzia August incase you don't know.
 
Kipi kizuri unacho/mnachoizidi Israel ili tubaini nani amebarikiwa na nani amelaaniwa?
Tuipambanishe tu na Uturuki,Israel kazidiwa na Uturuki vitu vifuatavyo;
1)Historia nzuri ya chimbuko na himaya,duniani unapozungumzia himaya kubwa hukosi kutaja Seljuk na Ottoman empire.
2)Maendeleo ya kijamii.
3)Amani.
4)Maendeleo ya kidiplomasia,Uturuki ina influence nzuri duniani na inapendwa kuliko Israel.
5)Nguvu ya kijeshi.
 
Hizi nchi za mashariki ya kati zikipigana vita zikiona maji yanazidi unga zinabadilisha narrative na kuweka mambo ya dini ili kuweza kupata support ya kuungwa mkono na wezao . Wanasahau kwamba wao ndio walianzisha uchokozi.
Una uhakika Palestina ndio alianza ukorofi!?
Unaweza kuthibitisha hili?
Kama Spain ameunga mkono Palestina wewe mkaa uswazi wa Tandale una ushahidi gani kusema Palestina ndio ameanza?
Kwahiyo una akili na uelewa kuliko Brazil,Spain,Colombia na Belgium walomtuhumu Israel kuwa mkorofi!?
Jinga kabisa.
 
Hawa watu ni watu wa hovyo sana.

South Afrika, nchi isiyo ya kiislamu ikafungua mashtaka dhidi ya Israel wao wamekaa tu wametulia.

Mexico, nchi isiyo ya kiislamu imetangaza kujiunga na South Africa kuishtaki Israel, wao wamekaa tu.

Wanajiita nchi za kiislamu za Allah. I hate to say it lakini hii ni dini nadhani ya watu Punguani sana hapa Duniani.
Mbona unaropoka pasi na ushahidi??
Unajua vilikalika vikao vingapi vya ARAB PEACE SUMMIT pale Egypt Alexandria kabla ya kesi ICJ??
Kuanzia Oktoba 10 mpaka inaingia desemba Egypt waarabu walikaa vikao vingi na kufanya jitihada nyingi sana kujua wanaisaidiaje Palestina.
Ila wewe kijana mdogo utajulia wapi haya mambo!??
 
Mbona unaropoka pasi na ushahidi??
Unajua vilikalika vikao vingapi vya ARAB PEACE SUMMIT pale Egypt Alexandria kabla ya kesi ICJ??
Kuanzia Oktoba 10 mpaka inaingia desemba Egypt waarabu walikaa vikao vingi na kufanya jitihada nyingi sana kujua wanaisaidiaje Palestina.
Ila wewe kijana mdogo utajulia wapi haya mambo!??
Summit zinasaidia nini ama zimeisaidia nini Palestina?. Matokeo ya hizo summits ni nini, yako wapi maamuzi ya summits?

South Afrika haikuhitaji Summits kuishtaki Israel. Mexico haikuhitaji Summits kujiunga kwenye kesi. Jana Brazil haikuhitaji Summits kumuondoa balozi wake Israel sababu ya mauaji, Columbia haikuhitaji Summits kumuondoa balozi wake Israel na kumtuhumu Netanyahu hadharani.

Nchi pekee yenye ujasiri wa kuishtaki Israel ni South Africa. Nchi nyingine zimeunga mkono mashtaka lakini hakuna nchi ya kiarabu iliyotangaza kujiunga kwenye kesi.

Kesi ya SA dhidi ya Israel imeleta matokeo mengi sana mazuri, Netanyahu kutakiwa kukamatwa, lakini pia imeonyesha unafiki na mgawanyiko wa nchi nyingi za Ulaya watetezi wa haki za Binadamu waliotangaza kuiwekea vikwazo ICC ili kuilinda Israel na wengine kutangaza kumkamata Netanyahu ikiwa atahitajika ICC.

Nchi za Ulaya, Norway, Spain na Ireland kutangaza kuitambua Palestina kama nchi na kuweka bendera yake kwao na kutangaza kutaka wapewe mabalozi, nchi gani ya kiarabu imefanya hivyo?

Wakati hayo yanafanyika waumini wa dini ya Allah alikozaliwa Allah mwenyewe na mtume wake wao wanaendesha summits tu Cairo na kwingineko, hovyo kabisa. Wamuombe basi allah aingilie kati maana wao wameshindwa.
 
Huo ni ubaguzi wa kidini, anaifanya hii vita kuwa ya kidini wakati ni kubwa zaidi ya dini.

Wapalestina wanahitaji msaada wa kika mtu, si msaada wa Waislamu tu.
Kwa maoni yangu:
Ni kama vile anawaamsha "Waislamu" kutoka katika usingizi wa pono. Nchi za kiislamu ziache kulala. Nchi kutoka maelfu ya kilomita (South Africa) isimame kidedea against Israel alafu majirani wameuchuna. 🤔🤔🤔
 
Lakini kwa nini hii issue iwe about Waislamu na si wapenda haki wote tu wa dunia?

Tunaidogoshaje issue ya haki za binadamu, kitu ambacho ni universal, iwe issue ya Waislamu tu?
Sio kwamba wanadogosha ila inatushangqza sisi wenyewe kwa nini nchi za kiislamu ziko kimia.

Kwenye uislamu, muumini mwenzako ama muamini mwenzako ni muhimu kuliko hata ndugu yako wa damu, yaani kama wewe ni muislamu na mimi hapa muislamu, hatuna undugu wa damu, mimi nikipata shida na baba yako ama ndugu zako wa damu wakapata shida unapaswa uanze kunisaidia mimi kwanza kabla ya baba yako ama ndugu zako wengine.

Kwa msingi huo tunashangaa, wapalestina 99% ni waislamu, wamezungukwa na nchi za kiislamu na waislam wenzao ama ndugu zao katika imani. Cha kushangaza zaidi ndugu zao katika imani wako kimia Palestina ikiangamizwa na Israel. Wao wametulia tu.

Wameshindwa hata kuungana na nchi nyingine kama South Africa kuishtaki Israel, wao wametulia tuli hawasemi chochote huku ndugu zao katika imani wakiangamia. Ni mambo yanayosikitisha.

Sasa unakuja kusikia huyo rais anasema nchi za kiislamu ziungane, ziungane kufanya nini, kuanzisha vita, kupeleka misaada Palestina, kuishtaki Israel ama kufanyaje?
 
Raisi wa Uturuki povu limemtoka, anataka mataifa ya Kiislamu yaungane dhidi ya taifa la Israel.
Mimi naona huyu jamaa ni mnafiki kama wanafiki wengine.

View attachment 3002819
Too little too late, miezi, nane baada ya mauaji,ya, wa Arabs wenzenu, wana wake na, watoto 35000+, Leo ndio mnaamua!
Ilibidi Israel ivamiwe kijeshi, au anga ya Gaza, iwe no fly zone chini ya majeshi, ya, Arabs, lakini wapi, wamecheza makida makida miezi yote hii, mpaka Leo,
So pathetic
 
Back
Top Bottom