Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Ngoma ndio Kwanza inaanza kupigwa....
Naamini ipo siku Mwamedi atasema tu ilikuwaje Hadi akatekwa Karibu na Ikulu...Time will Tell
Matukio ya aina hii yalikuwa yanafanywa na kundi la siri la watu kwa nia ya kuichafua Serikali ya JPM; changanya na za kwako!
 
 

Attachments

  • Screenshot_20211029-110122.png
    204.6 KB · Views: 2
Kwa huu mkeka unaochipua ni suala la mida tuu. Mlio karibu na makonda bashite mshaurini aombe asylum hata South Africa.

Kuna watu wazito waliumizwa na matendo yaliyotokea wakati Hayati akiongoza nchi wakidhani yalikuwa na baraka za Hayati Jiwe chuma.
 
Huo uhuru wako wa maoni nauheshemu. Kila jambo lina miiko yake.
Kwa hiyo nchi hii ni ya Kikwete?Kikwete mwenyewe wa hovyo hovyo.Anawaza kupiga picha na LIANA.Mungu atafanya maajabu tutapata mtu Kama JPM soon.Wahuni na vilaza wote tutawateketeza
 
Kwa hiyo nchi hii ni ya Kikwete?Kikwete mwenyewe wa hovyo hovyo.Anawaza kupiga picha na LIANA.Mungu atafanya maajabu tutapata mtu Kama JPM soon.Wahuni na vilaza wote tutawateketeza
Thubutu, hakuna tena sukuma gang kupewa nafasi kubwa serikali, Watanzania wamejifunza kwa Mwendazake
 
Kabendera anamsemea kikwete sio!!?

Ili iweje!?katumwa na muhusika Ili apate sababu na kumsghulikia nani!!?

Tusubiri!!
 
Makamu au PM wangeweza sema nini mbele ya mbabe yule? Waweza nipa namna mojawapo ambayo wangeweza kuukataa uovu wa Jiwe maana hata kujiuzuru tu ingekula kwao
Zipo namna nyingi za kuukataa uovu......kuukalia kimya uovu na wewe ni sehemu ya uovu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…