Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matukio ya aina hii yalikuwa yanafanywa na kundi la siri la watu kwa nia ya kuichafua Serikali ya JPM; changanya na za kwako!Ngoma ndio Kwanza inaanza kupigwa....
Naamini ipo siku Mwamedi atasema tu ilikuwaje Hadi akatekwa Karibu na Ikulu...Time will Tell
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakayeibishia hii kauli apigwe bakora salasini za shingo.
Bora lilivyokufa,hata kama waliliua ni Bora zaidi..Magufuli alikuwa ni zaidi ya ibilisi
Yakawa yakifanya hivyo anayachekelea tuu si ndio?Matukio ya aina hii yalikuwa yanafanywa na kundi la siri la watu kwa nia ya kuichafua Serikali ya JPM; changanya na za kwako!
Changanya na za kwako! Usichukulie matukio ya aina hii kama matukio mengine ya kawaida. Unadhani kwa nini kamera zilikuwa zimezimwa siku ya kushambuliwa TL?Yakawa yakifanya hivyo anayachekelea tuu si ndio?
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Kwa hiyo nchi hii ni ya Kikwete?Kikwete mwenyewe wa hovyo hovyo.Anawaza kupiga picha na LIANA.Mungu atafanya maajabu tutapata mtu Kama JPM soon.Wahuni na vilaza wote tutawateketezaHuo uhuru wako wa maoni nauheshemu. Kila jambo lina miiko yake.
Thubutu, hakuna tena sukuma gang kupewa nafasi kubwa serikali, Watanzania wamejifunza kwa MwendazakeKwa hiyo nchi hii ni ya Kikwete?Kikwete mwenyewe wa hovyo hovyo.Anawaza kupiga picha na LIANA.Mungu atafanya maajabu tutapata mtu Kama JPM soon.Wahuni na vilaza wote tutawateketeza
Kwamba bila kuweka mifumo imara tanzania kuna majizi mengi hata Jpm alikuwa a nia njema lakini alikosea kuimarisha mifumo ya kiutawala akawa anaamini mtu mmoja mmoja.Sijakuelewa unataka kusemaje labda?
😂😂😂😂Kwani infinix haitoi maamdishi yakasomeka?Afufuliwe atandikwe mboko!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wewe Unatumia itel unamcheka kwenye infinx ,kweli matatizo ya akili ni real nchi hii
Hili atandikwe marisasiungesema angali akiwa hai,
Mimi huwa sijui leo natumia nini.Ntakachokikuta ndiyo hichohicho.Naheshimu uvumbuzi wa wataalamu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zipo namna nyingi za kuukataa uovu......kuukalia kimya uovu na wewe ni sehemu ya uovu......Ila kumbuka Jiwe alitoka hadharani na kusema yeye hashauriki, sasa hapo utamlaumu Samia au Pm?
Zipo namna nyingi za kuukataa uovu......kuukalia kimya uovu na wewe ni sehemu ya uovu......