Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wai kapimwe akiliMfanyabiashara maarufu. Labda ana maana Harbinder Sethy Singh. Yule nilidhani bado yuko ndani. Lakini apparently ametoka maanake nilimsikia last week anasema nini sijui, anataka arudishiwe kampuni yake ya IPTL.
Ameteswa gerezani? Well,hili tatizo kubwa sana. Haiwezekani kwangu kutoa comment ( off the bat), yaani,haiwezelani kutoa maoni instantly, immediately.
Swali zuri sanaYakawa yakifanya hivyo anayachekelea tuu si ndio?
Naona marehemu amekamiwa Sana ha ha aaaaa vijana tuna hasira haha haaa ...Miaka ijayo kuna mtu atafukuliwa ili ashtakiwe kunyongwa
Ili auwawe?ungesema angali akiwa hai,
Ficha upumbavu wako wewe. Yule fedhuli tutamsema tu. Unadhani Kabendera kakurupuka kupost? Kama ulimsikiliza JK kwenye birthday yake utaelewa hata yeye alikuwa anakerwa na udhalimu wa mwendakuzimu hasa kwenye kutaka kubadilisha katiba kihuni.Kabendera akumbuke hayuko juu ya sheria. Kumsema vibaya kwa tuhuma kama hizi ni kosa kisheria. Hapo haichukuliwi kwsmba anamsema JPM, bali anaisema taasisi ya urais na serikali kwa ujumla ambayo mpaka sasa inaongoza nchi.
Lete ushahidi. Vinginevyo utapuuzwa na upuuzi wako utatupiliwa mbali.Mo alitekwa na timu Msoga kumchafua Magufuli na mauaji ya viongozi timu Msoga ndiyo suspect wa matukio.
Oops! Too much buddy.Worsest ever!
Bado ni wakati sahihi, mpandilizi na msalia yake yapo. Taifa lahitaji kusafishwa.ungesema angali akiwa hai,
Povu la nini sasa?Lete ushahidi. Vinginevyo utapuuzwa na upuuzi wako utatupiliwa mbali.
Nitajie sukuma gang 4Thubutu, hakuna tena sukuma gang kupewa nafasi kubwa serikali, Watanzania wamejifunza kwa Mwendazake
Una mawazo finyu sana.Hakika JF ni sehemu ya research.Mbona JPM ndio ametusaidia sana.Maisha ni randomly sio Kama unavyofikiria.Thubutu, hakuna tena sukuma gang kupewa nafasi kubwa serikali, Watanzania wamejifunza kwa Mwendazake
Bashite, Kabudi, Kalemani, Msukuma, Lukuvi, Sabaya, Gambo, Gwajima Happi, Polepole, Bashiru, Heri James Dotto James, Biswalo, (niendelee kuwataja?)Nitajie sukuma gang 4
Hizi ndiyo propaganda zenyewe sasa, kama anazosema alifanyiwa na 'Jeshi la mtu mmoja'ungesema angali akiwa hai,
Mzee Yule hatari walikuwa floor ya 5 jengo la UVcCm