Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Oh so you're a house Husband!!

Whatever works for you guys man!

Ndomaana Kuna wanawake hawazai wanasema hawataki watoto, they are just not instinctively maternal....na Kuna wanaume kama wewe hapo wanataka wabaki home wanyonyeshe.

Haya maisha bwana.... inasemekana eti kuna over 30 genders eti and not just two. Probably the source of all this confusion.

anyways is this how you ride your wife after she comes back from work?

View attachment 2116975

View attachment 2116976

Mods spare me [emoji23]
Akili yako ni fupi kama mkia wa pimbi, au wenda ata hiyo akili hauna na kama unayo itakuwa haina akili.. [emoji23][emoji23]

Kwahiyo mke wangu kufanya kazi ukajua yeye ndiyo provider wa familia..? Anyway mimi si muajiriwa ila I'm my own boss pesa haitafutwi inapatikana kwa strategies. Vile tu my wife kaajilwa sehemu nyeti na mimi sitiishwi na mtu na zaidi I love my kids sana. Life kama langu ukilipata utalinga.
 

Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
Atawale milele
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.com
15737992_509.jpg


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Dah jamaa bonge la genius....haya ndio maendeleo tunayoyataka
 
Na
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders
Naulizia kama kuna ubalozi wa mswati hapa bongo? Naomba location , lengo kubwa ni kwamba nahitaji viza
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app

Ndyo asili ya mwafrika wake wengi
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Je, mgeni ukienda huko utabanwa na sheria hiyo?
Na utaratibu wa kuhamia huko ukoje?
 
Back
Top Bottom