Kwa wapare kuna wagweno......nasikia hata mila zao kidogo ni tofauti na za wapare wengine hao ndo nasikia walitokea Ethiopia maana wana tamaduni nyingine ambazo ni tofauti kdg na za wapare wabantu
Kabisa! Na kinachombeba Abbiy ni zaidi wa Amhara na waoromo wachache. Maana wazazi wake Baba ni Muoromo na mama ni Amhara. Hivyo anaushawishi kutoka kwa makabila yote mawili ingawa waoromo walitegemea favor zaidi kutoka kwake hivyo kama wanakinyongo fulani hivi.
Cha kufurahisha kwenye hili la kuwachapa Tigray waoromo wamemuungamkono na wanamgambo wakioromo wapo tayari kwenda front line kuzichapa.
...bora kawawahi...maana ni mwanajeshi huyo!!!Wako vizuri wale na umoja. Makabila mengine wivu tu. Ila Abiy angechelewa tu kidogo tu sasa kungekuwa na taifa la Tigray. Amhara wamemsaidia sana jamaa. Nembo ya Tigray na bendera hapi chini
Kwakweli japokuwa alikuwa na mabaya mengi tu lakini kwenye hili la kuthibiti ukabila mwalimu Nyerere kwakweli alifanya la maana sanaDuuuh....taifa lina "ukabila" Hilo...
Yaani pamoja na kuwa hawamsupport Abiy,ila kwenye "mtanange" wamekaa Upande wake....ππ
Mwalimu Nyerere ALIONA MBALI SANAA....
May His Soul Rest In Peace aamen aaamen.
Yugoslavia ilivunjika na kutoa Mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo.
Ethiopia ina makabila makuu manne.
Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.
Hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.
Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.
Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?
Hatareee....Kwasababu yeye anataka eti kui-unify Ethiopia iwe kitu kimoja, yaani waoromo wasahau yaliyopita wagange yajayo. Waoromo walinyanyasika sana kipiti watigray wapo madarakani, Tigrayans na Amhara walikuwa wanawatreat kama seconda class citizens waoromo. Sasa alioingia Abbiy jamaa wakajua ndiyo muda wao sasa wa kulipa kisasi halafu yeye akawakata stimu kwamba wagange yajayo.
Huyo Jawara Muhammed amewaahidi akishika nchi hadi Addis ababa atairudisha kwa waoromo. (Kijiographia Addis ababa ipo Oromia region)
Mkuu ulipotelea wapi. Kipindi sijajiunga JF nilikuwa nakuona sana humu sikuhizi kulikoniBora ungekaa kimya tu kuliko kukurupuka! Huu ugomvi wa Ethiopia hakuna Msomali anayehusika hata kidogo. Yaani kwenye siasa za Ethiopia hawa wasomali wa Ethiopia hawapo kabisa na wala huwa hawajioni kama wao ni waethiopia wanajiita wasomali. Abbiy Ahmed japokuwa ni mu-oromo (Kabila lenye waislam wengi) lakini yeye ni Mpentekoste na Tigray majority kama sio wote ni wakristo wa madhehebu ya Orthodox.
Hapo Msomali na Uislam umeingiaje?
Walikuwa wa Tigray walimuonea jamaa huruma tu...bora kawawahi...maana ni mwanajeshi huyo!!!
Halafu Kuna kipindi BATTALION ya jeshi ilikwenda kumvamia ikulu...akawatuliza...je nao walikuwa wanaongozwa na hayo ya UKABILA Jeshini?!!!!
Kumbe wewe ndio Coppenhagen DN?Tigray ni wachache ila wananguvu sana na Mali. Na ndio hao walimng'oa dikteta Mengistu Haile Mariam. Tigray wapo hadi Eritrea na wanaongea lugha moja Tigrinia japo mipaka tu na siasa imewatenganisha.
Rais wa Eritrea Isias alikulia na kusomea Addis Ababa akarudi Eritrea na kuanza siasa zake chafu.
Melez Zinawi aliingoza TPLF na akaleta maendeleo sana Ethiopia.
Wasomali wa Ethiopia wako jimbo la ogaden wenyewe wanjiona hawako Ethiopia. Djibouti ni Wasomali hawajawahi kuwa Ethiopia.
Cha kushangaza wote hao Ethiopian hawawezi kujitofautisha kwa sura wanakuja kujitofautisha na kujua flani katoka kabila flan wanapoongea.
Queen sheba (Sabaah) kipenzi cha mfalme Suleiman alitokea Tigray.
Pia kuna makabila mengi madogo madogo kusini mwa Ethiopia 'Southern nations' omo river valley kama gurage, Hamar.
Nilishaletaga Uzi humu miaka ya nyuma kuhusu uhasama wa makabila ya Ethiopia kwenye id yangu pendwa iliyopigwa life ban copen hagen DN
Oooo....Kwa mustakabali waethiopia Abbiy Ahmed inabidi abaki madarakani. Jamaa yupo focused sana na uchumi wa Ethiopia utapaa zaidi chini ya huyu mtu. Kwasasa hadi ameanza ku-attract foreign investment na anamipango kabambe ya kubadilisha sera za kiuchumi za ethiopia ikiwepo kuruhusu biashara huria kutoka kwenye kila kitu kushikiliwa na serikali. Mimi naona angegeuka tu dikteta kama Zenawi ili aifikishe nchi mbali, hizi demokrasia anazotaka kuziweka kwenye nchi ya wakorofi haitawezekana
ππWalikuwa wa Tigray walimuonea jamaa huruma tu
Mishimishe tu mkuu lakini nipoMkuu ulipotelea wapi. Kipindi sijajiunga JF nilikuwa nakuona sana humu sikuhizi kulikoni
Nifanyie koneksheni mkuu.Kazuri kweli picha yake ni nembo ya binti wa Ki Hamer. Kabila lao wako 35,000 tu. View attachment 1627819
ππHawa ndugu zetu wenye asili na nywele za kikemikali na pua ndefu kidogo wanajionaga class fulani hivi, acha wanyooshane tu mpaka watakapopata akili.
Huyu alipaswa aungana na Abiyy ili atumie ushawishi wake kuiunganisha nchi ila jamaa anatumia kete ya ukabila kusaka madaraka.Namfahamu sana Muhammed Jawar! Alipotua Addis ababa mji ulisimama, nilikuwepo Addis wakati jamaa anarudi Ethiopia kutokea Marekani. Wa-Oromo wanamuona ndiye muokozi wao baada ya Abbiy Ahmed kugoma kuwapa upendeleo waoromo wenzake. Huyu Jawar ni threat sana kwa Abbiy ndiyo maana kila siku anapigwa kesi na kurundikwa jela kama viongozi wa CHADEMA(Joke).
Mahali popote alipo Msomali + Waislam wengi kunakuwa na matatizo ya kudumu
Kifupi wana laana nzito kuwahi kutokea duniani
Nimewaza Kama WEWE...huyo JAWAD ni mkabila sana tu.....Huyu alipaswa aungana na Abiyy ili atumie ushawishi wake kuiunganisha nchi ila jamaa anatumia kete ya ukabila kusaka madaraka.