Eti Mbowe alitoa laki 6 kufadhili ugaidi. Seriously?

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Sirro limedhamiria kumdhalilisha Samia ili kulipa credit Sukuma gang hii ndio sababu Sirro alipuuza kumkamata askofu wa mashaka Gwajima umizeni vichwa
Kamsalimie Gaidi huko Segerea acha kutoa mapovu mtandaoni tu wewe bibi kizee!
 
Nchi hii inaongozwa na watu wapuuzi sana. Hii kesi ya Mbowe ni ushahidi tosha
 
Nenda kamsalimie gaidi wewe yuko Segerea acha kubwabwaja mtandaoni tu wakati gaidi anaendelea kuumia mlupango!
Gaidi aliyefadhili laki 6 kwa genge lake. Gaidi aliyetenda ugaidi last year ila akawa anazunguka freely kwa mwaka mzima

Are you normal?
 
kuna wengine hawakutoa hata senti mbovu ila waliitwa magaidi so hakuna jipya
 
Gaidi aliyefadhili laki 6 kwa genge lake. Gaidi aliyetenda ugaidi last year ila akawa anazunguka freely kwa mwaka mzima

Are you normal?
Yes kama ushahidi wa kutosha ulikuwa haujapatina ulitaka akamatwe endelee kuozea mahabusu mkuu? Hata ukifadhiri laki moja bado utakuwa gaidi tu. Ugadi siyo lazima ufadhiri mamilioni mkuu!!
 
Ugaidi wa shilingi laki sita, bastola ya risasi tatu. Mbona hiyo ni bajeti ya ujambazi tu.
 
Kwa ushahidi huu Serikali na majambawazi yake (Mapolisi) wameshashindwa mapema na asubuhi. Hii ni kesi ya KUGHUSHI haina ukweli wowote
Kweli mtu afadhili UGAIDI KWA LAKI 6 TSHS( 240 USD)^ yaani 600,000/= ????
Kama ni DOLARI ZA MAREKANI yaani USD 600,000 it can sound, but 600,000 Tshs...This is NO! NO! NO!
 
Nyie jichanganyeni tu mnajiuliza maswali mnajijibu... Kama mnajua ukweli simkamteteee.. Yaani mnataka kubadilisha makosa ya ugaidi yaende kwa sabaya... Kama huo ushaidi hauna nguvu povu la nini?
 
Acha ujinga ZWAZWA!!! Kwani ukiwa wa kubambikia wewe unataka kuwanyamazisha Watanzania wanaotaka kuongelea maovu ya hii Serikali haramu ukiwa kama nani? STAY ON YOUR LANE!!!
Nyie jichanganyeni tu mnajiuliza maswali mnajijibu... Kama mnajua ukweli simkamteteee.. Yaani mnataka kubadilisha makosa ya ugaidi yaende kwa sabaya... Kama huo ushaidi hauna nguvu povu la nini?
 
Mbowe ana imani kali. PROVE
 
Ila wachaga ni wabahili jamani, yaani unafadhili ugaidi kwa laki 6 kweli. Watani acheni ubahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…