Eti mtu anajisifia ni PhD, halafu PhD ambazo hazina mchango wowote kwenye maendeleo ya nchi hii

Eti mtu anajisifia ni PhD, halafu PhD ambazo hazina mchango wowote kwenye maendeleo ya nchi hii

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
Ngoja Mwigulu aje
 
99% ya Watu wenye PhD bongo vitu pekee wanaweza ni kubishana kuhusu Mpira na vichwa vya magazeti (udaku).

Kwenye Mapindizu ya uchumi huko usiwatag mtagombana.

Wengi wao ndo watumwa ndani ya system wakilipwa just 1.5 au 2M per month waona wamemaliza kila kitu kwenye maisha wanaanza kuwarushia mabom majobless wajiajiri serikali haina ajira 😂. Anyway natania 🥴
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
PhD ni ya mtu binafsi ndugu. Punguza wivu
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them

Kuna mmoja anajiita mtaalam wa uwekezaji anayo ya Saikolojia ya ualimu, anapeleka nchi karne ijayo!
 
Ni aidha hujasoma au hujui maana ya PhD na hicho unachoita maendeleo
Hujui kuwa elimu au maarifa yanategemeana? Mfno mradi kama wa SGR wanahitajika watu wa karibu taaluma zote ulizotaja na ambazo wewe hazina faida. Hujui kazi za muhasibu? Hr, social workers nk
Jitahidi kusoma
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
Bila shaka ww ni mjinga
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
PhD uchwara
 
Tutajie zipi unaona zina faida hapa bongo.
We both a bunch of utter useless school goers, we attended college but we are not elites in our respective professions. Engineers with zero innovation. We can't even make sewing machine, bicycles, needles, sky scrapers, sunspension bridges, SGR railways, vaccines, highways, tractors, ploughing machines, pair of flipper, hydro electric dams, dry cells, solar panels, bulbs, e.t.c.
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
Zenye faida ni zipi?
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
Wivu unakusumbua sana. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom