Eti mtu anajisifia ni PhD, halafu PhD ambazo hazina mchango wowote kwenye maendeleo ya nchi hii

Eti mtu anajisifia ni PhD, halafu PhD ambazo hazina mchango wowote kwenye maendeleo ya nchi hii

PDh za engineering
Mimi Sina PhD lakini mtu wa sayansi. Hoja ya huyu OP haijanishawishi naona ufanisi wa wabongo unalingana nyanja zote. Namaanisha wa sayansi na teknolojia, arts, social science wote ufanisi au mchango mdogo sana kwa maendeleo ya taifa letu.
Labda sekta ya afya kwa mbaaliii naona output nzuri.
Engineers, wachumi, social sciences wote hutana mchango mkubwa.
We both a bunch of utter useless school goers. We attended college but we are not elites in our respective professions. Engineers with zero innovation. We can't even make sewing machines, bicycles, needles, sky scrapers, sunspension bridges, SGR railways, vaccines, highways, tractors, ploughing machines, pair of flipper, hydro electric dams, dry cells, solar panels, bulbs, e.t.c.
Kila kitu ni mchina, mzungu, Mwarabu au Mturuki.
Sisi wa sayansi na hasa hao wahandisi tumebaki na misifa ya kijinga tu eti tumesoma masomo magumu. So what?
 
Watu ambao hamjasoma huwa mna chuki mno dhidi ya wasomi. Jilaumu kwa kutopenda shule
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
Wazungu wameleta hizo shule kutupoteza. Hata hii mitaala Kuanzia chekrchea mpaka university ni useless. Jamaa zetu wengi

wanasoma masters ili wapande vyeo hopeless kabisa.
Wizarani ya elimu ilileta sylubus mpya ya advm kwa. Mbwbwe eti Kuna combination mpya ya Islamic knowledge na divinity
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
Chuki dhidi ya wenye PhD.
 
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma

Shame on them
🤔😳😲
 
99% ya Watu wenye PhD bongo vitu pekee wanaweza ni kubishana kuhusu Mpira na vichwa vya magazeti (udaku).

Kwenye Mapindizu ya uchumi huko usiwatag mtagombana.

Wengi wao ndo watumwa ndani ya system wakilipwa just 1.5 au 2M per month waona wamemaliza kila kitu kwenye maisha wanaanza kuwarushia mabom majobless wajiajiri serikali haina ajira 😂. Anyway natania 🥴
🤣 🤣 🤣
 
Unabidi ujue haya mambo

Shule au chuo - ni sehemu ambayo Elimu inatolewa Ila Elimu IPO kila sehemu .

Kumlalamikia MTU mwenye PhD ni kupoteza muda na kutojua maana ya Elimu.

Hata wewe ukiamua kuwa na maarifa ya vitabu Kama MTU wa PhD is possible sasa kwanini ulalamike

PhD ni karatasi tu .

Kuna watu wamesoma QT, then PC na mwisho wamemalizia na open university hawalijui darasa na hawajawahi kukaa darasani .

So usilalamikie MTU yeyote
 
Kwanza sihitaji msaada wako cha kwanza, najitosheleza personally! Cha pili Phd kwa nchi maskini kama Tanzania ni investment ya talent ya taifa na inadaiwa kusaidia kuendeleza jamii sio kusaidia watu binafsi, nchi maskini imesomesha hizi mbuzi kwa gharama kubwa sana na zinatakiwa morally kureturn investment iliyofanywa na walipa kodi maskini kule nanjilinji kwa korosho zao. Zingine zimepelekwa picadiri (in jiwez voice) na zikarudi kuomba ajira kwa MO badala ya kucreate ajira kwa watu waliokosa hizo privileges. Usilinganishe Phd ya mtu wa nchi iliyoendelea aliyoinvest yeye binafsi na hizi za shithole countries zinazotumia resources za nchi, unadaiwa morally kulipa fadhila za walipa kodi. Serikali maskini ikupeleke Swiss ukasome kwa $200,000 uje kufanya kazi ya kupiga meza Dodoma na kusifia wanasiasa kama zuzu return ya investment ipo wapi? Its common sense japo naheshimu sana mawazo yako
Mkuu Maseke mtu ana PhD tena anakuwa mbuzi???

Hata kama kuna mtu wa PhD amekukera sio wote! Kweli Mkuu??

Tafadhali waombe watu msamaha kwa maneno haya!!!
 
Unabidi ujue haya mambo

Shule au chuo - ni sehemu ambayo Elimu inatolewa Ila Elimu IPO kila sehemu .

Kumlalamikia MTU mwenye PhD ni kupoteza muda na kutojua maana ya Elimu.

Hata wewe ukiamua kuwa na maarifa ya vitabu Kama MTU wa PhD is possible sasa kwanini ulalamike

PhD ni karatasi tu .

Kuna watu wamesoma QT, then PC na mwisho wamemalizia na open university hawalijui darasa na hawajawahi kukaa darasani .

So usilalamikie MTU yeyote
🙋‍♂️🎯👍👌👏🤝🙏🛡️
 
Back
Top Bottom