Mende mdudu
Senior Member
- Feb 13, 2023
- 111
- 223
Acha kuzarau masomo ya socialogy, watu tu hamjashutuka uko ndo kuna pesa vibaya ukiwa na phd ya udaktari utaenda kushinda hospital ila uko mambo ya social tips kama zote program, au campaign zote ela izo au mradi flani mambo ya gender equality ktk mradi au pesa sjui za jambo flani nje ya mshahara unaweza kusanya pesa ndefu sana