Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
🤣🤣🤣Kuna mmoja anajiita mtaalam wa uwekezaji anayo ya Saikolojia ya ualimu, anapeleka nchi karne ijayo!
Wewe unayo ipi? Na imeshaleta tija gani katika Jamii inayokuzunguka?Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
WEWE unayo au unajisemesha semesha tu kama yule sungura aliyesema 'sizitaki mbichi hizi' baada ya kujaribu na kuzikosa?Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
Such a short minded FelaAsome mwingie aje kukusaidia wewe? Umemlipia ada? Wewe nani kakutaza kusoma au kwanini ndugu zako hawajasoma waje kukusaidia? Kila mtu anasoma kwa faida yake mwenyewe kwanza hayo mambo ya kusaidia wengine ni hisani sio lazima. Haya malalamiko peleka kwa ndugu zako hasa wazazi wako.
Such a short minded Fela
Yes, indeed. Siwezi kusoma mimi nije kukusaidia wewe au wewe upambane uje kunisaidia mimi wakati sina msaada wowote kwako. Hii entitlement ndo imefanya mitanganyika muwe maskini wa kutupwa. Maendeleo yako ni juhudi zako. Mwingine jana kasema matajiri wa bongo hawana msaada wowote kwa jamii zao, yani mtu apambane afu wewe upigie hesabu mali zake, manumwa nyie.
Hizi hasira kwanza kabisa jipeni wenyewe kwa kushindwa kufikia malengo yenu, pili serikali yenu kwa kushindwa kutumia kodi zenu vizuri. Elimu ya mtu na utajiri wake ni vyake na famili yake. Akiwapa nyie watu baki ni hisani sio lazima. Siku ukijua hilo utatoboa.
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
Hata wa majengo yale majengo marefu unayoyaona mjini hawajengi wao ni Wachina ndio wanaletwa kujengaPhD za uhandisi wa majengo angalau kazi inaonekana.
Mkuu hakuna kitu ambacho hakina umuhimu hapa duniani tunaishi kwa kumtegemeana,Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
Bwana wee wakati kuwa donor country unahitaji phd za mathematics physics chemistry biology ziwe bwelele na institutes of advanced studies zimetapakaa kila mkoaHivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
Kwanza sihitaji msaada wako cha kwanza, najitosheleza personally! Cha pili Phd kwa nchi maskini kama Tanzania ni investment ya talent ya taifa na inadaiwa kusaidia kuendeleza jamii sio kusaidia watu binafsi, nchi maskini imesomesha hizi mbuzi kwa gharama kubwa sana na zinatakiwa morally kureturn investment iliyofanywa na walipa kodi maskini kule nanjilinji kwa korosho zao. Zingine zimepelekwa picadiri (in jiwez voice) na zikarudi kuomba ajira kwa MO badala ya kucreate ajira kwa watu waliokosa hizo privileges. Usilinganishe Phd ya mtu wa nchi iliyoendelea aliyoinvest yeye binafsi na hizi za shithole countries zinazotumia resources za nchi, unadaiwa morally kulipa fadhila za walipa kodi. Serikali maskini ikupeleke Swiss ukasome kwa $200,000 uje kufanya kazi ya kupiga meza Dodoma na kusifia wanasiasa kama zuzu return ya investment ipo wapi? Its common sense japo naheshimu sana mawazo yako
Kwa mtazamo huu hata cheti cha NECTA cha O-Level hakina maana. Tuishie tu na elimu ya Std VII ya kujuwa kusoma na kuandikaHivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
Mbona mafundi wa kawaida (Fundi Maiko) tu ndiyo wanajenga nyumba zote Dar es Salaam hata cheti cha VETA hawanaPhD za uhandisi wa majengo angalau kazi inaonekana.