Mende mdudu
Senior Member
- Feb 13, 2023
- 111
- 223
Kweli kabisa, yaani mbongo akipokea hiyo salary ndio basi tena haumsikii popote zaidi ya kuwaona majobless wote ni wavivu na hawatumii akili zao vizur.99% ya Watu wenye PhD bongo vitu pekee wanaweza ni kubishana kuhusu Mpira na vichwa vya magazeti (udaku).
Kwenye Mapindizu ya uchumi huko usiwatag mtagombana.
Wengi wao ndo watumwa ndani ya system wakilipwa just 1.5 au 2M per month waona wamemaliza kila kitu kwenye maisha wanaanza kuwarushia mabom majobless wajiajiri serikali haina ajira 😂. Anyway natania 🥴
nani, Mkumbo?Kuna mmoja anajiita mtaalam wa uwekezaji anayo ya Saikolojia ya ualimu, anapeleka nchi karne ijayo!
Hapo kwenye kutania tumechukulia ukweli,99% ya Watu wenye PhD bongo vitu pekee wanaweza ni kubishana kuhusu Mpira na vichwa vya magazeti (udaku).
Kwenye Mapindizu ya uchumi huko usiwatag mtagombana.
Wengi wao ndo watumwa ndani ya system wakilipwa just 1.5 au 2M per month waona wamemaliza kila kitu kwenye maisha wanaanza kuwarushia mabom majobless wajiajiri serikali haina ajira 😂. Anyway natania 🥴
DahNi aidha hujasoma au hujui maana ya PhD na hicho unachoita maendeleo
Hujui kuwa elimu au maarifa yanategemeana? Mfno mradi kama wa SGR wanahitajika watu wa karibu taaluma zote ulizotaja na ambazo wewe hazina faida. Hujui kazi za muhasibu? Hr, social workers
Jitahidi kusoma
PDh za engineeringTutajie zipi unaona zina faida hapa bongo.
🤧🤧Asome mwingie aje kukusaidia wewe? Umemlipia ada? Wewe nani kakutaza kusoma au kwanini ndugu zako hawajasoma waje kukusaidia? Kila mtu anasoma kwa faida yake mwenyewe kwanza hayo mambo ya kusaidia wengine ni hisani sio lazima. Haya malalamiko peleka kwa ndugu zako hasa wazazi wako.
Nakazia,Ni aidha hujasoma au hujui maana ya PhD na hicho unachoita maendeleo
Hujui kuwa elimu au maarifa yanategemeana? Mfno mradi kama wa SGR wanahitajika watu wa karibu taaluma zote ulizotaja na ambazo wewe hazina faida. Hujui kazi za muhasibu? Hr, social workers nk
Jitahidi kusoma
Asante, ila umewafokea mnoYes, indeed. Siwezi kusoma mimi nije kukusaidia wewe au wewe upambane uje kunisaidia mimi wakati sina msaada wowote kwako. Hii entitlement ndo imefanya mitanganyika muwe maskini wa kutupwa. Maendeleo yako ni juhudi zako. Mwingine jana kasema matajiri wa bongo hawana msaada wowote kwa jamii zao, yani mtu apambane afu wewe upigie hesabu mali zake, manumwa nyie.
Hizi hasira kwanza kabisa jipeni wenyewe kwa kushindwa kufikia malengo yenu, pili serikali yenu kwa kushindwa kutumia kodi zenu vizuri. Elimu ya mtu na utajiri wake ni vyake na famili yake. Akiwapa nyie watu baki ni hisani sio lazima. Siku ukijua hilo utatoboa.
Asante, ila umewafokea mno
Kabisa, hawa ndio wanafanya maamuziHao ndo policy makers sasa, utake usitake..!
Wapo vilaza wengi na PhD zao za kiswahiliHivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi ya mtu kupoteza muda tu darasani bila msingi wowote ule hizi zinatakiwa zifutwe nakuendelea hazisaidii kuleta maendeleo zaidi nchi inaenda kudidimia tu na watu kukalia uchawa tu kwa PhD ambazo
hazina mbele wala nyuma
Shame on them
Hizo PHD nizakipumbavu aminiBila shaka ww ni mjinga