Eti Wema mzuri zaidi kumzidi Zari?


Acheni kulinganisha PERFUME na USHUZI....Wema hamfikii Zari kwa uzuri na hatamfikia maisha yake.
 
Hakika Zari ni mzuri!Kwakweli Wema hawezi kumfikia hata kidogo!
 

Wewe umesaidiaje ungehorozesha wafate mfano kama unadhani wao hawajali wazazi wao.

Shida za Kigoma kawaambie mkyu wa mkoa, mbunge, madiwani ndio kazi yao kufanya.
 
Na huyu wanasema ndio anafanya global publisher anahongwa na wema na ametokea kwenye tv program yake so anakula hela ili ampaishe wema hadi anaandika upumbavu mkubwa kama vile sio mwandiahi wa habari....

Alipataje kazi huyu imelda?

Uwiiiiiii! Jamani hili ni zimwi au mwanamke?
Ila nasikia ni chakula cha boss wake na anampenda vibaya sana!
 
Mmmhhhh na huo unene kuvaa nguo za wazii 😆😆

ha ha ha...wakati mwingine bora hizi habari wangeandikaga waandishi wa kiume...
Baada ya kuona picha ya mwandishi nilijua tu lazima kibao kimgeukie....
 

Mhhhh wema kaozaje jamani? Hivi akizaa huyu atafaa kuangalia kweli?
Yaani sijui hao wanaume zake wanajisiake akivua nguo!
 
Idris anakua mcharo jamaniii mbona hiyo picha hajaifuta ipoo ,,ila zari ana ngozi nzuri jamaniii

Nimesoma kuwa aliiweka yenye miguu chakavu akatoa. Ok thanks now nimeona bado ipo ila aliongeza iliyopo janet na dogi wamekaa nao. Cheers
 
Uwiiiiiii! Jamani hili ni zimwi au mwanamke?
Ila nasikia ni chakula cha boss wake na anampenda vibaya sana!

Kama chakula cha bosi basi inaonyesha kwanini yeye na w wanaelewana katika tabia mbovu.
 
Mhhhh wema kaozaje jamani? Hivi akizaa huyu atafaa kuangalia kweli?
Yaani sijui hao wanaume zake wanajisiake akivua nguo!

Kwa kweli bora angeacha tu kutaka kushindana na mke wa Chibu. Yaani anamuacha Chibu halafu anataka afanyaje aishi anagonga mlango kumbembeleza na ndio hawezi tena imetoka hiyo....lazima atakuwa ameenda kwa mganga maana kundi lake wote hao ndio wamekaa kushinda kwa baba kudaka biashara kwa inayowaingia....

Anauzi bora atulie na akemee washabiki....ndio kwanza anasafiri na akina dogi sasa kwenda mwz...so anayapenda na atazidi kutukanwa na kushuka mashabiki wameshamkimbia na wanazidi kusepa wanaojielewa.
 

Kwani dougie ndio yupi katika zile picha za mwanza? Hebu tuwekee hapa basi maana mimi sijajua kuhusu hilo.
 
Mhhhh wema kaozaje jamani? Hivi akizaa huyu atafaa kuangalia kweli?
Yaani sijui hao wanaume zake wanajisiake akivua nguo!

Kweli mikorogo ni hatari sana wana moyo wa chuma aisee mi siwezi kabisa kutokuheshimu mwili tu.Akizaa si ndo majanga itakua sasa au afikishe thelathini na tano utamsahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…