Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Weka barua hapa inayoonyesha rais katoa agizo wizara ya afya kuwa tanzania haitaki uzazi wa mpango
Hili linahitaji barua? Wacha aibu zako. Sio wewe uliishangilia sana kauli ya raisi kwamba tufyetue tu watoto?
 
Mkuu hilo ulo lisema la kukaa pamoja na kushauriana ndiyo jambo la msingi
 
Vipi kuhusu hoja nyingine 14 zilizobakia maana zilikuwa ni 15
Walikuwa wanawaibia miku......ndu yenu!???,Maaana agenda yao ni ushoga na tulipokataaa ndo wanasepa!!
 
Kwani sisi hatuwezi kujitegemea? How yaani. Ni kweli nchi haiwezi kujitegemea? Ni kweli au tumezoeshwa vibaya? Siamini kama hatuwezi kujitegemea. Siamini.
 
Vipi kuhusu hoja nyingine 14 zilizobakia maana zilikuwa ni 15

Teh teh teh tihiii
hamna hoja wala nini. ile ya Makonda ya kuwawinda nyie mashoga ndiyo imeleta yote haya.
 
Humsikii jinsi anavyowabeza kila siku na kusema tunaweza kuendesha mambo yetu wenyewe?
 
Sawa huamini tumekuelewa
Kwani sisi hatuwezi kujitegemea? How yaani. Ni kweli nchi haiwezi kujitegemea? Ni kweli au tumezoeshwa vibaya? Siamini kama hatuwezi kujitegemea. Siamini.
 
hivi ziko hoja 15 zilizosababisha haya?? nyingine ni zipi wadau?
 
Utakuwa kinda wewe hujui usemalo! Enzi za mbinyo kipindi cha Nyerere disposables zilikuwa zinaoshwa na kuwekwa kabatini, kulikuwa na uhaba Hata wa chumvi, Mzee akaamua kung'atuka!

Unaongea usiyoyajua na ushabiki maandazi huo!
 
Amuulize Mugabe
Utakuwa kinda wewe hujui usemalo! Enzi za mbinyo kipindi cha Nyerere disposables zilikuwa zinaoshwa na kuwekwa kabatini, kulikuwa na uhaba Hata wa chumvi, Mzee akaamua kung'atuka!

Unaongea usiyoyajua na ushabiki maandazi huo!
 
Mijitu sijui ata ina akili gani haimtazami Mtanzania wa chini kama anahitaji hiyo misaada kuliko kawaida mladi imepewa tu buku 7 ya kutetea ujinga.
 
Waondoke tukaze mkanda, vya bure vinaua wanaboa sana na misaada yao
Maelfu walioajiriwa kupitia miradi inayofadhiliwa na USAID, GF, CDC, JICA etc.... Ufadhili huu ukikoma ghafla hakika familia nyingi sana zitayumba.
 
Mtu anakusaidia halafu anakuibia kisilence ukimwambia hapana kuniibia eti anajikasirisha! Sasa hapo hujang'amua tu?!
mawaziri wa CCM ndo wameruhusu wizi kupitia mikataba waliosaini...acheni kudanganya watu
 
Mkuu hayo unayaona wewe mwenye mtazamo huru
Maelfu walioajiriwa kupitia miradi inayofadhiliwa na USAID, GF, CDC, JICA etc.... Ufadhili huu ukikoma ghafla hakika familia nyingi sana zitayumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…