Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
Hili linahitaji barua? Wacha aibu zako. Sio wewe uliishangilia sana kauli ya raisi kwamba tufyetue tu watoto?Weka barua hapa inayoonyesha rais katoa agizo wizara ya afya kuwa tanzania haitaki uzazi wa mpango