Kwanini uwe aware na blacks?
Kwanini uwe aware na blacks?
Celebriamo!Anastahili mno. Grazie to him π
hawa wasenge sintowashabikia tena wamagundu kama uholanzi
Wadau wangu wa hapa jukwaani, tumekuwa wote kwenye uzi huu kwa takribani mwezi mmoja sasa, dah kila lenye mwanzo halikosi mwisho!!!
Kufika mwisho kwa michuano hii, ndio mwisho wa uzi huu, tutaendelea kukutana katika nyuzi nyingine za michezo!!
Salute kwa wote tulioshirikiana hapa!
Ifike wakati tujiamini bila kuangalia rangi,ukiwa na mind ya kuhisi kubaguliwa kwa ajili ya rangi hata kitu kidogo utahisi unabaguliwa ,We hu
We hujui Rashford already ni most racially abused athlete UK?
Man u ikifungwa Tu wanam abuse
Sasa ndo akose penalty na national team??
Waliokosa wote blacks au hukuona?
Kawaulize France mwaka 2006 nini kiliwatokea kwenye matuta
Italy watufunge ndani ya extra time la sivyo hatoamini kwenye matuta
.Kawaulize France mwaka 2006 nini kiliwatokea kwenye matuta
Pole Mkuu. Ni mpira tu. Well done to England to fainaliU are a living legend
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwenyewe huyu kocha wa English media ya wapiga penalt za kitoto,namfananisha na mwigizaji,CHUCK NORRIS.Hii sura ya kocha imefanana na mwigizaji mmoja wa movie ya action ,kila nikivuta picha sijui namfananisha na nani,,by the way tuachane na hayo Kama ni matuta Italy leo atadaka jini
Jorginho anasitahili Ballon d'Or
Jorginho anasitahiliKuna Messi
Niko Paris, upepo ukigeuka nahamia Italy, ugali ukimwagika nakimbilia German, mboga nazo zikinyofoka nitajua nashibaje..