Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Afadhali umejishtukia.Maana huwa kuna muda nakuwa zaidi ya shetani kwa uumbaji wa maneno mapya.Kwa avatar hio inakutambulisha tofauti wakati sasa uiweke sawa , ila weka hoja tujadili hii ni forum ya international issues achana na personal attacks.
Kwa sababu wanatumia raia kama ngao.Wangekuwa wanapigana wenyewe kama wenyewe bila involvement ya raia nafikiri hiyo ndo ingekuwa vita fupi zaidi kuwahi kuwepo.Dakika tatu!Kama hafai kwanini ameshindwa kuiteketeza Hizbollah na Hamas?
Viongozi wa Hamas kina Ismali Haniyeh wako Gaza kwanini ameshindwa kuwa assassinate!?
Use your common sense your embiciles.
๐๐๐Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Netanyahu alisema kuwa kila aliyehusika ni maiti inayotembeaOna unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?
Naomba majibu tafadhali.
Hata mpaka kutojua ni wao mpaka sasa ni meseji toshaMechi itaanza baada ya uchunguzi kukamilika na kama ni Israel kweli basi sio watu wa mchezo aisee.
Iran na Russia Wana Nini,zaidi ya masaa 16 hawakujua helicopter imeanguka wapi Hadi uturuki walipowapa drone zao ndio wakajua ndani tu ya dakikaLets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Huyo Raisi wa Iran aliyekufa ndie aliamuru Jeshi la Iran lishambulie Israel Kwa makomboraNetanyahu alisema kuwa kila aliyehusika ni maiti inayotembea
Shenzi umeenda shule ukasomeshwa kwa jasho la wazazi wako lakini still unaogopa Kingereza,huna maana wewe ni zwazwa!Andika kiswahili bana daa,wepo chani bhaaa
Usimwambie kwamba na yeye ni intaplinywaa mwingine. ๐๐๐๐Shenzi umeenda shule ukasomeshwa kwa jasho la wazazi wako lakini still unaogopa Kingereza,huna maana wewe ni zwazwa!
Rudisha ada ya wazazi wako..
That truth won't be denied easily!In another point of view, the world thinks that Gaza is occupied by Israel, but the truth is that the world is occupied by Israel except Gaza.
You are right hundred percentIn another point of view, the world thinks that Gaza is occupied by Israel, but the truth is that the world is occupied by Israel except Gaza.
Hayo madai unayosema wewe IDF waliambiwa walete ushahidi walikosa.Kwa sababu wanatumia raia kama ngao.Wangekuwa wanapigana wenyewe kama wenyewe bila involvement ya raia nafikiri hiyo ndo ingekuwa vita fupi zaidi kuwahi kuwepo.Dakika tatu!
Jibu hayo maswali hapo uache poyoyo.Netanyahu alisema kuwa kila aliyehusika ni maiti inayotembea
๐๐๐๐๐Kwisha habari yako.magaidi wapo nchi zote jirani na Israel na dunia nzima hata wewe hapo ukipewa jambia unaenda ila kwa Israel bado ni kama sio stiff fighting jua hilo.Wavaa kobazi mmevuliwa nguo acha povu liwatoke.nawashauri na nyie mumvizie NETA[emoji1787].
BIBLIA?Kasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)
Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.
Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
binamu kaniambia wairani siyo waislamu, wao ni shia wkt waislamu halisi ni Suni.Ila hii haiwezekani kwa Raisi alikuwa amebakisha miezi tu mwakani ni uchaguzi ayatollah anaweza kutumia ila assembly of experts yenye watu 89 kumkata asigombeee tena uraisi bila kufanya hivi ,labda kama kuna uhafidhina na pia kwa nchi ya kiislamu kama iran mambo ya kufanyiana assasination wao kwa wao hawana hayo wale ni waadilifu kwa misingi ya dinj yao na ndio maana despite vikwazo taifa na hali ya maisha ya watu ni nzuri uadilifu wa misingi ya dini ndio umeweza kuwafikisha mbali hapo walipk la sivyo kwa vita na fitina za nchi za magharibi basi wangekuwa wamekumbwa na fate kama ya Gaddafi na Saddam kimsingi religion ndio protection ya taifa lao strategically hata ukiwapeleka vizuri vyote vya umagharibi hawawezi kuasi dni yao wakavifuata na ndio hapo regime imeshikilia misingi hio imeweza na kuendelea kuongoza .
Iran leo nimesikia wakisema kama Israel kahusikia basi wajue safari hi watajuta kugusa Iran.Mechi itaanza baada ya uchunguzi kukamilika na kama ni Israel kweli basi sio watu wa mchezo aisee.