makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Hakika mkuu umenena vyemaaaSasa kama kuna shirikisho la vyama vya wafanyakazi TUCTA wanatetea maslahi ya wafanyakazi, na wafanyakazi wa sekta mbalimbali wana vyama vyao vya kuteteana, why kusiwe na chama cha wasio na kazi nao wateteane kwa changamoto wanazozipitia? Jobless nao ni kundi kubwa ndani ya jamii wanastahili kuwa na chama chao cha kuteteana kwa magumu wanayoyapitia
Huzuni ya nini badala ya pongezi? Wanwake wengi matapeli kumpata mwema ni bahati nasibu
naam Asante kwa kuwa muelewa.Sasa kama kuna shirikisho la vyama vya wafanyakazi TUCTA wanatetea maslahi ya wafanyakazi, na wafanyakazi wa sekta mbalimbali wana vyama vyao vya kuteteana, why kusiwe na chama cha wasio na kazi nao wateteane kwa changamoto wanazozipitia? Jobless nao ni kundi kubwa ndani ya jamii wanastahili kuwa na chama chao cha kuteteana kwa magumu wanayoyapitia
karibu chamaniNgoja tujiunge baada ya kuwa not selected Jana, Wacha tuendelee kuingiza miambimbili tu hapa
Karibu kwenye chamaaaNgoja tujiunge baada ya kuwa not selected Jana, Wacha tuendelee kuingiza miambimbili tu hapa
Mh Rais wa Majobless Promaxkaribu chamani
wewe una weza kuwa Kama mbowe😂🤣Hapana Mimi ni muadilifu ndugu raisi wa majobless pro max, kwahiyo usiwe na hofu kwa maana sitakihasi chama😂😂😂
Karibu chamaniMkulima nimejiunga na majobless wenzangu
Mh Rais utulie ... Unywe kahawa tuna kikao cha baraza kuuwewe una weza kuwa Kama mbowe😂🤣
Hapana, mimi ni Tundu Lisu mtupu ndugu raisi😂😂😂wewe una weza kuwa Kama mbowe😂🤣
Huyo ana weza kuwa mshauri na mtoa michango wa chama.Hii imekaa vizuri, ila msemaji naomba useme neno kwa mtu ambae alikua jobless jana akajiunga na chama halafu kesho yake akapata kazi ambayo kwa tathmin yake na kwa vigezo vyake inaonekana si kazi ya kijobless, vipi atatimuliwa kwenye chama au 😂😂😂😂
CHAPUTA OYEEEHata kwa sisi majobless ni ngumu kupata mke mwema
Hii imekaa vizuri mkuuHuyo ana weza kuwa mshauri na mtoa michango wa chama.
kuanzia Leo nime kuteua kuwa waziri wa mambo ya ndani, katika chama Cha ma jobless pro max.Hapana, mimi ni Tundu Lisu mtupu ndugu raisi😂😂😂
Eboo, niite raisi wa ma jobless pro max .Hii imekaa vizuri mkuu
Ewe jobless punguza mimoshi😂😂CHAPUTA OYEEE
Mimi semaji la chama Napenda Kutangaza taarifa kwa umma kuwa Mh. Rais amemteua ndugu Thecoder kuwa waziri wa mambo ya ndani katika chama Cha Majobless Promax .kuanzia Leo nime kuteua kuwa waziri wa mambo ya ndani, katika chama Cha ma jobless pro max.
Kazi yake kuhakikisha usalama wa chama na viongozi wake.
min -me, makutupora, Bolotoba mwenzetu huyu.
Omba Mungu akupe mke mwema, bora na mlezi mzuri wa familia mtakayoianzisha.Huzuni ya nini badala ya pongezi? Wanwake wengi matapeli kumpata mwema ni bahati nasibu