Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #61
We Jamaa una taka tufungwe, hizo hela zina toka wapi??.Mheshimiwa rais Intelligent businessman naomba baraza lako la mawaziri liangalie namna ya kuboresha sarafu ya majobless jobless shillings Jshs ili kukuza thamani ya chama chetu
Na haya maono yake yanaweza yakabadili taswira na uelekeo wa wana if kwa maana mzani unaweza ukabadilika, kutoka kuwa na kundi kubwa la matariji hadi kuwa na kundi kubwa la majobless... Naomba mnipe kazi ya kutengeneza vitambulisho na mfumo wa kuwasajiri wanachama online kwa maana hapo ndipo mzani utakapoenda kufanya maajabu yake ndugu Katibu πππ
Pigaaa kaziiiiiiiItifaki Mh. Rais, Itifaki imezingatiwa niwasihi tu vijana kitu pekee kijana jobless anachoweza kumeza bila gharama kubwa ni mate yake mwenyewe
By the way mkuu nipo hapa nasubiri posho Yangu Elfu
3, 000 Taslimu Baada ya kufyeka na kupruni vizuri kwa boss mmoja hapa naomba nimalize kupiga leki na kufagia majani hapa
Msemaji makutupora nilishamwasilishia Leo nimepata πkibarua jobless Mwenzenu
Makamu wa majobless Promax BTB
naam, ngoja tuki pambanie chama.Kuwa jobless ni kazi sana mlio kwenye ajira hamuwezi elewa hii situation tunayopitiaπ
Hapo bado magwanda na sehemu ya kupigia tizi ili twende tukaingie kandalasi na Congo tukakabiliane na M23 ππππ
Hapo sawaHapana,
Ndio schedule ya shamba ilivyo
kijana chama bado kipya, ila uki taka waweza kwenda kutu wakilisha.Hapo bado magwanda na sehemu ya kupigia tizi ili twende tukaingie kandalasi na Congo tukakabiliane na M23 ππππ
haha I mean no malice to nobodyWe Jamaa una taka tufungwe, hizo hela zina toka wapi??.
ngoja tuone chama kina watu wa namna gani kwanza
naam, forever I mean no malice to nobody.haha I mean no malice to nobody
Hiyo namba nne ni bomba sana, ila pia swala la sherehe za uswahilini linaweza kuzingatiwa kwaajiri ya chakula cha bure ili kupunguza bajeti pale inapowezekana πππTutazilinda kanunu hizi kwa wivu mkubwa.
- Matumizi ya Lazima Tu
- Pesa zitumike kwenye mahitaji muhimu kama chakula, malazi, na usafiri wa gharama nafuu.
- Hakuna Matumizi kwa Anasa β Hakuna kulipia vinywaji vya watu wengine au kununua zawadi zisizo na faida ya moja kwa moja.
- Tumia Mbinu za Akili β Tumia promosheni, punguzo, na ofa za bure kila inapowezekana.
- Tafuta Njia za Kuepuka Gharama β Kama unaweza kutengeneza kitu mwenyewe au kupata mbadala wa bei rahisi, usinunue ghali.
- Hakuna Matumizi Yasiyo na Faida β Kulipia tarehe za gharama kubwa au matumizi yasiyo na mrejesho wa kifedha ni marufuku.
- Usishindane kwa Matumizi β Wanaume wa chama hiki hawaonyeshi pesa kwa matumizi ya hadharani; badala yake, huwekeza au kuhifadhi.
- Fedha ni Silaha, Sio Kitu cha Kuitapanya β Lengo ni kuwa na uhuru wa kifedha, si kushindana kwa ununuzi wa vitu vya kifahari.
- Jifunze Kusema βHapanaβ β Misingi ya chama hiki ni kuwa na nidhamu ya kusema "hapana" kwa matumizi yasiyo na ulazima.
- Jua Njia za Kuepuka Kudaiwa Malipo β Kuwa na mbinu za kuepuka kugharamia bili zisizo zako.
- Uaminifu kwa Wana Chama β Mwanaume bahili hatamwacha mwenzake aonekane anatumia pesa hovyo mbele ya wengine.
Hizi zote zitakuwa porojo kama jobless atachagua mishe ya kufanya ausiyo bhana.Tutazilinda kanunu hizi kwa wivu mkubwa.
- Matumizi ya Lazima Tu
- Pesa zitumike kwenye mahitaji muhimu kama chakula, malazi, na usafiri wa gharama nafuu.
- Hakuna Matumizi kwa Anasa β Hakuna kulipia vinywaji vya watu wengine au kununua zawadi zisizo na faida ya moja kwa moja.
- Tumia Mbinu za Akili β Tumia promosheni, punguzo, na ofa za bure kila inapowezekana.
- Tafuta Njia za Kuepuka Gharama β Kama unaweza kutengeneza kitu mwenyewe au kupata mbadala wa bei rahisi, usinunue ghali.
- Hakuna Matumizi Yasiyo na Faida β Kulipia tarehe za gharama kubwa au matumizi yasiyo na mrejesho wa kifedha ni marufuku.
- Usishindane kwa Matumizi β Wanaume wa chama hiki hawaonyeshi pesa kwa matumizi ya hadharani; badala yake, huwekeza au kuhifadhi.
- Fedha ni Silaha, Sio Kitu cha Kuitapanya β Lengo ni kuwa na uhuru wa kifedha, si kushindana kwa ununuzi wa vitu vya kifahari.
- Jifunze Kusema βHapanaβ β Misingi ya chama hiki ni kuwa na nidhamu ya kusema "hapana" kwa matumizi yasiyo na ulazima.
- Jua Njia za Kuepuka Kudaiwa Malipo β Kuwa na mbinu za kuepuka kugharamia bili zisizo zako.
- Uaminifu kwa Wana Chama β Mwanaume bahili hatamwacha mwenzake aonekane anatumia pesa hovyo mbele ya wengine.
Ni sawa naomba kuwezeshwa ili nikafanye intelijensia ππππkijana chama bado kipya, ila uki taka waweza kwenda kutu wakilisha.
Bro jobless pro max ni binadamu Kama wewe, usi Lete habari za Kikubwa ugali uende kinywani.Hizi zote zitakuwa porojo kama jobless atachagua mishe ya kufanya ausiyo bhana.
nakupa baraka zangu, rih in advance.Ni sawa naomba kuwezeshwa ili nikafanye intelijensia ππππ
Hiyo ni nzuri sana mkuu, tutaliingiza hili pia , tulijadili ndani ya kamati kuu .Hiyo namba nne ni bomba sana, ila pia swala la sherehe za uswahilini linaweza kuzingatiwa kwaajiri ya chakula cha bure ili kupunguza bajeti pale inapowezekana πππ
hapana, mwalimu sii jobless.Je sisi walimu tunahusika humu??
piga moyo konde, chama kiko hapa kuta tua changamoto.Bado tunasikilizia ,, USAILI TULIKUWA 12000 wanahitajika 200 uhakika ni mdogo sanaaaaa MAJOBLESS TUNA FURAHA NDOGO SANAAAA ntaendelea kusikilizia