Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Mheshimiwa rais Intelligent businessman naomba baraza lako la mawaziri liangalie namna ya kuboresha sarafu ya majobless jobless shillings Jshs ili kukuza thamani ya chama chetu
We Jamaa una taka tufungwe, hizo hela zina toka wapi??.

ngoja tuone chama kina watu wa namna gani kwanza
 
Na haya maono yake yanaweza yakabadili taswira na uelekeo wa wana if kwa maana mzani unaweza ukabadilika, kutoka kuwa na kundi kubwa la matariji hadi kuwa na kundi kubwa la majobless... Naomba mnipe kazi ya kutengeneza vitambulisho na mfumo wa kuwasajiri wanachama online kwa maana hapo ndipo mzani utakapoenda kufanya maajabu yake ndugu Katibu 😂😂😂



Tutazilinda kanunu hizi kwa wivu mkubwa.


  1. Matumizi ya Lazima Tu
  2. Pesa zitumike kwenye mahitaji muhimu kama chakula, malazi, na usafiri wa gharama nafuu.
  3. Hakuna Matumizi kwa Anasa – Hakuna kulipia vinywaji vya watu wengine au kununua zawadi zisizo na faida ya moja kwa moja.
  4. Tumia Mbinu za Akili – Tumia promosheni, punguzo, na ofa za bure kila inapowezekana.
  5. Tafuta Njia za Kuepuka Gharama – Kama unaweza kutengeneza kitu mwenyewe au kupata mbadala wa bei rahisi, usinunue ghali.
  6. Hakuna Matumizi Yasiyo na Faida – Kulipia tarehe za gharama kubwa au matumizi yasiyo na mrejesho wa kifedha ni marufuku.
  7. Usishindane kwa Matumizi – Wanaume wa chama hiki hawaonyeshi pesa kwa matumizi ya hadharani; badala yake, huwekeza au kuhifadhi.
  8. Fedha ni Silaha, Sio Kitu cha Kuitapanya – Lengo ni kuwa na uhuru wa kifedha, si kushindana kwa ununuzi wa vitu vya kifahari.
  9. Jifunze Kusema ‘Hapana’ – Misingi ya chama hiki ni kuwa na nidhamu ya kusema "hapana" kwa matumizi yasiyo na ulazima.
  10. Jua Njia za Kuepuka Kudaiwa Malipo – Kuwa na mbinu za kuepuka kugharamia bili zisizo zako.
  11. Uaminifu kwa Wana Chama – Mwanaume bahili hatamwacha mwenzake aonekane anatumia pesa hovyo mbele ya wengine.
 
Itifaki Mh. Rais, Itifaki imezingatiwa niwasihi tu vijana kitu pekee kijana jobless anachoweza kumeza bila gharama kubwa ni mate yake mwenyewe

By the way mkuu nipo hapa nasubiri posho Yangu Elfu
3, 000 Taslimu Baada ya kufyeka na kupruni vizuri kwa boss mmoja hapa naomba nimalize kupiga leki na kufagia majani hapa

Msemaji makutupora nilishamwasilishia Leo nimepata 😜kibarua jobless Mwenzenu

Makamu wa majobless Promax BTB
Pigaaa kaziiiiiii
 

Tutazilinda kanunu hizi kwa wivu mkubwa.


  1. Matumizi ya Lazima Tu
  2. Pesa zitumike kwenye mahitaji muhimu kama chakula, malazi, na usafiri wa gharama nafuu.
  3. Hakuna Matumizi kwa Anasa – Hakuna kulipia vinywaji vya watu wengine au kununua zawadi zisizo na faida ya moja kwa moja.
  4. Tumia Mbinu za Akili – Tumia promosheni, punguzo, na ofa za bure kila inapowezekana.
  5. Tafuta Njia za Kuepuka Gharama – Kama unaweza kutengeneza kitu mwenyewe au kupata mbadala wa bei rahisi, usinunue ghali.
  6. Hakuna Matumizi Yasiyo na Faida – Kulipia tarehe za gharama kubwa au matumizi yasiyo na mrejesho wa kifedha ni marufuku.
  7. Usishindane kwa Matumizi – Wanaume wa chama hiki hawaonyeshi pesa kwa matumizi ya hadharani; badala yake, huwekeza au kuhifadhi.
  8. Fedha ni Silaha, Sio Kitu cha Kuitapanya – Lengo ni kuwa na uhuru wa kifedha, si kushindana kwa ununuzi wa vitu vya kifahari.
  9. Jifunze Kusema ‘Hapana’ – Misingi ya chama hiki ni kuwa na nidhamu ya kusema "hapana" kwa matumizi yasiyo na ulazima.
  10. Jua Njia za Kuepuka Kudaiwa Malipo – Kuwa na mbinu za kuepuka kugharamia bili zisizo zako.
  11. Uaminifu kwa Wana Chama – Mwanaume bahili hatamwacha mwenzake aonekane anatumia pesa hovyo mbele ya wengine.
Hiyo namba nne ni bomba sana, ila pia swala la sherehe za uswahilini linaweza kuzingatiwa kwaajiri ya chakula cha bure ili kupunguza bajeti pale inapowezekana 😂😂😂
 

Tutazilinda kanunu hizi kwa wivu mkubwa.


  1. Matumizi ya Lazima Tu
  2. Pesa zitumike kwenye mahitaji muhimu kama chakula, malazi, na usafiri wa gharama nafuu.
  3. Hakuna Matumizi kwa Anasa – Hakuna kulipia vinywaji vya watu wengine au kununua zawadi zisizo na faida ya moja kwa moja.
  4. Tumia Mbinu za Akili – Tumia promosheni, punguzo, na ofa za bure kila inapowezekana.
  5. Tafuta Njia za Kuepuka Gharama – Kama unaweza kutengeneza kitu mwenyewe au kupata mbadala wa bei rahisi, usinunue ghali.
  6. Hakuna Matumizi Yasiyo na Faida – Kulipia tarehe za gharama kubwa au matumizi yasiyo na mrejesho wa kifedha ni marufuku.
  7. Usishindane kwa Matumizi – Wanaume wa chama hiki hawaonyeshi pesa kwa matumizi ya hadharani; badala yake, huwekeza au kuhifadhi.
  8. Fedha ni Silaha, Sio Kitu cha Kuitapanya – Lengo ni kuwa na uhuru wa kifedha, si kushindana kwa ununuzi wa vitu vya kifahari.
  9. Jifunze Kusema ‘Hapana’ – Misingi ya chama hiki ni kuwa na nidhamu ya kusema "hapana" kwa matumizi yasiyo na ulazima.
  10. Jua Njia za Kuepuka Kudaiwa Malipo – Kuwa na mbinu za kuepuka kugharamia bili zisizo zako.
  11. Uaminifu kwa Wana Chama – Mwanaume bahili hatamwacha mwenzake aonekane anatumia pesa hovyo mbele ya wengine.
Hizi zote zitakuwa porojo kama jobless atachagua mishe ya kufanya ausiyo bhana.
 
Back
Top Bottom