Kama unafanya biashara unategemea maamuzi ya mteja aje au asije na asipo kuja jioni hakuna kula , jiunge na chama haraka iwezekanavyo.Sijawahi kuwa na mshahara ndugu Katibu ππππ... Mnanipa kadi namba ngapi?
ili aku elewe hapa, Ina bidi aka some leverage ni nini.Kama unafanya biashara ila usipo kuwepo biashara yako haiendi na biashara yako kila mwaka ukifika mwisho, haijaunda biashara nyingine , jiunge na chama haraka bwashee.
Daah sasa si Jf yote tutajikuta ndani ya hiki chamaππππ...Kama unafanya biashara unategemea maamuzi ya mteja aje au asije na asipo kuja jioni hakuna kula , jiunge na chama haraka iwezekanavyo.
Pia kama unafanya kilimo kwa kutegemea mvua inyeshe isiponyesha mazao yako yanakauka , jiunge na chama bila kuwaza mara mbili.
Kama unafanya biashara ila usipo kuwepo biashara yako haiendi na biashara yako kila mwaka ukifika mwisho, haijaunda biashara nyingine , jiunge na chama haraka bwashee.
Kama hivyo naunga mkono hoja , tupeaneni michongo vijana tuoe.Hizo ndoa bila pesa tutakula magunia?
Naam nipo hapa, mwambie aweke oda yake na atoe location, pia umwambie kuna kama hizo za kuprint na mashine ila pia kuna zile za kuchora na wino wa peni kwaajiri ya kupunguza gharama kwahiyo atachagua anataka ipi, kama ni ya peni mwambie achague rangi ya wino πππππuta ipata tu chief, tumpe deal Thecoder Jamaa aku letee
Unazidisha hasira na reload gun now ..wakisha kula bhangi, Wana ropoka hovyoππ
Chama cha majobless huwa tunaongea na wakwe , ili kuangalia kama kuna uwezekano wa kutolipa hiyo mahari au ikishindikana kabisa tupate punguzo.Kama hivyo naunga mkono hoja , tupeaneni michongo vijana tuoe.View attachment 3223703
leta hicho kibubu kwenye chama, ili tuone Kama uko serious.Kama hivyo naunga mkono hoja , tupeaneni michongo vijana tuoe.View attachment 3223703
Ndio ujue wapo majobless wengi tu ila hawajitambui kama ni majobless , mikakati yetu kama chama ni kutoa elimu pia .Daah sasa si Jf yote tutajikuta ndani ya hiki chamaππππ...
Mimi Thecoder kwa akili yangu timamu, bila kushawishiwa na mtu yeyote leo tarehe 3 February 2025, mnamo majira ya saa 18:54, siku ya jumatatu, natangaza rasmi kujiunga na hiki chama, ndugu Katibu na raisi Intelligent businessman naomba kupangiwa majukumu ππππNdio ujue wapo majobless wengi tu ila hawajitambui kama ni majobless , mikakati yetu kama chama ni kutoa elimu pia .
Kwako mwenyekiti Intelligent businessmanMimi Thecoder kwa akili yangu timamu, bila kushawishiwa na mtu yeyote leo tarehe 3 February 2025, mnamo majira ya saa 18:54, siku ya jumatatu, natangaza rasmi kujiunga na hiki chama, ndugu Katibu na raisi Intelligent businessman naomba kupangiwa majukumu ππππ
Hii ni nzuriUmoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.
Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.
amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.
ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.
Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.
tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.
kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.
hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.
kidumu chama Cha ma jobless pro max .
View attachment 3223638
Asante kwa taarifa kiongozi.Mtoto wa kiume kujiita Jobless maana yake ni bwabwa upo tayari ku risk marinda... Mambo ya jobless waachieni wanawake... Nyie vijana acheni upuuzi, mmesoma mna certificate diploma degree na masters ila mnashindwa kutumia akili zenu kuangalia fursa zinazo wazunguka...
Haiwezekan hapo mtaani kwenu miaka yote mama yako dada yako au jiran zako wanauza mgahawa, mkaa au genge na wamesomesha watoto hadi chuo, wewe kijana unashindwa kuwa mbunifu unajiita jobless...
Fungasha mkaa kwenye package vzuri mteja akija anakuta mkaa upo vzuri kulingana na pesa aliyonayo (usiuze mkaa kama watu wa zamani), fungasha maandazi au matunda au mbogamboga ktk package vzuri mteja akija anunue kulingana na kipato chako...
Mlivyo wapuuzi kutafuta elfu50 ya kwenda kitambaa cheupe kulewa mnaweza ila kutafuta pesa ili muishi vzuri kipato kiongezeke hamuwez...
AJIRA hakuna na zitaendelea kuadimika sana tu, zamani walimu walikuwa wana ajiriwa kwa kubembelezwa sikuhizi lazima ufanye interview na lazima usali sana ukeshe kwa Mwamposa kupata ajira ya ualimu... Nyie hamshituki...????????
Endeleeni kulala kwenye nyumba za urithi mkidhan ajira zitawajia au mtauza hizo nyumba π©π© nawaambia mtashangaa mmezeeka mkiwa nyumban mtafukuzwa kama mbwa koko na wajukuu wa wazaz wenu...
WAKE UP TANZANIAN GRADUATES
Yes sijui kutumia lugha nzuri, hii kali ndio naipenda
Hakuna cha laana thibitishamnajitafutia laana tu humu,
Chama kiitwe, "ESCAPE FROM JOBLESS"
naam, kidumu chama Cha ma jobless pro max.Mimi Thecoder kwa akili yangu timamu, bila kushawishiwa na mtu yeyote leo tarehe 3 February 2025, mnamo majira ya saa 18:54, siku ya jumatatu, natangaza rasmi kujiunga na hiki chama, ndugu Katibu na raisi Intelligent businessman naomba kupangiwa majukumu ππππ
hapana mkuu, kita itwa hivi hivi.mnajitafutia laana tu humu,
Chama kiitwe, "ESCAPE FROM JOBLESS"