Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Huyu ni mfipa mwenzanguhuyo ni wa wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mfipa mwenzanguhuyo ni wa wapi??
MkuuSawa EL BUGATTI MANARA
Wanamegwa na viongozi wao wa dini au sioNaongea kwa uhalisia hao wa huko ndio balaa ni mafisi yaliyojivisha ukondoo
Kuu la masemaji ulimwenguniMkuu
Kwanini Manara? 😂
ok pass me the details, photo tuone.Huyu ni mfipa mwenzangu
Okayok pass me the details, photo tuone.
Ndio hivyo, tunaogopa kuoa wanawake wa ndoa wachache balaaWanamegwa na viongozi wao wa dini au sio
Miaka kumi Sina kazi rasmi k@?mke ko nakula kwako au cyo ..Wewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...
Ungekuwa una pambana usingelia kisengerema kama vile unainjoi paipu,..
Hizo ni nyimbo tu, sasa hivi ukiwapigia watu hawapokei simu, wanahisi labda unataka kuwapiga mzinga.Naitazama milima, msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu utatoka kwa Mungu!
Nasemaje ... Mimi nipo tayari kwa break fast na makande usibadili madaa
Sitakubaliiiii 😂
Acha kupiga simu waibukieee kabisa Uso kwa Uso! 😂Hizo ni nyimbo tu, sasa hivi ukiwapigia watu hawapokei simu, wanahisi labda unataka kuwapiga mzinga.
Utauza chamaaa tuliaaaaaa .... Oya waziri Thecoder mlinde Raisok pass me the details, photo tuone.
Hupewi ushirikiano, yale mambo ya kutembelea watu bila taarifa, nyakati hizi wanakutelekezaAcha kupiga simu waibukieee kabisa Uso kwa Uso! 😂
Pokea ushauri Mh. Rais Intelligent businessmanRangi ya chama isiwe kijani tuu,tafadhali ndugu mwenyekiti,.ni ombi langu.
Ahsante.
Wanakwambia hebu nisubiri hapo dk 5 narudi Sasa hiviHupewi ushirikiano, yale mambo ya kutembelea watu bila taarifa, nyakati hizi wanakutelekeza
Wanasema dunia hii usipojionea huruma, hakuna atakayekuonea hurumaWanakwambia hebu nisubiri hapo dk 5 narudi Sasa hivi
Ndo ntoleee hiyo 😂
Uhuni wangu ni nini??kahuni wewe Intelligent businessman
Saluuti semaji tutakuwa pamoja katika majukumu yako mapya.Hakika ninyi ni ndugu wazuri Sanaa!
Nitafurahiii sana